Je, kwa De Agosto, Simba wamepiga bomu makaburini au mochwari?

Je, kwa De Agosto, Simba wamepiga bomu makaburini au mochwari?

Swa

Sasa mechi ya pili haijachezwa then una draw conclusion kwa reference ya Namungo? Typical foolishness. Namungo alishinda hizo goli sita akiwa wapi chamazi. Pili alishinda jumla ya magoli 6 kwa mechi zote mbili au moja, wewe ni mtabiri au ? Unajua matokeo ya mechi ya pili?

Simba ameshinda goli tatu akiwa Angola na sio chamazi. Pili mbona Al hilal alifungwa goli nne na Simba akiwa taifa na yanga ameshindwa?

You see how stupid you are.
Huu Ni uchambuzi mzee....
 
Halafu wachezaji wao muhimu 9 walikutwa na Covid wakati huo.

Hao utopolo a.k.a mavi kwenye chupi hawawezi kukwambia hata huyo Al Hilal alipigwa na mnyama goli 4-1.
Hata hivyo ni kwa vile hawana kumbukumbu watu wenyewe hawana akili,kama wanazo ni za manyani tu
Makolo huwa kujenga hoja ....mnafeli sana
 
Hata wajinga huzeeka pia. Kwa hiyo sio kila mzee ana busara.

Kwa hiyo AL Hilal alipigwa 4 kwa 1 na Simba kwa Mkapa unahitimisha Yanga wametoa droo na underdog kwa vile Yanga alomfunga Simba aliyemfunga Al Hilal.

Subiri kichapo Sudan na mtajifariji sana.
Sudani meza inaenda kupinduliwa
 
Tulipigwa goli moja pale kwao mechi ya kirafiki. Namba sita alikua Peter Banda na Golini alikua kipa namba 3, wachezaji tisa wapo timu ya Taifa. Na uwanjani walikua wamejaa wao tu ila game haikutuelemea kama iliyokua kwenu.

Mara ya mwisho tulipocheza nao tukiwa kamili walikufa 4-1 kwa Mkapa
Lkn uliwaona walivyoimarika ....

Nadhani ingekuwa mechi ya mashindano mngepigwa heavyweight
 
Wamepiga bomu chooni mkuu ndio maana harufu imefika mpaka jangwani. Btw hongereni sana aisee mlipewa moja ya timu ngumu sana barani Afrika katika mzunguko wa kwanza, Zalan FC na mkatutoa watanzania kimasomaso kwa kuitoa timu ngumu sana na tishio hatua za awali
Hapana mkuu....zaran haikuwa tishio sana
 
Kwahiyo Al Hilal ni team ngumu ? Vipi sasa zile kauli zenu za kusema mtawapiga kama ngoma si chini ya goli tatu?[emoji23]

Waliwaset kwenye mtego wa kujifanya wamefungwa na academy ya Mazembe 3-0 , mkaingia uwanjana mkiwa na mindset HILAL ni vibonde.

Hii ligi inahitaji mbinu sana mzee, atleast mmeanza kutambua kuwa Hilal si level zenu.
Kwa hili Ni kweli mkuu.....walitudanganya wasenge wale

Lkn tunawafuata kwao....
 
Wamepiga bomu chooni mkuu ndio maana harufu imefika mpaka jangwani. Btw hongereni sana aisee mlipewa moja ya timu ngumu sana barani Afrika katika mzunguko wa kwanza, Zalan FC na mkatutoa watanzania kimasomaso kwa kuitoa timu ngumu sana na tishio hatua za awali
Tusisahau kuwa hiyo Agosto imewahi kufika semi final ya CAF champions league achievement ambayo hakina club ya East Africa iliyofikia. Pia angalia ranking yake ktk CAF then compare with other teams
 
Back
Top Bottom