Je, Kuwa na mchumba na msifanye mapenzi mpaka ndoa, inawezekana kwa kizazi cha leo?

Je, Kuwa na mchumba na msifanye mapenzi mpaka ndoa, inawezekana kwa kizazi cha leo?

Wasichana wengine hujikuta wakichezewa kwa kutokujua kwao mapenzi ni kitu gani. Mwanamke asiyetambua kipi kingine hunogesha mapenzi ukiondoa ngono ni mwanamke ambaye hastahili kuwekwa ndani. Mapenzi ni Zaidi Yangu Uifikiriayo na Mapenzi ni Zaidi Ya Utamu uusemao. Unaweza ukatoa penzi Ukajikuta ukiachwa na unaweza usitoe ukajikuta Ukipendwa milele. Kuwa muangarifu katika kuchagua na kuwa makini na unachokihitaji. Uchi wa mwanamke unathamani kubwa
ndiyo maana siugawi hovyo zaid ya kumtaka yeye
 
Wasichana wengine hujikuta wakichezewa kwa kutokujua kwao mapenzi ni kitu gani. Mwanamke asiyetambua kipi kingine hunogesha mapenzi ukiondoa ngono ni mwanamke ambaye hastahili kuwekwa ndani. Mapenzi ni Zaidi Yangu Uifikiriayo na Mapenzi ni Zaidi Ya Utamu uusemao. Unaweza ukatoa penzi Ukajikuta ukiachwa na unaweza usitoe ukajikuta Ukipendwa milele. Kuwa muangarifu katika kuchagua na kuwa makini na unachokihitaji. Uchi wa mwanamke unathamani kubwa
pole
 
Wadau salam!
Naomba kujua kutoka kwenu kuwa inawezekana kuwa na mchumba na msisex mpaka ndoa?

Nimeuliza hivyo kwakuwa mchumba wangu simuelewi amegoma kunipata raha mpaka tutakapo funga ndoa, Nimejitahidi kumueleza jinsi ambavyo napata shida kwa hisia niwapo nae lkn amekomaa na msimamo wake. Hofu yangu ni kwamba nisijeuziwa mbuzi kwenye gunia kumbe mtu si ridhiki.

Tulipo kutana mara ya kwanza mpaka ya tatu alidai tukipima tu hakutakuwa na shida tutapeana raha cha ajabu baada ya kupima tukaonekana wote tupo poa amekuja na single nyingne et tungoje mpaka ndoa.

Wadau nisaidieni
Mimi naishi kwangu na maisha yangu sina dhiki kwa kweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lakini dushe lake ananinyima. Kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? Kwangu mimi dushe ndio uhitaji wangu mkubwa.
acha kufikiri kwa kutumia uchi wewe!
 
we jaribu mchezee yani mtie nyege mpka to the maximum na hyo iwe ni bila yeye kutarajia, ikishndkana hapo bs ujue jamaa "hapigi mechi"
 
mchecheto kwa bahati nzuri sihitaji kila mwanaume..huyu ni kwasababu ninafuture nae ndio maana nataka kujua ulijali wake kabla ya ndoa..vingenevyo singetaka kusex nae.
Mbona mapanga3 unajibu as if wewe ndo mwenye thread?
siyovyema na wala sijamtuma mtu ajibu kwa niaba yangu.
Nikuulize lengo lako ni nini?
Au huna tabia ya ustaarabu SIJAPENDA, NA NAOMBA MODS MSIRUHUSU MTU KUINGILIA THREADS ZA WENGINE this is not fair real..sijapenda nisaidiwe kumuadhibu kwa hili.
 
Narudie MAPANGA3 amepata wapi haki ya kujibu thread yangu as if yeye ndiyo mimi? Wahusika wa jf naomba huyu ndugu achuliwe hatua ya wazi na mim nione..sijapenda kabsa.
 
Wadau salam!
Naomba kujua kutoka kwenu kuwa inawezekana kuwa na mchumba na msisex mpaka ndoa?

Nimeuliza hivyo kwakuwa mchumba wangu simuelewi amegoma kunipata raha mpaka tutakapo funga ndoa, Nimejitahidi kumueleza jinsi ambavyo napata shida kwa hisia niwapo nae lkn amekomaa na msimamo wake. Hofu yangu ni kwamba nisijeuziwa mbuzi kwenye gunia kumbe mtu si ridhiki.

