Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Bongo mambo mengi .....
Msimu uliopita Baada ya wananchi kuvuka vikwazo vingi Katika michuano ya CAF confederation na kufika fainali....baadhi ya wachambuzi na semaji lao la mchongo na mashabiki wa kolo fc walisema ni Ligue ya loser ( waliofeli)
Swali ni Je ...zile mbinu zilizotumikana huyu kocha kule loser cup [emoji23].....zinaweza fanya kazi huku champions league???
Maoni yngu
Mimi naona huyu benchika amekuja kuua cv yake ....mzimu uliopo Simba ni sawa na ule wa man united
Msimu uliopita Baada ya wananchi kuvuka vikwazo vingi Katika michuano ya CAF confederation na kufika fainali....baadhi ya wachambuzi na semaji lao la mchongo na mashabiki wa kolo fc walisema ni Ligue ya loser ( waliofeli)
Swali ni Je ...zile mbinu zilizotumikana huyu kocha kule loser cup [emoji23].....zinaweza fanya kazi huku champions league???
Maoni yngu
Mimi naona huyu benchika amekuja kuua cv yake ....mzimu uliopo Simba ni sawa na ule wa man united