Je, Kuwa na mchumba na msifanye mapenzi mpaka ndoa, inawezekana kwa kizazi cha leo?

Je, Kuwa na mchumba na msifanye mapenzi mpaka ndoa, inawezekana kwa kizazi cha leo?

Well, your concerns are justifiable.
Zamani Ilikuwa rahisi kutohofia hayo mambo kwa sababu baadhi ya tamaduni zilikuwa zinajiridhisha juu ya afya ya via vya uzazi vya mwanamke na mwanamke Kabla ya ndoa. Kwa kipindi hiki hali ni tofauti, niliwahi kushihudia ndoa ikivunjika after seven days kwa kuwa jamaa alikuwa na Erectile disorder. Hii Ilikuwa precedent kuwa kila anayetaka kuoa basi lazima tujiridhishe kuwa Ana uwezo wa kutimiza majukumu yake katika ndoa.
Kwa nini huwa wanauliza Kama Una elimu kiasi gani? Una kazi? Urefu wako? Familia yako?
Nadhani inabidi waulize na kujitidhisha Kama mwanamke au mwanaume ana uwezo wa kufanya tendo la ndoa na kukidhi hitaji hilo kwa mwingine.
Wengine wanaoa kama cover-ups kwa Jamii kwamba naye alioa.
Find a way kujua hali yake ya kwenye hilo eneo.
Unapotaka kuingia kwenye ndoa una haki ya kupata majibu yote kutoka kwa mtarajiwa wako.
 
wadau salam!
Naomba kujua kutoka kwenu kuwa jena inawezekana kuwa na mchumba na msisex mpaka ndoa?

Nimeuliza hivyo kwakuwa mchumba wangu simuelewi amegoma kunipata raha mpaka tutakapo funga ndoa, Nimejitahid kumueleza jinsi ambavyo napata shida kwa hisia niwapo nae lkn amekomaa namsimamo wake. Hofu yangu nikwamba nisijeuziwa mbuzi kwenye gunia kumbe mtu si ridhiki.
Tulipo kutana mara ya kwanza mpaka ya tatu alidai tukipima tu hakutakuwa na shida tutapeana raha cha ajabu baada ya kupima tukaonekana wote tupo poa amekuja na single nyingne et tungoje mpaka ndoa.
wadau nisaidieni
mim naishi kwangu namaisha yangu sina dhiki kwakweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lkn dushe lake ananinyima. kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? kwangu mim dushe ndio uhitaji wangu mkubwa.
Swala lilipaswa kuwa nawezaje kujua uwezo na hali ya urijari wa mchumba wangu?!
Uwezekano upo na ndivyo inavyopaswa kuwa.
Sasa acha nijibu kama ambavyo umeuliza ....

Well, your concerns are justifiable.
Zamani Ilikuwa rahisi kutohofia hayo mambo kwa sababu baadhi ya tamaduni zilikuwa zinajiridhisha juu ya afya ya via vya uzazi vya mwanamke na mwanamke Kabla ya ndoa. Kwa kipindi hiki hali ni tofauti, niliwahi kushihudia ndoa ikivunjika after seven days kwa kuwa jamaa alikuwa na Erectile disorder. Hii Ilikuwa precedent kuwa kila anayetaka kuoa basi lazima tujiridhishe kuwa Ana uwezo wa kutimiza majukumu yake katika ndoa.
Kwa nini huwa wanauliza Kama Una elimu kiasi gani? Una kazi? Urefu wako? Familia yako?
Nadhani inabidi waulize na kujitidhisha Kama mwanamke au mwanaume ana uwezo wa kufanya tendo la ndoa na kukidhi hitaji hilo kwa mwingine.
Wengine wanaoa kama cover-ups kwa Jamii kwamba naye alioa.
Tafuta namna ya kujua hali yake ya kwenye hilo eneo.
Unapotaka kuingia kwenye ndoa una haki ya kupata majibu yote kutoka kwa mtarajiwa wako.
Ila kupata hayo majibu si lazima mfanye uzinzi, kuna vipimo vya kitaalamu kabisa ambavyo vitakupa majibu. Ila yote haya yafanyike kwa nia njema Na Safi.
Nikutakie kila kheri wewe na mtarajiwa wako.
 
