Je Kwanini USA wameruhusu Ukraine kupiga ndani ya Urusi?

Je Kwanini USA wameruhusu Ukraine kupiga ndani ya Urusi?

Putin ameshashinda hiyo vita. !
Biden anataka kumwangushia gari bovu Trump kwa kuruhusu makombora ya USA yapige ndani ya Urusi !

Wajaribu waone mziki wa Russia !
World war 3 is imminent !
1000032726.jpg

Kwi kwi kwi
 
Kuna mijadala mingi sana na Kila mtu anatoa uchambuzi wake Kwanini USA chini ya Biden wameruhusu Ukraine kutumia long range boom kupiga ndani ya Urusi.
Ndugu zangu lisemwalo lipo na kama halipo basi lisubiri mlione.
Kwa muda mrefu sana hii vita ya Ukraine na USA imekuwa ikipigwa lakini nyuma ya pazia Kuna matumizi Makubwa ya intelligence kuliko silaha tuna Ziona upon msemo unasema adui akisha juwa siri zako basi unakuwa umekwisha. Nataka kuwakumbusha maumivu Israel ameyapata na vifo nyuma ya maovu hayo ni Iran na nyuma ya Iran basi ni Russia.
Kwa bahati mbaya sana wakati Urusi akimpa green light Iran akinukishe hakujuwa Israeli walikuwa a head of them sema ilikuwa wanasubiri waguswe.
Israel pale mashariki ya kati amekinukisha mpaka Putin Kremlin akasema Hana watu wa vita. Israel amepigana na lebano, hamas, Syria na Iran. Israel amekinukisha na amewatia hasara adui zake na mpaka sasa mrusi anamlaumu Iran na Iran anamlaumu Urusi.
Ushindi huu mkubwa wa Israel dhidi ya maadui zake imekuwa ni green light ya USA kumaliza mission yao Iran. Masaa machache kabla ya USA kuiruhusu Ukraine rusha makombora yake Urusi jeshi la Urusi limeishambulia Ukraine kwa kiwango kikubwa sana jambo hili limefanya Wana intelligence Kwa data wa nazo kumwambia Ukraine atumie mzigo anao kumaliza kazi. Yes na ukitaka kuamin Rais mteule Trump hajasema neno ila mtoto kasema neno je nini kipo nyuma ya maamuzi haya?
Niukweli usio pingika wakati Urusi anaishambulia Ukraine ulaya wamekuwa kwenye maamdalizi ya kivita yaani wamekuwa kwenye mazoezi mazito ya kivita Kwa ajili ya shambulizi lolote toka Urusi.
Pili siku hizi chache Urusi ameamua kukunjuwa makucha kwanza kuvunja mkataba wakuuza Uranium cake Kwa USA na pili kusimamisha gas Kwa Austrea jambo hili sio dogo ila nilazima lifanyiwe kaz na Urusi waonje athari za vita. Kwa zaid ya siku 1000 Urusi wamekuwa wakiibomoa Ukraine usiku na mchana na Dunia imekuwa ikimkataza Ukraine kupiga Urusi ila sasa wapo tayari Kwa vita na Kwa ufupi wanataka wamuone Putin akitumia Nuclear ili wao wamalizie vita. How?
Niukweli usio pingika Urusi ana mzigo wakutosha wa maboom ya nuclea ila pia niukweli usio pingika technology yake Kwa taarifa za siri Haina madhara kama technology ya Magharibi. Kutumia hayo maboom hasara itakuwa kubwa Kwa Urusi kuliko Magharibi Kwa sababu mpaka sasa Urusi anapumulia machine na akianzisha vita atamalizwa mara Moja na pia Urusi wataigawa Tena yaani hawatoishia hapo Urusi wataigawa tena maana watusi wamesha choka hii vita na hawaoni thamani ya vita hii.
Putin kama Rais ana mamlaka yote ila amefika point wanasema kile kilimkuta Rais mwenzake alie anzisha vita kipindi Fulani wali mpoison wao wenyewe Mzee alie changanyikiwa anataka kuingamiza familia nzima watu Wote wakose Kwa jambo wangetafuta suluhu Kwa Amani. Wamempa Kremia ila bado hajatosheka anataka nini? Huyu anataka kufa na dam nyingi Kwa maana ya Uzalendo hapana watamtuliza.
Ktk Moja ya speech za Biden aliwahi kusema kama tukitaka kumuondoa Kwa kiti Putin tuna weza ila hatutaki kufika uko na mwisho akasema Putin don't don't use nuclea weapon because it could be a death sentence to Rusian people 🤐
Maneno haya yanatimia na kisa cha Trump kuwa Rais nikumaliza kazi cia wanaitaka maana ndio mtu sahihi base on history. Trump anau German ndani yake hawezi ruhusu Putin awazingue Ndugu zake Wa ulaya na Putin. Anajuwa kabisa Trump nikichaa atafanya maamuzi magumu base on advice atapewa na Pentagon.
Mwisho Kwa wale hamjuwi Putin anaenda kushimdwa hii vita vibaya na hivyo vitisho hawezi rusha hata boom Moja kwenye ardhi ya USA au europ. Security advise wa Putin hawato mruhusu
Vile vile kwanini Urusi wanapiga ndani ya Ukraine
 
