Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kipofu anapoona Mwezi.Halafu wachezaji wao muhimu 9 walikutwa na Covid wakati huo.
Hao utopolo a.k.a mavi kwenye chupi hawawezi kukwambia hata huyo Al Hilal alipigwa na mnyama goli 4-1.
Hata hivyo ni kwa vile hawana kumbukumbu watu wenyewe hawana akili,kama wanazo ni za manyani tu
Hata wajinga huzeeka pia. Kwa hiyo sio kila mzee ana busara.Uchambuzi wangu baada ya hii mechi;
Tukienda kimahesabu kabisa hawa makolo wamepiga bomu mochwari wanajisifu wameua.[emoji23][emoji23]
Baada ya kuotea kupangwa na timu ndogo kabisa na kufunga japo kwa magoli machache.
Takwimu
Namungo 6 - Agosto 2
Simba 3 - Agosto 1
Cross multiplication
Swali: Je, Simba ni underdog kwa Namungo, kwenye mechi dhidi ya De Agosto?
Mkuu....unadhani Simba mngeweza kufunga hio timu...Ooh Al Hilal ni timu inayojitafuta sisi tupo vizuri na tutampiga kama ngoma, sasa hivi mnatafuta pakuhemea.
Mlivyowapiga wale wawekezaji wa Kalynda Zalan FC, basi mkajiona mataita subirini hapo Sudan mkanuswe kinyeo vizuri
Cheki kenge huyuVipi kuhusu al hilal? nae kapangiwa vibonde uto? maana hapa sudan mashabiki wa al merreck wanawakejeli al hilal wametoa dro na kibonde! tena wanaenda mbali zaidi kwa kusema tz kuna timu 1 tu inayojulikana na kwamba kama wangekutana na hiyo timu basi wangekua wanajiandaa kumfukuza ibenge! eti jamani sie utomax ni hatujulikan?
Tulipigwa goli moja pale kwao mechi ya kirafiki. Namba sita alikua Peter Banda na Golini alikua kipa namba 3, wachezaji tisa wapo timu ya Taifa. Na uwanjani walikua wamejaa wao tu ila game haikutuelemea kama iliyokua kwenu.Mkuu....unadhani Simba mngeweza kufunga hio timu...
Una dalili zote za kuwa kigagula hapo mtaani.Uchambuzi wangu baada ya hii mechi;
Tukienda kimahesabu kabisa hawa makolo wamepiga bomu mochwari wanajisifu wameua.[emoji23][emoji23]
Baada ya kuotea kupangwa na timu ndogo kabisa na kufunga japo kwa magoli machache.
Takwimu
Namungo 6 - Agosto 2
Simba 3 - Agosto 1
Cross multiplication
Swali: Je, Simba ni underdog kwa Namungo, kwenye mechi dhidi ya De Agosto?
Ndio maana yake mkuuMkuu... unamaanisha tuache wafu wazikane wenyew [emoji23][emoji23]
Kenge ameingia mataqoni mwako!Cheki kenge huyu
Wamepiga bomu chooni mkuu ndio maana harufu imefika mpaka jangwani. Btw hongereni sana aisee mlipewa moja ya timu ngumu sana barani Afrika katika mzunguko wa kwanza, Zalan FC na mkatutoa watanzania kimasomaso kwa kuitoa timu ngumu sana na tishio hatua za awaliUchambuzi wangu baada ya hii mechi;
Tukienda kimahesabu kabisa hawa makolo wamepiga bomu mochwari wanajisifu wameua.[emoji23][emoji23]
Baada ya kuotea kupangwa na timu ndogo kabisa na kufunga japo kwa magoli machache.
Takwimu
Namungo 6 - Agosto 2
Simba 3 - Agosto 1
Cross multiplication
Swali: Je, Simba ni underdog kwa Namungo, kwenye mechi dhidi ya De Agosto?
Zalan ni bora ya Mbuni FC
Utopolo bana,...wazee wa takwimu za home and away wakiwa home pale pale.
Kwahiyo Al Hilal ni team ngumu ? Vipi sasa zile kauli zenu za kusema mtawapiga kama ngoma si chini ya goli tatu?[emoji23]Mkuu....unadhani Simba mngeweza kufunga hio timu...
Kenge ni nyie mnaojaribu kujiingiza kiboya kwenye msafara wa mamba kuelekea makundi CAFCL.Cheki kenge huyu