Je, kwa hii kauli ya Papa, ameruhusu au amekataza ushoga??

Je, kwa hii kauli ya Papa, ameruhusu au amekataza ushoga??

Mzee wewe ndo unaeniita rafiki toka mwanzo, sasa hivi tena baada ya mimi kukuchinjilia mbali unajifanya hutaki urafiki

We dogo kaa mbali.
We mbona kauli zako zinajicontradict by the way mm sio mzee mazafanta kacheze unapochezaga axee ,mm afu chukua konzi moja la kishaulin lazima litoke na nyama ya para lako.....
Nenda kalishe pumba zako kwa kitimoto....
 
We mbona kauli zako zinajicontradict by the way mm sio mzee mazafanta kacheze unapochezaga axee ,mm afu chukua konzi moja la kishaulin lazima litoke na nyama ya para lako.....
Nenda kalishe pumba zako kwa kitimoto....
Kitimoto wangu anakula haya mashudu uliyoandika
 
The end is near the bible say it is , hakika mwisho unakaribia Biblia ishasema ivo usodoma sa ivii ni vitu vya kawaida sana , kuna pub flan iko kigamboni na mbagala jina kapun ukiingia hapo unakuta vishoga kila kona tena wakiona mwanume umekaza umekunja wanakuja kwenye meza yako wakiomba bia mi naviangaliagaa tuu ila moyoni daahh inasikitisha sana kuona mwanaume mwenzako yuko kwenye hali ile afu ukifikiria anavokunjwa na kusukumiziwa mashine daaahhh mungu sijui anaadhabu gani kwao....
 
Mashoga ni binadamu kama ulivyo wewe, kubali kataa ninyi nyote ni wa Mungu na anawapenda na kuwapa yaliyo sawa.
Jua likiwaka lenu nyote, mvua ikinyesha yenu wote, pumzi kawapa wote.

Utawahukumu hapa lakini wakitubu na kumrudia Muumba atawasamehe na kuwasafisha.

Yesu alikuja duniani kwa ajili ya watu wa namna hiyo, wapeni nafasi, kaeni karibu nao kama Yesu alivyofanya kukaa na wadhambi.
.
Umejibu vizuri sana ila kuna kitu umesahau kukisema kuhusu ndoa za jinsia moja.
.
Hakuna mahali Mungu ameruhusu ndoa za jinsia moja...never ever. Biblia iko straight kwamba wafiraji wala walawiti hawataurithi ufalme wa Mungu; Rejea 1 Kor 6: 9-11.
.
Mungu anawapenda wenye dhambi lakini anachukia dhambi wanazozifanya... tusichanganye hayo mambo mawili.
 
The end is near the bible say it is , hakika mwisho unakaribia Biblia ishasema ivo usodoma sa ivii ni vitu vya kawaida sana , kuna pub flan iko kigamboni na mbagala jina kapun ukiingia hapo unakuta vishoga kila kona tena wakiona mwanume umekaza umekunja wanakuja kwenye meza yako wakiomba bia mi naviangaliagaa tuu ila moyoni daahh inasikitisha sana kuona mwanaume mwenzako yuko kwenye hali ile afu ukifii anaadhabu gani kwao....
Unajua mkuu haya mambo ya mapenz ya jinsia moja kipnd cha nyuma yalikuwa yanashtua hata kuyasikia lakin siku yamekuwa new norm...

indeed hz ni siku za mwisho..
 
Huwa sielewi kwanini Papa na kanisa lake wanashindwa kunyoosha maelezo kuhusu ushoga.
Lazima wana maslahi na hizi kauli tata.
.
Nawaonea huruma ndugu zangu wakatoliki ambao hawataki kuukubali huu ukweli mchungu.
.
Kumekuwa na sarakasi nyiiingi kwenye hili swala...kama kitu ni haramu kwanini papa asinyooshe tu maelezo kwamba ni marufuku??
.
Hii zunguka zunguka inaashiria watu wanaandaliwa kisaikolojia. Papa atapitisha ndoa za jinsia moja, yawezekana isiwe Francis lakini ni swala la muda tu.
 
Imam Au Shekhe Itakuwa Siri Yake Ila Braza Papa Anataka Kuwaaminisha Wakatoliki Wote Wamulikane Tochi Mchana Kweupe Yaani Sio Shida Kwa Maneno Haya Ya Papa Namkumbuka Mzee Wa Kumiminwa.
Bado hata kama ikiwa Siri yake hajakwepa dhambi

Huyu papa hujui tu ni Mpango ameandaliwa utashuhudia
 
Hivi karibuni Vatikani imeidhinisha wanaume mashoga kuwa mapadre iwapo wanaume hao watakuwa hashiriki tendo la ndoa.