Pro
Kuna mijadala mingi sana na Kila mtu anatoa uchambuzi wake Kwanini USA chini ya Biden wameruhusu Ukraine kutumia long range boom kupiga ndani ya Urusi.
Ndugu zangu lisemwalo lipo na kama halipo basi lisubiri mlione.
Kwa muda mrefu sana hii vita ya Ukraine na USA imekuwa ikipigwa lakini nyuma ya pazia Kuna matumizi Makubwa ya intelligence kuliko silaha tuna Ziona upon msemo unasema adui akisha juwa siri zako basi unakuwa umekwisha. Nataka kuwakumbusha maumivu Israel ameyapata na vifo nyuma ya maovu hayo ni Iran na nyuma ya Iran basi ni Russia.
Kwa bahati mbaya sana wakati Urusi akimpa green light Iran akinukishe hakujuwa Israeli walikuwa a head of them sema ilikuwa wanasubiri waguswe.
Israel pale mashariki ya kati amekinukisha mpaka Putin Kremlin akasema Hana watu wa vita. Israel amepigana na lebano, hamas, Syria na Iran. Israel amekinukisha na amewatia hasara adui zake na mpaka sasa mrusi anamlaumu Iran na Iran anamlaumu Urusi.
Ushindi huu mkubwa wa Israel dhidi ya maadui zake imekuwa ni green light ya USA kumaliza mission yao Iran. Masaa machache kabla ya USA kuiruhusu Ukraine rusha makombora yake Urusi jeshi la Urusi limeishambulia Ukraine kwa kiwango kikubwa sana jambo hili limefanya Wana intelligence Kwa data wa nazo kumwambia Ukraine atumie mzigo anao kumaliza kazi. Yes na ukitaka kuamin Rais mteule Trump hajasema neno ila mtoto kasema neno je nini kipo nyuma ya maamuzi haya?
Niukweli usio pingika wakati Urusi anaishambulia Ukraine ulaya wamekuwa kwenye maamdalizi ya kivita yaani wamekuwa kwenye mazoezi mazito ya kivita Kwa ajili ya shambulizi lolote toka Urusi.
Pili siku hizi chache Urusi ameamua kukunjuwa makucha kwanza kuvunja mkataba wakuuza Uranium cake Kwa USA na pili kusimamisha gas Kwa Austrea jambo hili sio dogo ila nilazima lifanyiwe kaz na Urusi waonje athari za vita. Kwa zaid ya siku 1000 Urusi wamekuwa wakiibomoa Ukraine usiku na mchana na Dunia imekuwa ikimkataza Ukraine kupiga Urusi ila sasa wapo tayari Kwa vita na Kwa ufupi wanataka wamuone Putin akitumia Nuclear ili wao wamalizie vita. How?
Niukweli usio pingika Urusi ana mzigo wakutosha wa maboom ya nuclea ila pia niukweli usio pingika technology yake Kwa taarifa za siri Haina madhara kama technology ya Magharibi. Kutumia hayo maboom hasara itakuwa kubwa Kwa Urusi kuliko Magharibi Kwa sababu mpaka sasa Urusi anapumulia machine na akianzisha vita atamalizwa mara Moja na pia Urusi wataigawa Tena yaani hawatoishia hapo Urusi wataigawa tena maana watusi wamesha choka hii vita na hawaoni thamani ya vita hii.
Putin kama Rais ana mamlaka yote ila amefika point wanasema kile kilimkuta Rais mwenzake alie anzisha vita kipindi Fulani wali mpoison wao wenyewe Mzee alie changanyikiwa anataka kuingamiza familia nzima watu Wote wakose Kwa jambo wangetafuta suluhu Kwa Amani. Wamempa Kremia ila bado hajatosheka anataka nini? Huyu anataka kufa na dam nyingi Kwa maana ya Uzalendo hapana watamtuliza.
Ktk Moja ya speech za Biden aliwahi kusema kama tukitaka kumuondoa Kwa kiti Putin tuna weza ila hatutaki kufika uko na mwisho akasema Putin don't don't use nuclea weapon because it could be a death sentence to Rusian people 🤐
Maneno haya yanatimia na kisa cha Trump kuwa Rais nikumaliza kazi cia wanaitaka maana ndio mtu sahihi base on history. Trump anau German ndani yake hawezi ruhusu Putin awazingue Ndugu zake Wa ulaya na Putin. Anajuwa kabisa Trump nikichaa atafanya maamuzi magumu base on advice atapewa na Pentagon.
Mwisho Kwa wale hamjuwi Putin anaenda kushimdwa hii vita vibaya na hivyo vitisho hawezi rusha hata boom Moja kwenye ardhi ya USA au europ. Security advise wa Putin hawato mruhus
Porojo....mtu yuko Mbagala anachambua ya Kremlini
 
