maajabuBongo mambo mengi .....
Msimu uliopita Baada ya wananchi kuvuka vikwazo vingi Katika michuano ya CAF confederation na kufika fainali....baadhi ya wachambuzi na semaji lao la mchongo na mashabiki wa kolo fc walisema ni Ligue ya loser ( waliofeli)
Swali ni Je ...zile mbinu zilizotumikana huyu kocha kule loser cup [emoji23].....zinaweza fanya kazi huku champions league???
Maoni yngu
Mimi naona huyu benchika amekuja kuua cv yake ....mzimu uliopo Simba ni sawa na ule wa man united
Huna akiliMbaya zaidi amekuja simba na benchi lake lote baada ya kushinda hilo kombe la losers!!!
kocha wa kombe la looser ataweza kuwavusha kweli?Huna akili
Siyo kama nyie mliokubali kufundishwa na kocha wa kombe la looser kwenye mashindano ya wakubwaNdio maana Yanga hamna akili
Kitaalamu inaitwa unafikiKitaalamu sijui inaitwaje[emoji23][emoji23]
Aje awafundishe u-looserKabisa mkuu.....makolo walisema confederation cup ni kombe la walofeli .....ila kolo management imemleta kocha wa loser
Na mwaka huu haiwezekani,aahaaaLabda warudi shirikisho [emoji23][emoji23]
Walitusimanga sana YangaDunia ni duara....usitukane mamba kabla hujavuka mto