Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sio BICHWA KOMWE kweli?Ushoga sasa RUKSAAAAH, ni mwendo wa kupakuana vinyeo kwa RAHA ZOTEEE bila TASHWISHWI.
Cc: Kijana masikini Dogoli kinyamkela Labella Poor Brain Mbaga Jr Extrovert Tlaatlaah chiembe ChoiceVariable
Nani kasema ushoga mtu anazaliwa nao??Ushoga sio maumbile bali ni tabia. Hakuna mtu anaumbwa shoga tena hasa ukilitumia neno lenyewe la Gay. Maana yake anayepelekewa moto na anayempelekea moto mwenzake wote ni magay. kiswahili tushazoea shoga ni yule anayepelekewa moto tu.
Sasa hebu niambie Binadamu gani alozaliwa halafu akawa anawafir* wenzake kisha eti tuseme ni maumbile? Hapo hakuna cha maumbile bali ni tabia.
Ndio maana mambo haya huyasikii kwa Orthodox.
Labda nlichomuelewa Papa ni kwamba kama wakitubu na kutorudia kufanya tena michezo hiyo michafu, basi wanastahili kuwa viongozi.
Ila je wewe bwana mtumishi utajisikiaje kuongozwa ibada na mtu unayejua kabisa kwamba alikuwa bwabwa??
akili kumkichwa
Kitu gani hapo nimeandika hadi useme sipo serious??Ur not serious my frnd sijui unaamini kama mungu yupo ila ukiamini kama yupo kemea hivyo vitendo wanavyofanya hao binadam mashoga iwe Mwanaume au mwanamke , just imagin kaka yako, mdogowako au mwano wa kiume anakunjwa Saba we ungemchukuliaje au ungesikiaje , afu unasema watakuja kuungama wasamehewe sababu mungu husamehe yyte alietambua kosa lake ok fine kama hawajaungama na Mungu akawachukua we unadhan kinachofata ni nn hapo, Holly fire will be on them god Forbid....
Soma mara ya pili nilichoandika.Kwahiyo mkuu Vishu Mtata ushoga uwe ruksa?
Kwani maandiko hayapingi wizi, ulafi, uuaji, uongo,uzinzi nk na je vipi hao watu hawasali makanisani??Sasa kwanini maandiko ya kitabu chao yanapinga ushoga na Papa ana support?
Huwezi kuelewa.Yaani kiongozi wako wa kiroho anakazwa, wewe huoni tatizo lolote?..hongera sana mtumishi.
Lakini hawafundishwi kuiba...Kwani maandiko hayapingi wizi, ulafi, uuaji, uongo,uzinzi nk na je vipi hao watu hawasali makanisani??
Mimi point yangu ni kua wasaidiwe waondoke huko, wasitengwe na kuchukiwa, kutolewa matamko makali makali hayalifanyi kanisa kua safi, kanisa lipo kwa ajili ya kuwakumbusha watu wa namna hiyo wamrudie Mungu.
Tatizo la wengi ni kutaka kuona papa akikemea kwa maneno makali, kuwalaani vilivyo hata ikiwezekana awafungulie mashtaka kabisa ila hapana hawa watu wana tatizo inabidi wasaidiwe.
Ni binadamu kama ulivyo wewe pia sio mimi tu.Hawa wangekatwa vichwa kwa kuhama kutoka utu kwenda ushoga.
Shaga siyo binadamu kama wengine, kwani wewe unajiona sawa na shoga?
Wazungu hawaamini ushoga ni tatizo, Papa ni mzungu na anaishi na wazungu wenzake, mnaompa shida ya kuruhusu ushoga ni Wakatoliki wa Africa na Asia.Kwani maandiko hayapingi wizi, ulafi, uuaji, uongo,uzinzi nk na je vipi hao watu hawasali makanisani??
Mimi point yangu ni kua wasaidiwe waondoke huko, wasitengwe na kuchukiwa, kutolewa matamko makali makali hayalifanyi kanisa kua safi, kanisa lipo kwa ajili ya kuwakumbusha watu wa namna hiyo wamrudie Mungu.
Tatizo la wengi ni kutaka kuona papa akikemea kwa maneno makali, kuwalaani vilivyo hata ikiwezekana awafungulie mashtaka kabisa ila hapana hawa watu wana tatizo inabidi wasaidiwe.
Ushoga ni tatizo, wao uhuru umezidi huko kwao.Wazungu hawaamini ushoga ni tatizo, Papa ni mzungu na anaishi na wazungu wenzake, mnaompa shida ya kuruhusu ushoga ni Wakatoliki wa Africa na Asia.
Kwani ushoga unafundishwa wapi??Lakini hawafundishwi kuiba...
Ni demu huyu afu badilisha jina BRAZA CHOGO 😂 😂Wewe sio BICHWA KOMWE kweli?
Acha kuwatetea kitendo wanachokifanya usiwatetee japo ni binaadam ila wana kiuka uhuru waliopewa mbona mbuzi na ng'ombe wao hawana izo ila ss binaadam kamili ndio tunafanya ushenzi huo, acha kuwatetea kemea inapobid , nadhan ww unandugu au mtt shoga huna budi tuu kuwatetea ila endelea tuu , unakinzana na kaulizako au upokoment huwa huangalii we unapost tuu , kweli Watu pipo tupo tofauti jaribu kusoma unachandika b4 posting....!!?Kitu gani hapo nimeandika hadi useme sipo serious??
Nani kasema ushoga sio kitendo kibaya??
Kama wasipotubu na injili wameisikia ni jambo la wao na Mungu wao mkuu.
Ila sio kujifanya hamuwapendi ilhali ni ndgu zenu huko mtaani, muwaombee watoke huko na sio kuwapa uhuru wa dunia ya peke yao.
Hakuna Mkristo shahidi mwaminifu kwa Yesu Kristo anayeikana bible.Write your reply...Wakristo Huwa Mnakawaida Ya kuikana Na Kuikubali Bible Kuna Mambo Mnayakubali Mengine Mnayakataa Ndo Shida Hiyo.
Dar imewahi kuwa na sheikh wa mkoa shoga na hakuwahi kukemewa kokote na vingozi au waumin wenzake na linajulikana kabisa punga lileUshoga ni tatizo, wao uhuru umezidi huko kwao.
Na hawajaanza hizo mbaga juzi ni kitambo hicho wanayafanya na kulegalize kabisa.
Sijui kama wanakemea au hata kuasa watu waachane nao huko kwao.