Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
- Thread starter
- #21
WalikoseaKwani Mayele alipoondoka Walikosea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WalikoseaKwani Mayele alipoondoka Walikosea?
Hutaki unaacha😁🤣🤣Sio kweli
Nadhani usajili wa CHAMA ulikuwa mbadala wa Ki aziziBaada ya kuona wameshampoteza naona wameanza kushusha thamani na umuhimu wake. Mna Chama lakini kama replacement yake.....
🤣😁😁 Umenichekesha sanaHutaki unaacha
Vigeu geu mbadala wake ndio mkamuona CHAMA?Binafsi naona ni sahihi kumuachia endapo atalazimisha kuondoka hakuna haja ya kuulazimisha abaki
Mtu muhimu sana yanga ni diara
Mbona hata msimu huu wa 2023/2024 wamecheza klabu bingwa baada ya kuwa mabingwa wa MoroccoKafanya vizuri kuliko makocha waliopita. Ndani ya msimu mmoja tu aliokaa Kaipeleka Far rabat ifuzu kucheza ligi ya mabingwa africa.
Hawana jinsiNi wazi kwamba Azizi ki anaelekea South Africa.
Je Yanga wako sahihi kumuacha aondoke au wanakosea ?
Masikio ya Mwanza kuzid kichwa.Wanakosea Hersi Said naona km ameanza kubolonga
Kuna mchezaji Yanga imemuachia aende Simba huyu Hersi Said laana ya Manji inaanza kumuingia nini?Hawana jinsi
Matajiri wana hela ndio lakini haimaanishi ndio wanatoa tu hovyo, wasingekuwa matajiri.Wanakosea Hersi Said naona km ameanza kubolonga
Kubalini ni pigoKuondoka kwa Aziz Ki maana yake Pacome anaenda kuwa huru zaidi, ni sawa na alivyoondoka Feisal, Aziz Ki akaanza kung'ara.
Kwa hiyo tabu ipo pale pale.
Ndiyo hivyo. Ile ilikuwa hint ya kutosha kuwa wameshampotezaNadhani usajili wa CHAMA ulikuwa mbadala wa Ki azizi
Aziz anaondoka Bure we mama. Mkataba wake umeishaVigogo wa Yanga wanataka hela tu watauza kila mtu
Nimekutolea reference unataka tukubali ni pigo. Kubali wewe inatosha.Kubalini ni pigo
Baada ya kumtupa Moloko galasa Okra alifanya nini?Kuondoka kwa Aziz Ki maana yake Pacome anaenda kuwa huru zaidi, ni sawa na alivyoondoka Feisal, Aziz Ki akaanza kung'ara.
Kwa hiyo tabu ipo pale pale.
Ukifatilia vizuri mfumo wa Gamondi sio mtumiaji sana wa mawinga. Hata huyo Moloko chini ya Gamondi alikuwa anacheza mara chache.Baada ya kumtupa Moloko galasa Okra alifanya nini?
Unauza mchezaji aliyemaliza mkataba,ni kama kuuza nyumba ya jiraniTuna uza na 5 tutawafungeni tena