Jamani kama hujui hii vita ni Bora kukaa kimya. Hii sio simba na Yanga.

Eti "silaha za Urusi hazina madhara kama za west" kuwa serious.

Google TU silaha hatari za Urusi lakini pia unasahau ndio mwenye maboom yenye Kasi kuliko nchi yeyote.

Hayo maboom Yako umempatia Ukraine Jana kapiga 6 matano yamelipuliwa midair na Moja liliharibiwa na kudondoka pasipo madhara. Hivyo kukuonesha TU ni ngumu Ukraine kufikia malengo lakini retaliation yake inaweza kuwa na madhara zaidi.

Pia Zelensky anaweza kuuwawa ili TU kumaliza vita.

Point yangu ni kwamba West wanataka kufa na tai shingoni maana uchumi wote wa ulaya upo kwenye hali mbaya sana. Nashangaa mleta mada anaisema Urusi wakati Uingereza, ufaransa na Ujerumani hali ni mbaya sana.

Kubwa tuombe lisitokee tunalotaka litokee.
 
Umei_undermine Russia sana, halafu Trump na Putini wanaongea lugha moja japo mainstream media zimekudanganya kua hawaivi,

Chini ya rais Trump Dunia itakua salama na amani zaidi.

We jamaa kumbe kwenye uga wa kimataifa ni mweupe hvyo.
 