Swala lilipaswa kuwa nawezaje kujua uwezo na hali ya urijari wa mchumba wangu?!
Uwezekano upo na ndivyo inavyopaswa kuwa.
Sasa acha nijibu kama ambavyo umeuliza ....

Well, your concerns are justifiable.
Zamani Ilikuwa rahisi kutohofia hayo mambo kwa sababu baadhi ya tamaduni zilikuwa zinajiridhisha juu ya afya ya via vya uzazi vya mwanamke na mwanamke Kabla ya ndoa. Kwa kipindi hiki hali ni tofauti, niliwahi kushihudia ndoa ikivunjika after seven days kwa kuwa jamaa alikuwa na Erectile disorder. Hii Ilikuwa precedent kuwa kila anayetaka kuoa basi lazima tujiridhishe kuwa Ana uwezo wa kutimiza majukumu yake katika ndoa.
Kwa nini huwa wanauliza Kama Una elimu kiasi gani? Una kazi? Urefu wako? Familia yako?
Nadhani inabidi waulize na kujitidhisha Kama mwanamke au mwanaume ana uwezo wa kufanya tendo la ndoa na kukidhi hitaji hilo kwa mwingine.
Wengine wanaoa kama cover-ups kwa Jamii kwamba naye alioa.
Tafuta namna ya kujua hali yake ya kwenye hilo eneo.
Unapotaka kuingia kwenye ndoa una haki ya kupata majibu yote kutoka kwa mtarajiwa wako.
Ila kupata hayo majibu si lazima mfanye uzinzi, kuna vipimo vya kitaalamu kabisa ambavyo vitakupa majibu. Ila yote haya yafanyike kwa nia njema Na Safi.
Nikutakie kila kheri wewe na mtarajiwa wako.
Yani wee ndo umeruga mada kabisa.
 
Razzmatazz!!

Huyo ni boonge la hubby, atakua msabato huyo nahisi. Huenda hamuendanu na ni vyema mkaachana tu. Huku makanisani ndio inasisitizwa hivyo, vumilia tu fanya zoezi na usiwaze ngono.

Mungu hawez kukupa galasa ikiwa unamtegemea kweli.
 
