Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Tuonyeshe huo mkatabaAziz anaondoka Bure we mama. Mkataba wake umeisha
Aziz K ni mzuri lakini bado ni wa kawaida. Kwanza ni mzito, hakabi na hunyang'anywa mipira kirahisi sana, hata speed yake sio nzuri. Uzuri wake ni kwenye baadhi ya dead balls (kumbuka penalty alizopoteza) na mashuti ya kushtukiza. Mwishoni mwa msimu amekuwa na good season ambayo sioni ikijirudia hata akibaki Yanga. Kwake ni peak season hivyo apige pesa iwe kwa kubaki Yanga au kwenda kwingine.Baada ya kuona wameshampoteza naona wameanza kushusha thamani na umuhimu wake. Mna Chama lakini kama replacement yake.....
Sio kazi yanguTuonyeshe huo mkataba
πππSio kazi yangu
Sawa mzee wa 5Unauza mchezaji aliyemaliza mkataba,ni kama kuuza nyumba ya jirani
Mkuu, Nabi hajafanya vizuri! Kwani wakati anaichukua hiyo timu, kaikuta ni Bingwa. Yeye kaitelemsha, au kaipotezea ubingwa!Kafanya vizuri Ndani ya msimu mmoja tu aliokaa Kaipeleka Far rabat ifuzu kucheza ligi ya mabingwa africa.
Kama mbowe anavyokula pesa za cdm?.Vigogo wa Yanga wanataka hela tu watauza kila mtu
Yale yale ya mwamba wa LusakaUnafikiri watamuacha aondoke kwa kupenda?
Debora ni replacement ya nani pale ukoloni?Baada ya kuona wameshampoteza naona wameanza kushusha thamani na umuhimu wake. Mna Chama lakini kama replacement yake.....
πππππUnafikiri watamuacha aondoke kwa kupenda?
YahBinafsi naona ni sahihi kumuachia endapo atalazimisha kuondoka hakuna haja ya kuulazimisha abaki
Mtu muhimu sana Yanga ni Diara
Imekuwa ya 2 kaachwa kidogo.Kafanya vizuri Ndani ya msimu mmoja tu aliokaa Kaipeleka Far rabat ifuzu kucheza ligi ya mabingwa africa.
Vigeu geu mbadala wake ndio mkamuona CHAMA?
Acha uongo mzee. Msimu ulioisha far rabat hajacheza champions league.Mbona hata msimu huu wa 2023/2024 wamecheza klabu bingwa baada ya kuwa mabingwa wa Morocco
Ni kweli mkuu kumpa jamaa mpunga mrefu ni risk sana. Ukiangalia takwimu zake kote alipopita hawajai kuwa na takwimu nzuri kama msimu jana kwaiyo inawezekana ikawa one season wondersAziz K ni mzuri lakini bado ni wa kawaida. Kwanza ni mzito, hakabi na hunyang'anywa mipira kirahisi sana, hata speed yake sio nzuri. Uzuri wake ni kwenye baadhi ya dead balls (kumbuka penalty alizopoteza) na mashuti ya kushtukiza. Mwishoni mwa msimu amekuwa na good season ambayo sioni ikijirudia hata akibaki Yanga. Kwake ni peak season hivyo apige pesa iwe kwa kubaki Yanga au kwenda kwingine.