Je Kwanini USA wameruhusu Ukraine kupiga ndani ya Urusi?

Je Kwanini USA wameruhusu Ukraine kupiga ndani ya Urusi?

Kuna mijadala mingi sana na Kila mtu anatoa uchambuzi wake Kwanini USA chini ya Biden wameruhusu Ukraine kutumia long range boom kupiga ndani ya Urusi.

Ndugu zangu lisemwalo lipo na kama halipo basi lisubiri mlione.

Kwa muda mrefu sana hii vita ya Ukraine na USA imekuwa ikipigwa lakini nyuma ya pazia Kuna matumizi Makubwa ya intelligence kuliko silaha tunaziona upon msemo unasema adui akisha juwa siri zako basi unakuwa umekwisha. Nataka kuwakumbusha maumivu Israel ameyapata na vifo nyuma ya maovu hayo ni Iran na nyuma ya Iran basi ni Russia.

Kwa bahati mbaya sana wakati Urusi akimpa green light Iran akinukishe hakujuwa Israeli walikuwa a head of them sema ilikuwa wanasubiri waguswe.

Israel pale mashariki ya kati amekinukisha mpaka Putin Kremlin akasema Hana watu wa vita. Israel amepigana na lebano, hamas, Syria na Iran. Israel amekinukisha na amewatia hasara adui zake na mpaka sasa mrusi anamlaumu Iran na Iran anamlaumu Urusi.

Ushindi huu mkubwa wa Israel dhidi ya maadui zake imekuwa ni green light ya USA kumaliza mission yao Iran. Masaa machache kabla ya USA kuiruhusu Ukraine rusha makombora yake Urusi jeshi la Urusi limeishambulia Ukraine kwa kiwango kikubwa sana jambo hili limefanya Wana intelligence Kwa data wa nazo kumwambia Ukraine atumie mzigo anao kumaliza kazi. Yes na ukitaka kuamin Rais mteule Trump hajasema neno ila mtoto kasema neno je nini kipo nyuma ya maamuzi haya?

Niukweli usio pingika wakati Urusi anaishambulia Ukraine ulaya wamekuwa kwenye maamdalizi ya kivita yaani wamekuwa kwenye mazoezi mazito ya kivita Kwa ajili ya shambulizi lolote toka Urusi.

Pili siku hizi chache Urusi ameamua kukunjuwa makucha kwanza kuvunja mkataba wakuuza Uranium cake Kwa USA na pili kusimamisha gas Kwa Austrea jambo hili sio dogo ila nilazima lifanyiwe kaz na Urusi waonje athari za vita. Kwa zaid ya siku 1000 Urusi wamekuwa wakiibomoa Ukraine usiku na mchana na Dunia imekuwa ikimkataza Ukraine kupiga Urusi ila sasa wapo tayari Kwa vita na Kwa ufupi wanataka wamuone Putin akitumia Nuclear ili wao wamalizie vita. How?

Ni ukweli usio pingika Urusi ana mzigo wakutosha wa maboom ya nuclea ila pia niukweli usio pingika technology yake Kwa taarifa za siri Haina madhara kama technology ya Magharibi.

Kutumia hayo maboom hasara itakuwa kubwa Kwa Urusi kuliko Magharibi Kwa sababu mpaka sasa Urusi anapumulia machine na akianzisha vita atamalizwa mara Moja na pia Urusi wataigawa Tena yaani hawatoishia hapo Urusi wataigawa tena maana watusi wamesha choka hii vita na hawaoni thamani ya vita hii.

Putin kama Rais ana mamlaka yote ila amefika point wanasema kile kilimkuta Rais mwenzake alie anzisha vita kipindi Fulani wali mpoison wao wenyewe Mzee alie changanyikiwa anataka kuingamiza familia nzima watu Wote wakose Kwa jambo wangetafuta suluhu Kwa Amani.

Wamempa Kremia ila bado hajatosheka anataka nini? Huyu anataka kufa na dam nyingi Kwa maana ya Uzalendo hapana watamtuliza.

Ktk Moja ya speech za Biden aliwahi kusema kama tukitaka kumuondoa Kwa kiti Putin tuna weza ila hatutaki kufika uko na mwisho akasema Putin don't don't use nuclea weapon because it could be a death sentence to Rusian people

Maneno haya yanatimia na kisa cha Trump kuwa Rais nikumaliza kazi cia wanaitaka maana ndio mtu sahihi base on history. Trump anau German ndani yake hawezi ruhusu Putin awazingue Ndugu zake Wa ulaya na Putin. Anajuwa kabisa Trump nikichaa atafanya maamuzi magumu base on advice atapewa na Pentagon.