Biden amethibitisha alivyo coward yaani anavizia hadi dk za jioni akiwa anaachia kiti eti ndio atoe maamuzi magumu?
 
naungana na wewe pamoja na Mkuu wa Usalama Russia aliyefukuzwa kazi ,baada ya kuulizwa tuivamie Ukraine au hapana ,akajibu hapana akafukuzwa kazi
 
Kuna mijadala mingi sana na Kila mtu anatoa uchambuzi wake Kwanini USA chini ya Biden wameruhusu Ukraine kutumia long range boom kupiga ndani ya Urusi.
Ndugu zangu lisemwalo lipo na kama halipo basi lisubiri mlione.
Kwa muda mrefu sana hii vita ya Ukraine na USA imekuwa ikipigwa lakini nyuma ya pazia Kuna matumizi Makubwa ya intelligence kuliko silaha tuna Ziona upon msemo unasema adui akisha juwa siri zako basi unakuwa umekwisha. Nataka kuwakumbusha maumivu Israel ameyapata na vifo nyuma ya maovu hayo ni Iran na nyuma ya Iran basi ni Russia.
Kwa bahati mbaya sana wakati Urusi akimpa green light Iran akinukishe hakujuwa Israeli walikuwa a head of them sema ilikuwa wanasubiri waguswe.
Israel pale mashariki ya kati amekinukisha mpaka Putin Kremlin akasema Hana watu wa vita. Israel amepigana na lebano, hamas, Syria na Iran. Israel amekinukisha na amewatia hasara adui zake na mpaka sasa mrusi anamlaumu Iran na Iran anamlaumu Urusi.
Ushindi huu mkubwa wa Israel dhidi ya maadui zake imekuwa ni green light ya USA kumaliza mission yao Iran. Masaa machache kabla ya USA kuiruhusu Ukraine rusha makombora yake Urusi jeshi la Urusi limeishambulia Ukraine kwa kiwango kikubwa sana jambo hili limefanya Wana intelligence Kwa data wa nazo kumwambia Ukraine atumie mzigo anao kumaliza kazi. Yes na ukitaka kuamin Rais mteule Trump hajasema neno ila mtoto kasema neno je nini kipo nyuma ya maamuzi haya?
Niukweli usio pingika wakati Urusi anaishambulia Ukraine ulaya wamekuwa kwenye maamdalizi ya kivita yaani wamekuwa kwenye mazoezi mazito ya kivita Kwa ajili ya shambulizi lolote toka Urusi.
Pili siku hizi chache Urusi ameamua kukunjuwa makucha kwanza kuvunja mkataba wakuuza Uranium cake Kwa USA na pili kusimamisha gas Kwa Austrea jambo hili sio dogo ila nilazima lifanyiwe kaz na Urusi waonje athari za vita. Kwa zaid ya siku 1000 Urusi wamekuwa wakiibomoa Ukraine usiku na mchana na Dunia imekuwa ikimkataza Ukraine kupiga Urusi ila sasa wapo tayari Kwa vita na Kwa ufupi wanataka wamuone Putin akitumia Nuclear ili wao wamalizie vita. How?
Niukweli usio pingika Urusi ana mzigo wakutosha wa maboom ya nuclea ila pia niukweli usio pingika technology yake Kwa taarifa za siri Haina madhara kama technology ya Magharibi. Kutumia hayo maboom hasara itakuwa kubwa Kwa Urusi kuliko Magharibi Kwa sababu mpaka sasa Urusi anapumulia machine na akianzisha vita atamalizwa mara Moja na pia Urusi wataigawa Tena yaani hawatoishia hapo Urusi wataigawa tena maana watusi wamesha choka hii vita na hawaoni thamani ya vita hii.
Putin kama Rais ana mamlaka yote ila amefika point wanasema kile kilimkuta Rais mwenzake alie anzisha vita kipindi Fulani wali mpoison wao wenyewe Mzee alie changanyikiwa anataka kuingamiza familia nzima watu Wote wakose Kwa jambo wangetafuta suluhu Kwa Amani. Wamempa Kremia ila bado hajatosheka anataka nini? Huyu anataka kufa na dam nyingi Kwa maana ya Uzalendo hapana watamtuliza.
Ktk Moja ya speech za Biden aliwahi kusema kama tukitaka kumuondoa Kwa kiti Putin tuna weza ila hatutaki kufika uko na mwisho akasema Putin don't don't use nuclea weapon because it could be a death sentence to Rusian people 🤐
Maneno haya yanatimia na kisa cha Trump kuwa Rais nikumaliza kazi cia wanaitaka maana ndio mtu sahihi base on history. Trump anau German ndani yake hawezi ruhusu Putin awazingue Ndugu zake Wa ulaya na Putin. Anajuwa kabisa Trump nikichaa atafanya maamuzi magumu base on advice atapewa na Pentagon.
Mwisho Kwa wale hamjuwi Putin anaenda kushimdwa hii vita vibaya na hivyo vitisho hawezi rusha hata boom Moja kwenye ardhi ya USA au europ. Security advise wa Putin hawato mruhusu
Maoni yoyote lazima yaheshimiwe hata kama mtoa maoni ANA MAWENGE KICHWANI. Hata ukisema kuwa intelijensia yako inakuonyesha kuwa kuna viashiria Mlima Kilimanjaro kusogezwa Zanzibar , TUTAYAPOKEA TU
 
