Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Na kweli Mkuu. Muda ushatupa majibu.Nadhani kuna drama inayochezwa kuhusu Aziz Ki, ila imani yangu ni kwamba Aziz Ki bado yupo Yanga kwa msimu ujao na ameshamalizana na Yanga muda mrefu sana. Ngoja muda utupe majibu
Aziz Kii bado yupo kwa Wananchi.