Ingawa kanisa hilo halikuwahi kukataza wapenzi wa jinsia moja kuwa mapadri, mwaka 2016 Vaticn ilikataza wanaume wenye tabia kama hizo kuwa viongozi au mapadri

=====================================================
The Vatican has given the green light for gay men to become priests - as long as they remain celibate.

In an unexpected adjustment to practice in the Catholic Church, the new guidelines from Italian bishops will allow gay men to enter

Although the Vatican had not explicitly prohibited gay men from entering the priesthood in the past, an instruction from 2016 barred men who have "deep-seated homosexual tendencies".

The new guidelines, approved by Italian bishops, say seminary directors should consider a priestly candidate's sexual preferences, but only as one aspect of their personality.

"When referring to homosexual tendencies in the formation process, it is also appropriate not to reduce the discernment to this aspect alone, but … to understand its meaning within the whole framework of the young person's personality," the guidelines say.

Pope Francis, who has been pontiff since 2013, has been viewed by some as having taken a more welcoming approach towards the LGBTQ+ community.

This has included allowing priests to bless same-sex couples on a case-by-case basis - but the admittance of gay men into the priesthood has remained a taboo subject

Source: Sky News

Pope Francis ni product ya corruption kubwa inayoendelea ndani ya kanisa. Kuna kundi lenye mahusiano ya siri na watu wasio muabudu Mungu, ambao wamechukua karibu nafasi zote za juu ndani ya kanisa, ili watekeleze hii mipango yao.

Ukisoma sana mtiririko wa mambo, hili linaloendelea halishangazi. Kuna utabiri kadhaa ulishatolewa na namna hata mambo yatakavyoishia. Hii mipango lazima itakwama kwasababu ni mipango ya shetani na wapambe wake, na wala sio ya Mwenyezi Mungu.

Kwa mfano, Mwaka 1917, kule Fatima, yalielezwa mengi kuhusu ulimwengu na hatma ya kanisa na changamoto zake. Pope wengine wote walichukulia warning ile seriously, akiwemo Pope Pius wa 12..

Ila Pope John wa 23, ambaye in person, alikataa kabisa utabiri wa Fatima. Inasemekana hakutakiwa kuwa Pope, maana alipindua meza kwenye conclave na kwa ubabe kukataa uchaguzi wa Cardinal Siri kuwa Pope. Na alipopata akaanzisha mchakato wa Vatican 2, uliowezesha hawa progressive minds kuleta haya wanayoleta.

Lakini, hakuna mtu atakayelishinda kanisa. Hili kanisa lilivyo sio mali ya wanadamu na hakuna mwanadamu anayemzidi maarifa Mwenyezi Mungu.

Isipokuwa kuna wengi twaweza kupoteza roho zetu kama kwa makusudi tunazikataa amri za Mwenyezi Mungu na kutengeneza za kwetu. Tutapoteza roho zetu kama kwa makusudi tunakataa mafundisho yake na kuanzisha ya kwetu. Biblia hairuhusu watu wa jinsia moja kuoana. Pope anapata wapi hayo madaraka ya kuruhusu hayo?

Pope hii nguvu amepata wapi? Ikumbukwe rafiki yake aliyemletea mizengwe Pope Benedict 16, na aliyepmpandania na group lake la St. Gallen Mafia, Cardinal Carlo Maria Martini, alikuwa ni Freemasons. Hayo mengine hatuyajui, ila Mwenyezi Mungu sio wa kumfanyia kejeli. Hakuna siri hii dunia. Soon or later yote yatakuwa hadharani.

taratibu taratibu tunaanza kuyaona na kuyaelewa zaidi. Eeeh Mwenyezi Mungu utunusuru!!
 
.
Nawaonea huruma ndugu zangu wakatoliki ambao hawataki kuukubali huu ukweli mchungu.
.
Kumekuwa na sarakasi nyiiingi kwenye hili swala...kama kitu ni haramu kwanini papa asinyooshe tu maelezo kwamba ni marufuku??
.
Hii zunguka zunguka inaashiria watu wanaandaliwa kisaikolojia. Papa atapitisha ndoa za jinsia moja, yawezekana isiwe Francis lakini ni swala la muda tu.

Pengine hujui sana, ila kanisa katoliki lina mapana marefu sana. Lilishajua haya toka miaka mingi iliyopita. Na pia hata mwisho wake unajulikana.