Tulipo kutana mara ya kwanza mpaka ya tatu alidai tukipima tu hakutakuwa na shida tutapeana raha cha ajabu baada ya kupima tukaonekana wote tupo poa amekuja na single nyingne et tungoje mpaka ndoa.

Wadau nisaidieni
Mimi naishi kwangu na maisha yangu sina dhiki kwa kweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lakini dushe lake ananinyima. Kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? Kwangu mimi dushe ndio uhitaji wangu mkubwa.
Kwanza kumbuka uzinzi ni dhambi, na kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa ni uzinzi!!! Dada epuka uzinzi ili udumu katika mahusiano mema!
Mchumba anayekushauri mema anafaa zaidi kuliko huyo anayekushawishi kutenda dhambi ya uzinzi.
Kutofanya zinaa kabla ya ndoa huongeza uaminifu na upendo katika ndoa. Uzinzi kabla ya ndoa huondoa uaminifu kwa kila mwana ndoa na ndio chanzo kikuu cha kuvunjika kwa ndoa. Baada ya uzinzi shetani huanza kuwafuata na kuwahukumu kwa yaliyopita. Hata kama mtakuwa mmesimama vyema na Mungu wenu bado hamtaweza kudumisha ule upendo nanuaminifu kama ule kama mngeanza kwa uaminifu.
Kuhusu swala la kuuziwa mbuzi kwenye gunia; hayo ni mawazo ya walioshindwa, ukishindwa kuongozwa na Mungu kila wazo utakalowaza litakuwa la kipumbavu tu! Mawazo hayo ni ya kitoto, hakuna mwanamume anayeweza kuamua kuoa huku akiwa si mzima. Huyo mchumba wako anakupenda ndio maana anakushauri lililo jema. Je kama ikitokea umemwonja na akakuona kuwa wewe humfai na akaamua kukuacha utafurahi?
Ndoa bila uzinzi inawezekana na inafaa sana kwa maisha bora yenye furaha na uaminifu tele. Mungu akubariki na akuponye.
 
Hamna haja ya kungwi hapa.mkuu wengine sio kabisa wanasingizia kuabstain kumbe wanafichaa madhaifu yao. Ufike huko kwenye ndoa kumbe dushe lenyewe hali function utafanyaje?
 
Dear I am still the same never change but naomba for this message uniache tuu please... Thanks..
Usijali nakuacha mkuu lakini malaika hawezi kugeuka shetani kwa kufuata amri za shetani, bali husimama kwa misingi aliyonayo bila kutetereka
 