Inawezekana sana tu,ila angelia usije kupata koroma uwe unaichungulia
 
Napinga hilo na haifai kumwita ana pepo la uzinzi! Kuna tukio moja nililishughulikia lililonishawishi pengine ni salama vijana kukutana angalau mara moja kabla ya ndoa kujiridhisha kila mmoja yupo sawa.
Ilikuwa hivi; Binti alikutana na kijana tangu akiwa kidato cha pili na kujikuta wakiwa wachumba. Kijana alimshawishi mwenzie akajitambulishe rasmi kama mchumba kwa ahadi wataoana pindi Binti atakapomaliza shule. Wazazi walimkubalia kijana na kijana alikuwa akimimina zawadi nzito nzito kwa Binti na wazazi, na ilifika wakati walikuwa wakiruhusiwa kutoka wote na kusafiri hadi Arusha, Tanga na Mwanza. Binti anasema kila walipofanya romance na Binti kupandisha mzuka kijana alimsihi atulie kwani ipo siku atachoka mwenyewe.
Alopofaulu kwenda F5 Binti alikuwa anataka kuacha kuendelea na masomo ili aolewe kwanza lakini kijana alimsisitizia amalizie kidato cha sita na hata shahada kwani hakuwa na haraka. Alimnunulia Baba mkwe gari pick up kama zawadi kwa Binti kufanya vizuri kimasomo.
Uhusiano sasa ulikuwa karibu zaidi Binti akienda kukaa kwa mchumbawe hadi wiki nzima au zaidi lakini kila alipombembeleza mwenzie wafanye alikataa katakata akidai wakifanya watachokana na anaweza badili mawazo! Binti alilipeleka shauri kwa mama na kukaripiwa vikali kwamba yule ndiye mchumba sahihi maana hataki kumchezea!
Matokeo ya kidato cha sita hayakuwa mazuri sana kwa hiyo ilibidi waoane licha ya kijana kupiga kifua angemsomesha kwa gharama. Binti alikataa katakata kwa hiyo ilibidi ndoa ifungwe.
Kijana alianza kuonyesha mambo yamemshinda kuanzia wakiwa kwenye honeymoon, ambapo aliendelea kusisitiza eti kule ni sehemu ya kufanya tafakari ya maisha yao kiroho!
Kuona hivyo Binti alidai warudi nyumbani na mambo yalikuwa kama siku zote, kijana akihangaika na kumwingiza madole na kumyonya ulimi bila ya tendo. Binti alivumilia hadi mwaka ambapo mwaka wa pili alipata mchepuko na kuhakikisha anapata mimba potelea mbali litakalotokea, ajabu kijana alifurahi sana kwa mkewe kupata mimba, akaita marafiki na kufanya kijisherehe! Mtoto alizaliwa akifanana sana na mama na kijana aliwapenda mno mtoto na mama. Mtoto alipofika miaka mitatu mama alihitaji mtoto tena, alimhimiza mwenzie akatibiwe na haikupita nafuu licha ya kwenda hadi India! Mama atapata mimba ya mchepuko mwingine ambao kijana alikubali kama kwanza. Mtoto wa pili alipofika miaka mitatu mama aliamua kuweka mambo hadharani ambapo baada ya mvutano mkali kanisa liliibatilisha ndoa na kuitengua lakini kijana alibaki na watoto wake!
mh Kama hii story bas inashangaza sana
 
