Nadhani kuna drama inayochezwa kuhusu Aziz Ki, ila imani yangu ni kwamba Aziz Ki bado yupo Yanga kwa msimu ujao na ameshamalizana na Yanga muda mrefu sana. Ngoja muda utupe majibu
Hahahaa huyu jamaa gafla bin vuu naona kaniita Binti. Nikajua ameshoboka labda na picha ya avatar ndio nimemkaribisha inbox tuyajenge 😅Naona ameogopa hana ujasiri kabisa
Hahahaa huyu jamaa gafla bin vuu naona kaniita Binti. Nikajua ameshoboka labda na picha ya avatar ndio nimemkaribisha inbox tuyajenge 😅Naona ameogopa hana ujasiri kabisa