Usilihofie kanisa Katoliki maana haliko kwenye mashidano na kanisa lolote. Tuhofie roho ngapi zitapotea sababu ya kuanzisha amri mpya ambazo hazina uhusiano wowote na Mwenyezi Mungu na watu lukuki wakazifuata.

Pope hana madaraka ya kubadili amri wala mafundisho ya Mwenyezi Mungu. Nikiuangali ule uso wake unavyozidi kuwa mpana, naona taratibu ubinadamu wetu unavyokosa maana. Huwa hatuishi milele. Sasa kwanini tunaanzisha vita na Mwenyezi Mungu? Pope kwa hili amekosea na anatekeleza agenda za walimwengu
 
.
Umejibu vizuri sana ila kuna kitu umesahau kukisema kuhusu ndoa za jinsia moja.
.
Hakuna mahali Mungu ameruhusu ndoa za jinsia moja...never ever. Biblia iko straight kwamba wafiraji wala walawiti hawataurithi ufalme wa Mungu; Rejea 1 Kor 6: 9-11.
.
Mungu anawapenda wenye dhambi lakini anachukia dhambi wanazozifanya... tusichanganye hayo mambo mawili.
Na hakuna mahali nimesema ziruhusiwe.
Nilichomaanisha mimi ni kua hao watu wasaidiwe. Kuwatenga, kuwatukana mitandaoni hakusaidii zaidi ya kuwapa fame na wao kutengeza dunia ya peke yao yenye ushawishi.

Waelimishwe madhara ya icho wakifanyacho kama dhambi nyingine zinavuokemewa na hiyo ikemewe, kama nyingine zinavyohubiriwa na kuachwa watu kuepukana nazo na hiyo iwemo pia.
 
Mkuu; mbona unaelekeza chuki zako binafsi kwa Papa ambaye hata hakujui wewe na wala hayumo huku Jf? Inaonekana kana kwamba unatulazimisha ss wasomaji tukubaliane na mtazamo wako.
1. Unam' address eti "kale kabibi" ilhali unajua fika kwamba yeye ni Me
2. Unasema Ushoga ni Ushetani(satanism); Toa uthibitisho.
3. Unawaita Yeye na wale wanaomwamini na kumfuata ni washenzi. Unapata wapi ujasiri huo wa kumHukumu yeye na wafuasi wake?
Ni hayo tu.
Ninaandika chochote ninachotaka kwa namna nayotaka mimi hayo maswali yako peleka bungeni, Kuna sehemu hapo umelazimishwa kukubaliana na mtazamo wangu 🤔🤔 tuliza kihere kihere 🚮🚮
 
Ninaandika chochote ninachotaka kwa namna nayotaka mimi hayo maswali yako peleka bungeni, Kuna sehemu hapo umelazimishwa kukubaliana na mtazamo wangu 🤔🤔 tuliza kihere kihere 🚮🚮
Naam! Nakunukuu hapa: "tuliza kihere kihere". Imekuwa ni bahati ya kipekee sana kukutana viherehere wawili (mm na ww)hapa jamvini. Kwanza, heri ya mwaka mpya broo. Sasa mkuu; ww ulisoma hiyo mada huko ulikoisoma halafu kwa kiherehere chako ukaileta hapa kwa maGT. na unadhani tutakuacha upite hv-hv? Na mm nimekuwa kiherehere wa kwanza kwa kutoa angalizo. OK. Tukutane basi bungeni kuziwasilisha hoja na maswali yetu. Asante bro.
 
Naam! Nakunukuu hapa: "tuliza kihere kihere". Imekuwa ni bahati ya kipekee sana kukutana viherehere wawili (mm na ww)hapa jamvini. Kwanza, heri ya mwaka mpya broo. Sasa mkuu; ww ulisoma hiyo mada huko ulikoisoma halafu kwa kiherehere chako ukaileta hapa kwa maGT. na unadhani tutakuacha upite hv-hv? Na mm nimekuwa kiherehere wa kwanza kwa kutoa angalizo. OK. Tukutane basi bungeni kuziwasilisha hoja na maswali yetu. Asante bro.
Inaonekana kuwasema mashoga limekuuma sana na bila shaka wewe utakua ni mmoja wao cha msingi tuu ni kwamba maumivu yakikuzidia chamoa vaa uende 🚮🚮🚮
 
Inaonekana kuwasema mashoga limekuuma sana na bila shaka wewe utakua ni mmoja wao cha msingi tuu ni kwamba maumivu yakikuzidia chamoa vaa uende 🚮🚮🚮
Ushauri umezingatiwa.
 
Back
Top Bottom