Asante kwa maelezo yako mkuu.
Anaposema shida yake ni dushe maana yake nini kama sio pepo?
Anyways, Huo ni mtazamo wa kibinadamu.
Je, kisa hicho kinahalalisha kuwa kufanya mapenzi kabla ya ndoa sio dhambi?
Kuna watu hawajaonjana na wamekuwa na amani katika ndoa zao. Je, hatuwezi tumia mifano hiyo kujizuia kuzini?
Tatizo letu hatumshirikishi Mungu kwa kila jambo. Huwa tunamkumbuka mambo yakitushinda.
Napinga hilo na haifai kumwita ana pepo la uzinzi! Kuna tukio moja nililishughulikia lililonishawishi pengine ni salama vijana kukutana angalau mara moja kabla ya ndoa kujiridhisha kila mmoja yupo sawa.
Ilikuwa hivi; Binti alikutana na kijana tangu akiwa kidato cha pili na kujikuta wakiwa wachumba. Kijana alimshawishi mwenzie akajitambulishe rasmi kama mchumba kwa ahadi wataoana pindi Binti atakapomaliza shule. Wazazi walimkubalia kijana na kijana alikuwa akimimina zawadi nzito nzito kwa Binti na wazazi, na ilifika wakati walikuwa wakiruhusiwa kutoka wote na kusafiri hadi Arusha, Tanga na Mwanza. Binti anasema kila walipofanya romance na Binti kupandisha mzuka kijana alimsihi atulie kwani ipo siku atachoka mwenyewe.
Alopofaulu kwenda F5 Binti alikuwa anataka kuacha kuendelea na masomo ili aolewe kwanza lakini kijana alimsisitizia amalizie kidato cha sita na hata shahada kwani hakuwa na haraka. Alimnunulia Baba mkwe gari pick up kama zawadi kwa Binti kufanya vizuri kimasomo.
Uhusiano sasa ulikuwa karibu zaidi Binti akienda kukaa kwa mchumbawe hadi wiki nzima au zaidi lakini kila alipombembeleza mwenzie wafanye alikataa katakata akidai wakifanya watachokana na anaweza badili mawazo! Binti alilipeleka shauri kwa mama na kukaripiwa vikali kwamba yule ndiye mchumba sahihi maana hataki kumchezea!
Matokeo ya kidato cha sita hayakuwa mazuri sana kwa hiyo ilibidi waoane licha ya kijana kupiga kifua angemsomesha kwa gharama. Binti alikataa katakata kwa hiyo ilibidi ndoa ifungwe.
Kijana alianza kuonyesha mambo yamemshinda kuanzia wakiwa kwenye honeymoon, ambapo aliendelea kusisitiza eti kule ni sehemu ya kufanya tafakari ya maisha yao kiroho!
Kuona hivyo Binti alidai warudi nyumbani na mambo yalikuwa kama siku zote, kijana akihangaika na kumwingiza madole na kumyonya ulimi bila ya tendo. Binti alivumilia hadi mwaka ambapo mwaka wa pili alipata mchepuko na kuhakikisha anapata mimba potelea mbali litakalotokea, ajabu kijana alifurahi sana kwa mkewe kupata mimba, akaita marafiki na kufanya kijisherehe! Mtoto alizaliwa akifanana sana na mama na kijana aliwapenda mno mtoto na mama. Mtoto alipofika miaka mitatu mama alihitaji mtoto tena, alimhimiza mwenzie akatibiwe na haikupita nafuu licha ya kwenda hadi India! Mama atapata mimba ya mchepuko mwingine ambao kijana alikubali kama kwanza. Mtoto wa pili alipofika miaka mitatu mama aliamua kuweka mambo hadharani ambapo baada ya mvutano mkali kanisa liliibatilisha ndoa na kuitengua lakini kijana alibaki na watoto wake!
 
mambo yamebadilika sana. malalamiko kama haya tulizoea kuyasikia kwa wanaume.
...shkamoo wadada wa siku hizi...mkiongozwa na Monicca!!
 
Monica aliandika hivi kwenye link hii: Nawashukuru wana JF: Siku ya harusi yangu

Habari zenu wanajamvi,

Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wanaJF wote, zaidi sana wale walijitokeza nilipotoa tangazo la kutafuta Mr. Right.

Napenda kuwataarifu kuwa tumeendelea na mikakati na taratibu za harusi na my Mr. Right ambaye nilimpata kupitia tangazo langu la mwezi Jan.2016,
binasi sikutarajia kama mambo yatakwenda kwa speed kubwa namna hii lakini ndivyo ilivyokuwa.

Taratibu zote zimekamilika na Jana tu ndo mahari yote imelipwa, kweli nina furaha na amani sana kwa hatua niliyofikia, namshukuru mchumba wangu kwa seriousness alionionesha.

Wandugu tarehe ya harusi imepangwa na Jumapili ya tarehe 6 march 2016 tangazo la kwanza la harusi yangu litatangazwa.

Tarehe ya harusi imeshapangwa na vikao vinaanza kesho, naomba tarehe nisiiweke wazi kwanza, nitaiweka wazi siku tatu kabla ya harusi. Asanteni
sana.

Wewe ambaye umetupia tangazo lako amini tu utampata unae mtaka.Usichoke wala kukata tamaa.
 
Usipate tabu mrembo. Tafuta mchepuko wakati ambao jamaa ana endelea kusubiri ndoa. Akishakuwa tayari mtaendelea.
 
Asilimia 98% wanafunga ndoa wakiwa wamesha fanya tendo la ndoa
1% wanafunga ndoa hawaja fanya na zinadumu hizo ndoa.
1% wanafunga ndoa hawaja fanya na zinavunjika kabla kabisa kabisa kabla ya miaka mitano.
 
Back
Top Bottom