Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Maandiko ya kitabu chao ni KWELI yanapinga ushoga. Lakini usipotoshe watu; Papa haja-support ushoga bali ana-support maandiko hayo yanayopinga Ushoga.Sasa kwanini maandiko ya kitabu chao yanapinga ushoga na Papa ana support?