Jamani kama hujui hii vita ni Bora kukaa kimya. Hii sio simba na Yanga.

Eti "silaha za Urusi hazina madhara kama za west" kuwa serious.

Google TU silaha hatari za Urusi lakini pia unasahau ndio mwenye maboom yenye Kasi kuliko nchi yeyote.

Hayo maboom Yako umempatia Ukraine Jana kapiga 6 matano yamelipuliwa midair na Moja liliharibiwa na kudondoka pasipo madhara. Hivyo kukuonesha TU ni ngumu Ukraine kufikia malengo lakini retaliation yake inaweza kuwa na madhara zaidi.

Pia Zelensky anaweza kuuwawa ili TU kumaliza vita.

Point yangu ni kwamba West wanataka kufa na tai shingoni maana uchumi wote wa ulaya upo kwenye hali mbaya sana. Nashangaa mleta mada anaisema Urusi wakati Uingereza, ufaransa na Ujerumani hali ni mbaya sana.

Kubwa tuombe lisitokee tunalotaka litokee.
Wataalam wa mambo ya kivita wa Dunia, wanakubaliana kuwa japo jeshi la Urusi ni miongoni mwa majeshi makubwa sana Duniani, lakini uwezo wake wa kivita, upo exagerated. Vita hii ambayo Urusi iliianzisha dhidi ya Ukraine, imethibitisha uwezo halisia wa jeshi la Urusi katika masuala ya kivita.
 
Jamani kama hujui hii vita ni Bora kukaa kimya. Hii sio simba na Yanga.

Eti "silaha za Urusi hazina madhara kama za west" kuwa serious.

Google TU silaha hatari za Urusi lakini pia unasahau ndio mwenye maboom yenye Kasi kuliko nchi yeyote.

Hayo maboom Yako umempatia Ukraine Jana kapiga 6 matano yamelipuliwa midair na Moja liliharibiwa na kudondoka pasipo madhara. Hivyo kukuonesha TU ni ngumu Ukraine kufikia malengo lakini retaliation yake inaweza kuwa na madhara zaidi.

Pia Zelensky anaweza kuuwawa ili TU kumaliza vita.

Point yangu ni kwamba West wanataka kufa na tai shingoni maana uchumi wote wa ulaya upo kwenye hali mbaya sana. Nashangaa mleta mada anaisema Urusi wakati Uingereza, ufaransa na Ujerumani hali ni mbaya sana.

Kubwa tuombe lisitokee tunalotaka litokee.
Wataalam wa mambo ya kivita wa Dunia, wanakubaliana kuwa japo jeshi la Urusi ni miongoni mwa majeshi makubwa sana Duniani, lakini uwezo wake wa kivita, upo exagerated. Vita hii ambayo Urusi iliianzisha dhidi ya Ukraine, imethibitisha uwezo halisia wa jeshi la Urusi katika masuala ya kivita.
 
Tuweke ushahidi Nato yote ipo pale sio unaropoka kwa mihemko ya kumpamba russia wewe unaichukulia Nato poa mulize Russia mwenyewe akisikia nato anajiharia anabaki kutishia nuklia
Ngoja Tusubiri tuone hii movie 🎥 !
Ni Trump tu ndio anayeweza kuizuia World war 3 isitokee !
 
