Je, kwa hii kauli ya Papa, ameruhusu au amekataza ushoga??

Je, kwa hii kauli ya Papa, ameruhusu au amekataza ushoga??

enzo1988

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2018
Posts
1,838
Reaction score
7,346
Hivi karibuni Vatikani imeidhinisha wanaume mashoga kuwa mapadre iwapo wanaume hao watakuwa hashiriki tendo la ndoa.

Ingawa kanisa hilo halikuwahi kukataza wapenzi wa jinsia moja kuwa mapadri, mwaka 2016 Vaticn ilikataza wanaume wenye tabia kama hizo kuwa viongozi au mapadri

=====================================================
The Vatican has given the green light for gay men to become priests - as long as they remain celibate.

In an unexpected adjustment to practice in the Catholic Church, the new guidelines from Italian bishops will allow gay men to enter

Although the Vatican had not explicitly prohibited gay men from entering the priesthood in the past, an instruction from 2016 barred men who have "deep-seated homosexual tendencies".

The new guidelines, approved by Italian bishops, say seminary directors should consider a priestly candidate's sexual preferences, but only as one aspect of their personality.

"When referring to homosexual tendencies in the formation process, it is also appropriate not to reduce the discernment to this aspect alone, but … to understand its meaning within the whole framework of the young person's personality," the guidelines say.

Pope Francis, who has been pontiff since 2013, has been viewed by some as having taken a more welcoming approach towards the LGBTQ+ community.

This has included allowing priests to bless same-sex couples on a case-by-case basis - but the admittance of gay men into the priesthood has remained a taboo subject

Source: Sky News
 

Gay men can become priests, as long as they remain celibate, new Italian guidelines say​


It's an unexpected adjustment from the Vatican, which previously said that men with "deep-seated homosexual tendencies" could not become priests.

Saturday 11 January 2025 15:58, UK


celibate

not having sex, especially because you have made a religious promise not to

a person who does not have
sex

Huwa sielewi kwanini Papa na kanisa lake wanashindwa kunyoosha maelezo kuhusu ushoga.
Lazima wana maslahi na hizi kauli tata.
 
Mashoga ni binadamu kama ulivyo wewe, kubali kataa ninyi nyote ni wa Mungu na anawapenda na kuwapa yaliyo sawa.
Jua likiwaka lenu nyote, mvua ikinyesha yenu wote, pumzi kawapa wote.

Utawahukumu hapa lakini wakitubu na kumrudia Muumba atawasamehe na kuwasafisha.

Yesu alikuja duniani kwa ajili ya watu wa namna hiyo, wapeni nafasi, kaeni karibu nao kama Yesu alivyofanya kukaa na wadhambi.
 
Mashoga ni binadamu kama ulivyo wewe, kubali kataa ninyi nyote ni wa Mungu na anawapenda na kuwapa yaliyo sawa.
Jua likiwaka lenu nyote, mvua ikinyesha yenu wote, pumzi kawapa wote.

Utawahukumu hapa lakini wakitubu na kumrudia Muumba atawasamehe na kuwasafisha.

Yesu alikuja duniani kwa ajili ya watu wa namna hiyo, wapeni nafasi, kaeni karibu nao kama Yesu alivyofanya kukaa na wadhambi.
Hawa wangekatwa vichwa kwa kuhama kutoka utu kwenda ushoga.
Shaga siyo binadamu kama wengine, kwani wewe unajiona sawa na shoga?
 
Mashoga ni binadamu kama ulivyo wewe, kubali kataa ninyi nyote ni wa Mungu na anawapenda na kuwapa yaliyo sawa.
Jua likiwaka lenu nyote, mvua ikinyesha yenu wote, pumzi kawapa wote.

Utawahukumu hapa lakini wakitubu na kumrudia Muumba atawasamehe na kuwasafisha.

Yesu alikuja duniani kwa ajili ya watu wa namna hiyo, wapeni nafasi, kaeni karibu nao kama Yesu alivyofanya kukaa na wadhambi.
Sasa kwanini maandiko ya kitabu chao yanapinga ushoga na Papa ana support?
 
Mashoga ni binadamu kama ulivyo wewe, kubali kataa ninyi nyote ni wa Mungu na anawapenda na kuwapa yaliyo sawa.
Jua likiwaka lenu nyote, mvua ikinyesha yenu wote, pumzi kawapa wote.

Utawahukumu hapa lakini wakitubu na kumrudia Muumba atawasamehe na kuwasafisha.

Yesu alikuja duniani kwa ajili ya watu wa namna hiyo, wapeni nafasi, kaeni karibu nao kama Yesu alivyofanya kukaa na wadhambi.
Naunga mkono hoja.

Mungu muweza wa yote hawezi kuumba mashoga kama hataki wawepo.
 
embu tuone wapi yanapinga?

Warumi 1:26-27

26 Kwa hiyo, Mungu aliwaachia wafuate tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao waliacha matumizi ya asili ya maumbile yao wakatumia miili yao isivyokusudiwa. 27 Hali kadhalika wanaume waliacha uhusiano wa asili kati ya waume na wake wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume walifanyiana mambo ya aibu, nao waka pata katika miili yao adhabu waliyostahili kama matokeo ya uovu wao.
 
Back
Top Bottom