Je, Kuwa na mchumba na msifanye mapenzi mpaka ndoa, inawezekana kwa kizazi cha leo?

Je, Kuwa na mchumba na msifanye mapenzi mpaka ndoa, inawezekana kwa kizazi cha leo?

wadau salam!
Naomba kujua kutoka kwenu kuwa jena inawezekana kuwa na mchumba na msisex mpaka ndoa?

Nimeuliza hivyo kwakuwa mchumba wangu simuelewi amegoma kunipata raha mpaka tutakapo funga ndoa, Nimejitahid kumueleza jinsi ambavyo napata shida kwa hisia niwapo nae lkn amekomaa namsimamo wake. Hofu yangu nikwamba nisijeuziwa mbuzi kwenye gunia kumbe mtu si ridhiki.
Tulipo kutana mara ya kwanza mpaka ya tatu alidai tukipima tu hakutakuwa na shida tutapeana raha cha ajabu baada ya kupima tukaonekana wote tupo poa amekuja na single nyingne et tungoje mpaka ndoa.
wadau nisaidieni
mim naishi kwangu namaisha yangu sina dhiki kwakweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lkn dushe lake ananinyima. kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? kwangu mim dushe ndio uhitaji wangu mkubwa.
natamani niwe na mke kama wewe jamani,yaan mwanamke anadai dudu mwenyewe bila kuhongwa ni mtamu sana jmn....kama vp njoo pm
 
Ww sio msichana. Nina wasi wasi na jinsia yako. Hakuna msichana asiyeweza jizuia. Kwa mwanaume ningeelewa ila sio ww
 
I saw it dear that's why I told her to pray and even fasting and if there is hidden things God will reveal to her...the thing is we love short cut way and not God's way.. Mungu anajibu dear ni kummppa chance tuu kwa ku sacrifice by letting our fleshy to die.. Thanks..

Maisha magumu sana haya! Kitu ambacho kinaweza kikawa proven logically kwa procedure rahisi tu unahitaji ufunge na kuomba kiwe revealed kwako kwa namna nyingine?! Interesting....
 
Wengi wao hujifanya hana papara na mwanamke kumbe paka mvivu kukamata panya hata akikanyagwa zaidi ya hapo cku ananuweka mtoto wa mtu ndani hana la kumfanya japo wengi huishia urafiki tuu na hapo mkuu kama unamuhudumia jua anatafuna zako tuu lakini hana nguvu ya mapigano hivyo anatumia visingizio ili aendelee kula vyako na siku ya siku akiona anakaribia kuumbuka atafuta sababu yoyote hasa ya kukusingizia ili muachane! Take care yourself!!
it might be.
..thank you
 
Sawa ni dhambi kabla ya ndoa,ila kwa dunia ya kileo mwanaume asipoomba Kuna a vereee big problem
Komaa nae ulale kwake oga then jitupie kitandani kama ulivozaliwa
Akishindwa bas karogwa au ndo vile tena bora umejua mapemaa uchape lapa
 
Kama ni Mkristo unajua naongea nini.
Mwombe Mungu atakuonyesha
Umeonja na utawaonja wangapi?
Hivi unajisikiaje uko kanisani kila ukiangaza jicho huku unamkuta EX wako?
Unapiga moyo konde maisha yanaendelea,muwage na maamuzi acheni kuendeshwa na miili
 
wadau salam!
Naomba kujua kutoka kwenu kuwa jena inawezekana kuwa na mchumba na msisex mpaka ndoa?

Nimeuliza hivyo kwakuwa mchumba wangu simuelewi amegoma kunipata raha mpaka tutakapo funga ndoa, Nimejitahid kumueleza jinsi ambavyo napata shida kwa hisia niwapo nae lkn amekomaa namsimamo wake. Hofu yangu nikwamba nisijeuziwa mbuzi kwenye gunia kumbe mtu si ridhiki.
Tulipo kutana mara ya kwanza mpaka ya tatu alidai tukipima tu hakutakuwa na shida tutapeana raha cha ajabu baada ya kupima tukaonekana wote tupo poa amekuja na single nyingne et tungoje mpaka ndoa.
wadau nisaidieni
mim naishi kwangu namaisha yangu sina dhiki kwakweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lkn dushe lake ananinyima. kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? kwangu mim dushe ndio uhitaji wangu mkubwa.
Huna mwanaume hapo usikute chupa haina kitu ila imefunikwa na kisoda....
 
tatizo jamaa nampenda sana.siwezi mcheat
Mkuu na kama ukithibitisha kweli jogoo hapandi mtungi utaendelea kuwa nae maana unampenda na hutaki kumcheat? Hembu vuta picha za kumbu kumbu kuwa je hujawahi penda mwingine na sasa imebaki story?
 
Maisha magumu sana haya! Kitu ambacho kinaweza kikawa proven logically kwa procedure rahisi tu unahitaji ufunge na kuomba kiwe revealed kwako kwa namna nyingine?! Interesting....
Dear but to her situation she cant use logically mind .. To know if you have the right mke/ mume mtarajiwa you cant guess and you cant use your logically mind.... God has to intervene on her behalf .. Otherwise atakuja na thread nyingine after wedding.. She has a chance to do things right now .. Kama ni wake na hammna shida basi Mungu ataampa ukweli tuu.. Thanks..
 
wadau salam!
Naomba kujua kutoka kwenu kuwa jena inawezekana kuwa na mchumba na msisex mpaka ndoa?

Nimeuliza hivyo kwakuwa mchumba wangu simuelewi amegoma kunipata raha mpaka tutakapo funga ndoa, Nimejitahid kumueleza jinsi ambavyo napata shida kwa hisia niwapo nae lkn amekomaa namsimamo wake. Hofu yangu nikwamba nisijeuziwa mbuzi kwenye gunia kumbe mtu si ridhiki.
Tulipo kutana mara ya kwanza mpaka ya tatu alidai tukipima tu hakutakuwa na shida tutapeana raha cha ajabu baada ya kupima tukaonekana wote tupo poa amekuja na single nyingne et tungoje mpaka ndoa.
wadau nisaidieni
mim naishi kwangu namaisha yangu sina dhiki kwakweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lkn dushe lake ananinyima. kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? kwangu mim dushe ndio uhitaji wangu mkubwa.
Kma Amekuja Na "Single" Ingne Ya Tungoje Mpka Ndoa, Subili Hiyo Single Ichuje Aje Na Mpyaa!!! aahaaa!!! Sikia Siku Mkiwa Farangha, Mfanyie Michezo Ya Kimahaba Bila Kusubil Ruhusa Yake Hakikisha Unampa Michezo Ya Hatari..Kma Ni Mzima Au Mbovu Itajulikana Acha Kuhisi Hisi Mfanyie Michezo Ya Kimahaba Haswa....Dushe Lake Likigoma Angalau Hata "Kushtuka" Basi Rud Hapa Uje Pm Kwangu Tuyamalize Ya Kiutu Uzima!![emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom