Huu Ni uchambuzi mzee....Swa
Sasa mechi ya pili haijachezwa then una draw conclusion kwa reference ya Namungo? Typical foolishness. Namungo alishinda hizo goli sita akiwa wapi chamazi. Pili alishinda jumla ya magoli 6 kwa mechi zote mbili au moja, wewe ni mtabiri au ? Unajua matokeo ya mechi ya pili?
Simba ameshinda goli tatu akiwa Angola na sio chamazi. Pili mbona Al hilal alifungwa goli nne na Simba akiwa taifa na yanga ameshindwa?
You see how stupid you are.
Makolo huwa kujenga hoja ....mnafeli sanaHalafu wachezaji wao muhimu 9 walikutwa na Covid wakati huo.
Hao utopolo a.k.a mavi kwenye chupi hawawezi kukwambia hata huyo Al Hilal alipigwa na mnyama goli 4-1.
Hata hivyo ni kwa vile hawana kumbukumbu watu wenyewe hawana akili,kama wanazo ni za manyani tu
Sudani meza inaenda kupinduliwaHata wajinga huzeeka pia. Kwa hiyo sio kila mzee ana busara.
Kwa hiyo AL Hilal alipigwa 4 kwa 1 na Simba kwa Mkapa unahitimisha Yanga wametoa droo na underdog kwa vile Yanga alomfunga Simba aliyemfunga Al Hilal.
Subiri kichapo Sudan na mtajifariji sana.
Lilikuwa Bonanza ....bila shaka [emoji23]Vipi na hawa? View attachment 2382706
Lkn uliwaona walivyoimarika ....Tulipigwa goli moja pale kwao mechi ya kirafiki. Namba sita alikua Peter Banda na Golini alikua kipa namba 3, wachezaji tisa wapo timu ya Taifa. Na uwanjani walikua wamejaa wao tu ila game haikutuelemea kama iliyokua kwenu.
Mara ya mwisho tulipocheza nao tukiwa kamili walikufa 4-1 kwa Mkapa
Hapana mkuu....zaran haikuwa tishio sanaWamepiga bomu chooni mkuu ndio maana harufu imefika mpaka jangwani. Btw hongereni sana aisee mlipewa moja ya timu ngumu sana barani Afrika katika mzunguko wa kwanza, Zalan FC na mkatutoa watanzania kimasomaso kwa kuitoa timu ngumu sana na tishio hatua za awali
Kwa hili Ni kweli mkuu.....walitudanganya wasenge waleKwahiyo Al Hilal ni team ngumu ? Vipi sasa zile kauli zenu za kusema mtawapiga kama ngoma si chini ya goli tatu?[emoji23]
Waliwaset kwenye mtego wa kujifanya wamefungwa na academy ya Mazembe 3-0 , mkaingia uwanjana mkiwa na mindset HILAL ni vibonde.
Hii ligi inahitaji mbinu sana mzee, atleast mmeanza kutambua kuwa Hilal si level zenu.
De agosto tungekutana nae sie tungemcharanga 5-0Weka rank ya CAF ya De agosto na ile ya Yanga tuone!
Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
Tumewahi kukaa kundi moja na akina Ahly, As Vita, Merreikh kiasi kwamba mkadhani ni mwisho wetu ila tukaongoza kundi..!Nadhani ndio utakuwa mwisho wenu
Tusisahau kuwa hiyo Agosto imewahi kufika semi final ya CAF champions league achievement ambayo hakina club ya East Africa iliyofikia. Pia angalia ranking yake ktk CAF then compare with other teamsWamepiga bomu chooni mkuu ndio maana harufu imefika mpaka jangwani. Btw hongereni sana aisee mlipewa moja ya timu ngumu sana barani Afrika katika mzunguko wa kwanza, Zalan FC na mkatutoa watanzania kimasomaso kwa kuitoa timu ngumu sana na tishio hatua za awali