byeyombo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 2,647
- 4,184
BRAZA CHOGO kumbe ni wa kikeSawa mmee wanguu 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BRAZA CHOGO kumbe ni wa kikeSawa mmee wanguu 🤣🤣🤣
Kwahiyo mkuu Vishu Mtata ushoga uwe ruksa?Mashoga ni binadamu kama ulivyo wewe, kubali kataa ninyi nyote ni wa Mungu na anawapenda na kuwapa yaliyo sawa.
Jua likiwaka lenu nyote, mvua ikinyesha yenu wote, pumzi kawapa wote.
Utawahukumu hapa lakini wakitubu na kumrudia Muumba atawasamehe na kuwasafisha.
Yesu alikuja duniani kwa ajili ya watu wa namna hiyo, wapeni nafasi, kaeni karibu nao kama Yesu alivyofanya kukaa na wadhambi.
Naupenda uislamu una mafundisho ya wazi...Suala sio kuenda msikitini au wapi, suala wewe mahusiano yako binafsi na Mungu yakoje
Sasa unaenda huko msikitini nako ukijua imam au sheikh naye pia ni mchicha mwiba pia utahamia kwa wahindu au itakuwaje mkuu
Aaaaaah nilikupa namba mbn hukunicheki beibyDaddy nataman kunyonya alamba
Mkuu una mana watu walambishane dole la sokwe mtu lenye unyoa kwenye vishundu🤷🏽♂️😂😂Ushoga sasa RUKSAAAAH, ni mwendo wa kupakuana vinyeo kwa RAHA ZOTEEE bila TASHWISHWI.
Cc: Kijana masikini Dogoli kinyamkela Labella Poor Brain Mbaga Jr Extrovert Tlaatlaah chiembe ChoiceVariable
Ur not serious my frnd sijui unaamini kama mungu yupo ila ukiamini kama yupo kemea hivyo vitendo wanavyofanya hao binadam mashoga iwe Mwanaume au mwanamke , just imagin kaka yako, mdogowako au mwano wa kiume anakunjwa Saba we ungemchukuliaje au ungesikiaje , afu unasema watakuja kuungama wasamehewe sababu mungu husamehe yyte alietambua kosa lake ok fine kama hawajaungama na Mungu akawachukua we unadhan kinachofata ni nn hapo, Holly fire will be on them god Forbid....Mashoga ni binadamu kama ulivyo wewe, kubali kataa ninyi nyote ni wa Mungu na anawapenda na kuwapa yaliyo sawa.
Jua likiwaka lenu nyote, mvua ikinyesha yenu wote, pumzi kawapa wote.
Utawahukumu hapa lakini wakitubu na kumrudia Muumba atawasamehe na kuwasafisha.
Yesu alikuja duniani kwa ajili ya watu wa namna hiyo, wapeni nafasi, kaeni karibu nao kama Yesu alivyofanya kukaa na wadhambi.
Ukristu uko wazi yaani labda kwa kuwa ukristu una uhuru sana ndo maana kila mmoja akiwa na maarifa kidogo anakuja na doctrine yake, ila kiukweli mafundisho ya kikristu yako wazi kabisa na msingi wetu sisi ni biblia ambayo ipo wazi kwa kila mtu, inakemea kila aina ya ubaya na uchafu. Unachopaswa kujua ni kuwa shetani hahawahi kuchoka kuwinda roho za watu hapa duniani na silaha yake kubwa ni kupiga kwenye misingi ya watu vijana tunaita kwenye mshono "si mnasema Kanisa katoliki mnatii kiongozi wenu eeh haya namfanya mtumwa wangu" tunasahau kuwa hata papa alizaliwa, akabatizwa, alizini, alifanya dhambi zingine akatubu na anaweza tena kutumiwa na shetani hata baada ya kuwa na mamlaka ndani ya Kanisa.Naupenda uislamu una mafundisho ya wazi...
Japo wenye dini wana mambo mengi lakini na u feel sana uislamu ndani yangu.....
Hapa nilipo nijiita Abdul ukiachana na kumwambia huyo bibiye .....
Ila nadhani ukristo Kuna vingi vinaendekezwa,, mkuu
He's not serious at all, ye na Papa fransis wote walewaleUr not serious my frnd sijui unaamini kama mungu yupo ila ukiamini kama yupo kemea hivyo vitendo wanavyofanya hao binadam mashoga iwe Mwanaume au mwanamke , just imagin kaka yako, mdogowako au mwano wa kiume anakunjwa Saba we ungemchukuliaje au ungesikiaje , afu unasema watakuja kuungama wasamehewe sababu mungu husamehe yyte alietambua kosa lake ok fine kama hawajaungama na Mungu akawachukua we unadhan kinachofata ni nn hapo, Holly fire will be on them god Forbid....
Uchoko mtakatifuHuwa sielewi kwanini Papa na kanisa lake wanashindwa kunyoosha maelezo kuhusu ushoga.
Lazima wana maslahi na hizi kauli tata.
Naona unawaalika kabisaaHammaz Bwana Utam piteni hapa..
Maana yake hakiamini chote hicho kitabu unachosemaSasa kwanini maandiko ya kitabu chao yanapinga ushoga na Papa ana support?
Waumini wanatakiwa kufuata kitabu si mtu au mtu atakayefatwa awe anamfata Yesu.Hii dini iekuwa unafiki, kitabu kinasema kinyume na maneno ya Papa, je waumini wafuate lipi?
Papa na wenzake wengi huko magharibi hawana shida na ushoga ila wanajua kwa Wakatoliki wengine Africa na sehemu kubwa ya Asia hawakubali kabisa hilo jambo kwa hiyo wanatafuta namna ya ku balance.Huwa sielewi kwanini Papa na kanisa lake wanashindwa kunyoosha maelezo kuhusu ushoga.
Lazima wana maslahi na hizi kauli tata.
Imam Au Shekhe Itakuwa Siri Yake Ila Braza Papa Anataka Kuwaaminisha Wakatoliki Wote Wamulikane Tochi Mchana Kweupe Yaani Sio Shida Kwa Maneno Haya Ya Papa Namkumbuka Mzee Wa Kumiminwa.Suala sio kuenda msikitini au wapi, suala wewe mahusiano yako binafsi na Mungu yakoje
Sasa unaenda huko msikitini nako ukijua imam au sheikh naye pia ni mchicha mwiba pia utahamia kwa wahindu au itakuwaje mkuu
Ushoga sio maumbile bali ni tabia. Hakuna mtu anaumbwa shoga tena hasa ukilitumia neno lenyewe la Gay. Maana yake anayepelekewa moto na anayempelekea moto mwenzake wote ni magay. kiswahili tushazoea shoga ni yule anayepelekewa moto tu.Mashoga ni binadamu kama ulivyo wewe