Je, kwa hii kauli ya Papa, ameruhusu au amekataza ushoga??

Dini nyingine zimekuja kuleta laana tu duniani sasa shoga awe kiongozi si mtafungishwa ndoa za wanaume kwa wanaume ma kanisani🤔
 
Kichaa akiwa wa jirani haisimbui,omba asiwe mtu wa karibu yako haya maneno utarudi kuyafuta.
 
Kichaa akiwa wa jirani haisimbui,omba asiwe mtu wa karibu yako haya maneno utarudi kuyafuta.
Maneno gani ya kufutwa hapo??
Akiwa wa karibu yako utamuua au utamsaidia aache kama nilivyoandika??
Wengi wenu hamna maamuzi juu ya hilo suala.
 
Ushaanza mihemko.
 
Kama Yesu Kristo angeliweza kuwakubali ni nani wa kuwakataa?watu hufikiria kuwa pengine watu kama hawa wangestahili kuuawa wasiwepo kabisa duniani(sitetei ushoga).lakini tukiwa kama wakristo tunapaswa kuwaombea watu wote wanaotenda dhambi ili Mungu awarehemu .Wewe unayewazungumza vibaya mashoga bado unazini,ni mwizi,unacheat na wake za watu,muuaji,mshirikina na wote kimsingi mnakuwa na destiny moja na mashoga.Tukiwa kama wakristo tunalo jukumu kubwa la kuwaongoza wengine kwenye njia ya kweli na kuwapenda kwa dhati.
 
Kutubu hakuendi hivyo,yaani we ufanye kosa kimakusudi na wajua kabisa ni chukizo kubwa mbele ya muumba,kisa tu eti nitatubu na yataisha!!, Na je ukikutwa na mauti kabla ya kutubu,utajibu nini siku ya mwisho,usipende kurahisisha mambo mazito kuwa mepesi!!
 
Kwahiyo unatubu kwa kosa ambalo umefanya na hujui kua ni kosa??
Sasa utatubu vipi ilhali kila kosa unalojua ni kosa hulifanyi?? Au ninyi ndio wale mnaitwa watakatifu sijui wenye kheri ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…