Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Ni wazi kwamba Azizi ki anaelekea South Africa.
Je, Yanga wako sahihi kumuacha aondoke au wanakosea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Mayele alipoondoka Walikosea?Ni wazi kwamba Azizi ki anaelekea South Africa.
Je Yanga wako sahihi kumuacha aondoke au wanakosea ?
Ronaldinho gaucho aliondoka Barcelona hiyo aziza ni nani asiondoke yanga. 😃😃😃😃😃Ni wazi kwamba Azizi ki anaelekea South Africa.
Je Yanga wako sahihi kumuacha aondoke au wanakosea ?
Vigogo wa Yanga wanataka hela tu watauza kila mtuWote waondoke ila Diarra tu, bila Diarra sitoenda viwanjani msimu ujao.
Wanakosea Hersi Said naona km ameanza kubolongawanakosea
Unafikiri watamuacha aondoke kwa kupenda?Wanakosea Hersi Said naona km ameanza kubolonga
Tuna uza na 5 tutawafungeni tenaVigogo wa Yanga wanataka hela tu watauza kila mtu
😁🤣🤣Sio kweliGSM anataka kumuuza kama Mayele ili apate hela ya kujengea Kariakoo
Si mmeletewa Mzee Chama kama mbadala wa Aziz ki ? Shida iko wapi?Ronaldinho gaucho aliondoka Barcelona hiyo aziza ni nani asiondoke yanga. [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Anaondoka akiwa huru binafsi sioni sababu ya kuhofia kuondoka kwakeVigogo wa Yanga wanataka hela tu watauza kila mtu
Ni wazi kwamba Azizi ki anaelekea South Africa.
Je Yanga wako sahihi kumuacha aondoke au wanakosea ?
Nabi kafanya makubwa na Fa Rabat?! Kiaje ?Sio yanga kumuacha. Bali offer kubwa nyingi zipo mkononi kwa agent wa aziz kii.
Ligi yetu haina mapato makubwa ya kufosi kumbakisha mchezaji umlipe mshahara milioni 80 kwa mwezi na signing fee ya mabilioni.
Nabi mwenyewe aliyekuwa kocha wa yanga amefanya vizuri sana na FAR rabat ya morocco. Kaizer chiefs wamempa ofa kubwa ambayo Far rabat wenyewe wamekubali Coach wao Nabi aondoke
Eti wanasema ex wa YANGA ni simba kwa sababu chama wapewa, mkude wanepewa 😃😃😃😃😃Si mmeletewa Mzee Chama kama mbadala wa Aziz ki ? Shida iko wapi?
Nabi kafanya makubwa na Fa Rabat?! Kiaje ?