Zelensky aache kudekadeka kwa amerika na ulaya ili apewe silaha za masafa marefu kuendeleleza vita, aseme tu sitaki mpango huo nataka amani vita iishe
 
Wataalam wa mambo ya kivita wa Dunia, wanakubaliana kuwa japo jeshi la Urusi ni miongoni mwa majeshi makubwa sana Duniani, lakini uwezo wake wa kivita, upo exagerated. Vita hii ambayo Urusi iliianzisha dhidi ya Ukraine, imethibitisha uwezo halisia wa jeshi la Urusi katika masuala ya kivita.
Vita imebadilka sana si unaona usreli inapigana na wanamgambo kwenye eno kadogo na usaidize wa west lakin hadi leo wanapigana
 
Jamani kama hujui hii vita ni Bora kukaa kimya. Hii sio simba na Yanga.

Eti "silaha za Urusi hazina madhara kama za west" kuwa serious.

Google TU silaha hatari za Urusi lakini pia unasahau ndio mwenye maboom yenye Kasi kuliko nchi yeyote.

Hayo maboom Yako umempatia Ukraine Jana kapiga 6 matano yamelipuliwa midair na Moja liliharibiwa na kudondoka pasipo madhara. Hivyo kukuonesha TU ni ngumu Ukraine kufikia malengo lakini retaliation yake inaweza kuwa na madhara zaidi.

Pia Zelensky anaweza kuuwawa ili TU kumaliza vita.

Point yangu ni kwamba West wanataka kufa na tai shingoni maana uchumi wote wa ulaya upo kwenye hali mbaya sana. Nashangaa mleta mada anaisema Urusi wakati Uingereza, ufaransa na Ujerumani hali ni mbaya sana.

Kubwa tuombe lisitokee tunalotaka litokee.
Uchumi wa Ulaya una hali mbaya ila ule wa Urusi uko imara au siyo?

Putin anapumulia mashine sema tu kwa vile ana ficha mambo yake
 
Putin ameshashinda hiyo vita. !
Biden anataka kumwangushia gari bovu Trump kwa kuruhusu makombora ya USA yapige ndani ya Urusi !

Wajaribu waone mziki wa Russia !
World war 3 is imminent !
Putin hamna kitu USA sio wajinga utakuja niambia hap
 
Kuna mijadala mingi sana na Kila mtu anatoa uchambuzi wake Kwanini USA chini ya Biden wameruhusu Ukraine kutumia long range boom kupiga ndani ya Urusi.

Ndugu zangu lisemwalo lipo na kama halipo basi lisubiri mlione.

Kwa muda mrefu sana hii vita ya Ukraine na USA imekuwa ikipigwa lakini nyuma ya pazia Kuna matumizi Makubwa ya intelligence kuliko silaha tunaziona upon msemo unasema adui akisha juwa siri zako basi unakuwa umekwisha. Nataka kuwakumbusha maumivu Israel ameyapata na vifo nyuma ya maovu hayo ni Iran na nyuma ya Iran basi ni Russia.

Kwa bahati mbaya sana wakati Urusi akimpa green light Iran akinukishe hakujuwa Israeli walikuwa a head of them sema ilikuwa wanasubiri waguswe.

Israel pale mashariki ya kati amekinukisha mpaka Putin Kremlin akasema Hana watu wa vita. Israel amepigana na lebano, hamas, Syria na Iran. Israel amekinukisha na amewatia hasara adui zake na mpaka sasa mrusi anamlaumu Iran na Iran anamlaumu Urusi.

Ushindi huu mkubwa wa Israel dhidi ya maadui zake imekuwa ni green light ya USA kumaliza mission yao Iran. Masaa machache kabla ya USA kuiruhusu Ukraine rusha makombora yake Urusi jeshi la Urusi limeishambulia Ukraine kwa kiwango kikubwa sana jambo hili limefanya Wana intelligence Kwa data wa nazo kumwambia Ukraine atumie mzigo anao kumaliza kazi. Yes na ukitaka kuamin Rais mteule Trump hajasema neno ila mtoto kasema neno je nini kipo nyuma ya maamuzi haya?