Napinga hilo na haifai kumwita ana pepo la uzinzi! Kuna tukio moja nililishughulikia lililonishawishi pengine ni salama vijana kukutana angalau mara moja kabla ya ndoa kujiridhisha kila mmoja yupo sawa.
Ilikuwa hivi; Binti alikutana na kijana tangu akiwa kidato cha pili na kujikuta wakiwa wachumba. Kijana alimshawishi mwenzie akajitambulishe rasmi kama mchumba kwa ahadi wataoana pindi Binti atakapomaliza shule. Wazazi walimkubalia kijana na kijana alikuwa akimimina zawadi nzito nzito kwa Binti na wazazi, na ilifika wakati walikuwa wakiruhusiwa kutoka wote na kusafiri hadi Arusha, Tanga na Mwanza. Binti anasema kila walipofanya romance na Binti kupandisha mzuka kijana alimsihi atulie kwani ipo siku atachoka mwenyewe.
Alopofaulu kwenda F5 Binti alikuwa anataka kuacha kuendelea na masomo ili aolewe kwanza lakini kijana alimsisitizia amalizie kidato cha sita na hata shahada kwani hakuwa na haraka. Alimnunulia Baba mkwe gari pick up kama zawadi kwa Binti kufanya vizuri kimasomo.
Uhusiano sasa ulikuwa karibu zaidi Binti akienda kukaa kwa mchumbawe hadi wiki nzima au zaidi lakini kila alipombembeleza mwenzie wafanye alikataa katakata akidai wakifanya watachokana na anaweza badili mawazo! Binti alilipeleka shauri kwa mama na kukaripiwa vikali kwamba yule ndiye mchumba sahihi maana hataki kumchezea!
Matokeo ya kidato cha sita hayakuwa mazuri sana kwa hiyo ilibidi waoane licha ya kijana kupiga kifua angemsomesha kwa gharama. Binti alikataa katakata kwa hiyo ilibidi ndoa ifungwe.
Kijana alianza kuonyesha mambo yamemshinda kuanzia wakiwa kwenye honeymoon, ambapo aliendelea kusisitiza eti kule ni sehemu ya kufanya tafakari ya maisha yao kiroho!
Kuona hivyo Binti alidai warudi nyumbani na mambo yalikuwa kama siku zote, kijana akihangaika na kumwingiza madole na kumyonya ulimi bila ya tendo. Binti alivumilia hadi mwaka ambapo mwaka wa pili alipata mchepuko na kuhakikisha anapata mimba potelea mbali litakalotokea, ajabu kijana alifurahi sana kwa mkewe kupata mimba, akaita marafiki na kufanya kijisherehe! Mtoto alizaliwa akifanana sana na mama na kijana aliwapenda mno mtoto na mama. Mtoto alipofika miaka mitatu mama alihitaji mtoto tena, alimhimiza mwenzie akatibiwe na haikupita nafuu licha ya kwenda hadi India! Mama atapata mimba ya mchepuko mwingine ambao kijana alikubali kama kwanza. Mtoto wa pili alipofika miaka mitatu mama aliamua kuweka mambo hadharani ambapo baada ya mvutano mkali kanisa liliibatilisha ndoa na kuitengua lakini kijana alibaki na watoto wake!
Hii ni kama hadithi! Matokeo haya ni nadra sana kutokea. Hujaeleza kama tatizo la mwanamume lilikuwa hawezi kuzaa au hawezi kushiriki tendo la ndoa? Kama hawezi tendo la ndoa ilikuwaje wakakaa muda wote huo? Yawezekana vilevile mtu akaweza kumudu vyema tendo la ndoa lakini asiweze kumtia mimba mwanamke!
Kwa hali hiyo hata mtajaribisha kabla ya ndoa hamtagundua hayo ya ugumba mpaka mtakapokaa kwa muda.
Kikubwa ni kumwomba Mungu na kuwa waaminifu wa kweli. Upendo huvumilia yote!
 
Hii ni kama hadithi! Matokeo haya ni nadra sana kutokea. Hujaeleza kama tatizo la mwanamume lilikuwa hawezi kuzaa au hawezi kushiriki tendo la ndoa? Kama hawezi tendo la ndoa ilikuwaje wakakaa muda wote huo? Yawezekana vilevile mtu akaweza kumudu vyema tendo la ndoa lakini asiweze kumtia mimba mwanamke!
Kwa hali hiyo hata mtajaribisha kabla ya ndoa hamtagundua hayo ya ugumba mpaka mtakapokaa kwa muda.
Kikubwa ni kumwomba Mungu na kuwa waaminifu wa kweli. Upendo huvumilia yote!
Usichanganye mada issue hapa ni uwezo wa tendo na si ugumba..la ugumba dogo sana nikioni sipati mimba nachepuka kdgo nikirud kitu tayari nambambika safari inaendelea.
 
Usichanganye mada issue hapa ni uwezo wa tendo na si ugumba..la ugumba dogo sana nikioni sipati mimba nachepuka kdgo nikirud kitu tayari nambambika safari inaendelea.
Hapo dadangu nilikuwa natoa ishauri kwenye post nyingine tofauti kidogo ambayo ilifanana kama ugumba ndio maana nikamwambia aliyepost atoe maelezo yaliyojitisheleza. Hata hivyo kuchepuka hakufai. Be thou faithful unto death!
 
Kama unampenda subiri hadi mfunge ndoa maana ukimkuta anakasoro hata ndogo utamuacha lkn ukiwa umeoa huwezi kumwacha
 
Tatizo vijana wa siku hizi hata maana ya uchumba mnaambatanisha na mila sijui mira kwa kweli kama we ni mtu unayetaka kufanya ngono kabla ya ndoa nakuhakikishia hutaifurahia ndoa yako na pia huwi tofauti na wale waliokutana na kutoroshana majumbani kwenda kuanza maisha mtafunga ndoa lakini hamtakuwa na ujasiri wa kuwaeleza vijana wenu wa baadae ukweli kuhusu maisha ya ujana amua mwenyewe njia ni mbili tu mshawishi mfanye alafu ujionee mwenyewe au usubiri mfunge ndoa pia uchumba wa muda mlefu mpaka mwaka au miaka ni uchumba hatarishi kuwa makini sana dada sijui kaka dah!.........…?!
 
Back
Top Bottom