Niukweli usio pingika wakati Urusi anaishambulia Ukraine ulaya wamekuwa kwenye maamdalizi ya kivita yaani wamekuwa kwenye mazoezi mazito ya kivita Kwa ajili ya shambulizi lolote toka Urusi.

Pili siku hizi chache Urusi ameamua kukunjuwa makucha kwanza kuvunja mkataba wakuuza Uranium cake Kwa USA na pili kusimamisha gas Kwa Austrea jambo hili sio dogo ila nilazima lifanyiwe kaz na Urusi waonje athari za vita. Kwa zaid ya siku 1000 Urusi wamekuwa wakiibomoa Ukraine usiku na mchana na Dunia imekuwa ikimkataza Ukraine kupiga Urusi ila sasa wapo tayari Kwa vita na Kwa ufupi wanataka wamuone Putin akitumia Nuclear ili wao wamalizie vita. How?

Ni ukweli usio pingika Urusi ana mzigo wakutosha wa maboom ya nuclea ila pia niukweli usio pingika technology yake Kwa taarifa za siri Haina madhara kama technology ya Magharibi.

Kutumia hayo maboom hasara itakuwa kubwa Kwa Urusi kuliko Magharibi Kwa sababu mpaka sasa Urusi anapumulia machine na akianzisha vita atamalizwa mara Moja na pia Urusi wataigawa Tena yaani hawatoishia hapo Urusi wataigawa tena maana watusi wamesha choka hii vita na hawaoni thamani ya vita hii.

Putin kama Rais ana mamlaka yote ila amefika point wanasema kile kilimkuta Rais mwenzake alie anzisha vita kipindi Fulani wali mpoison wao wenyewe Mzee alie changanyikiwa anataka kuingamiza familia nzima watu Wote wakose Kwa jambo wangetafuta suluhu Kwa Amani.

Wamempa Kremia ila bado hajatosheka anataka nini? Huyu anataka kufa na dam nyingi Kwa maana ya Uzalendo hapana watamtuliza.

Ktk Moja ya speech za Biden aliwahi kusema kama tukitaka kumuondoa Kwa kiti Putin tuna weza ila hatutaki kufika uko na mwisho akasema Putin don't don't use nuclea weapon because it could be a death sentence to Rusian people

Maneno haya yanatimia na kisa cha Trump kuwa Rais nikumaliza kazi cia wanaitaka maana ndio mtu sahihi base on history. Trump anau German ndani yake hawezi ruhusu Putin awazingue Ndugu zake Wa ulaya na Putin. Anajuwa kabisa Trump nikichaa atafanya maamuzi magumu base on advice atapewa na Pentagon.

Mwisho Kwa wale hamjuwi Putin anaenda kushimdwa hii vita vibaya na hivyo vitisho hawezi rusha hata boom Moja kwenye ardhi ya USA au europ. Security advise wa Putin hawato mruhusu
umejitahidi japokuwa pumba nyingi humu,hiyo kupiga long range ndani ya urusi ni kauli ya biden ambaye tunajua ni mzee ambaye akili zake zimerudi kwenye utoto...ambapo tunajua Trump anaenda kuirudisha nyuma ukraine kwenye hii vita anytime soon
 
umejitahidi japokuwa pumba nyingi humu,hiyo kupiga long range ndani ya urusi ni kauli ya biden ambaye tunajua ni mzee ambaye akili zake zimerudi kwenye utoto...ambapo tunajua Trump anaenda kuirudisha nyuma ukraine kwenye hii vita anytime soon
Kwa hiyo Biden amekaa tu na mke wake akajiamulia kuidhinisha matumizi ya hizo silaha? Kwa namna nilivyokuelewa Biden anaweza aamke tu na kutoa amri ya kuishambulia Iran au nchi yoyote sio?
 
Back
Top Bottom