Mwisho Kwa wale hamjuwi Putin anaenda kushimdwa hii vita vibaya na hivyo vitisho hawezi rusha hata boom Moja kwenye ardhi ya USA au europ. Security advise wa Putin hawato mruhusu
Tukubaliane hu ni mtazamo wako binafsi.
Anyway; iwe kweli au sio, mimi binafsi natamani sana Putin ashinde hi vita with only one reason. Ufaransa amekua anazinyonya sana nchi alizo zitawala na zile zinazo ongea Kifaransa zinateswa; is Russia ambaye kaleta ukombozi Mali, Niger, Bukinafaso. Mungu mbariki Putin
 
Huyu Russia anaepigana na ka Ukraine 2 yrs mpaka anasaidiwa wanajeshi na kichaa mwenzie north Korea ndo amtishe USA embu kua serious kidogo
Urusi hapigani na Ukraine ila anapigana na mataifa zaidi ya 30 barani ulaya na bado ingali yuko kwenye vikwazo vya kiuchumi. Licha ya hayo 20% ya ardhi ya Ukraine ipo mikononi mwa vikosi vya Urusi, na hiyo ardhi ni ile potential kwa kilimo, viwanda pamoja na rasilimali mbalimbali huko mashariki mwa Ukraine.

Nchi za magharibi licha ya kutuma kila aina ya silaha kule Ukraine lkn hawajafanikisha kukomboa hata kijiji kimoja kutoka kwa Urusi. Hapa utasemaje Urusi kashindwa? Juzi tu hapa Volodymir Zelenksy Alisema vita imalizwe kwa diplomasia, kama anashinda vita diplomasia yanni?

Anyway ngoja tusubiri ufanisi wa hizi silaha za masafa marefu zitatoa dira gani kwenye hii vita maana vifaru vya leopard II, Abrahams na mifumo ya ulinzi ya patriot imefeli vibaya mbele ya silaha za Urusi. Hapo sijazungumzia zile F-16 ambazo Zelenksy alipiga kelele apewe na akapewa lkn hali bado inazidi kuwa mbaya kwake
 
Urusi hapigani na Ukraine ila anapigana na mataifa zaidi ya 30 barani ulaya na bado ingali yuko kwenye vikwazo vya kiuchumi. Licha ya hayo 20% ya ardhi ya Ukraine ipo mikononi mwa vikosi vya Urusi, na hiyo ardhi ni ile potential kwa kilimo, viwanda pamoja na rasilimali mbalimbali huko mashariki mwa Ukraine.

Nchi za magharibi licha ya kutuma kila aina ya silaha kule Ukraine lkn hawajafanikisha kukomboa hata kijiji kimoja kutoka kwa Urusi. Hapa utasemaje Urusi kashindwa? Juzi tu hapa Volodymir Zelenksy Alisema vita imalizwe kwa diplomasia, kama anashinda vita diplomasia yanni?

Anyway ngoja tusubiri ufanisi wa hizi silaha za masafa marefu zitatoa dira gani kwenye hii vita maana vifaru vya leopard II, Abrahams na mifumo ya ulinzi ya patriot imefeli vibaya mbele ya silaha za Urusi. Hapo sijazungumzia zile F-16 ambazo Zelenksy alipiga kelele apewe na akapewa lkn hali bado inazidi kuwa mbaya kwake
Na hivyo ndivyo ilivyo !
 
Kuna mijadala mingi sana na Kila mtu anatoa uchambuzi wake Kwanini USA chini ya Biden wameruhusu Ukraine kutumia long range boom kupiga ndani ya Urusi.

Ndugu zangu lisemwalo lipo na kama halipo basi lisubiri mlione.

Kwa muda mrefu sana hii vita ya Ukraine na USA imekuwa ikipigwa lakini nyuma ya pazia Kuna matumizi Makubwa ya intelligence kuliko silaha tunaziona upon msemo unasema adui akisha juwa siri zako basi unakuwa umekwisha. Nataka kuwakumbusha maumivu Israel ameyapata na vifo nyuma ya maovu hayo ni Iran na nyuma ya Iran basi ni Russia.

Kwa bahati mbaya sana wakati Urusi akimpa green light Iran akinukishe hakujuwa Israeli walikuwa a head of them sema ilikuwa wanasubiri waguswe.

Israel pale mashariki ya kati amekinukisha mpaka Putin Kremlin akasema Hana watu wa vita. Israel amepigana na lebano, hamas, Syria na Iran. Israel amekinukisha na amewatia hasara adui zake na mpaka sasa mrusi anamlaumu Iran na Iran anamlaumu Urusi.

Ushindi huu mkubwa wa Israel dhidi ya maadui zake imekuwa ni green light ya USA kumaliza mission yao Iran. Masaa machache kabla ya USA kuiruhusu Ukraine rusha makombora yake Urusi jeshi la Urusi limeishambulia Ukraine kwa kiwango kikubwa sana jambo hili limefanya Wana intelligence Kwa data wa nazo kumwambia Ukraine atumie mzigo anao kumaliza kazi. Yes na ukitaka kuamin Rais mteule Trump hajasema neno ila mtoto kasema neno je nini kipo nyuma ya maamuzi haya?

Niukweli usio pingika wakati Urusi anaishambulia Ukraine ulaya wamekuwa kwenye maamdalizi ya kivita yaani wamekuwa kwenye mazoezi mazito ya kivita Kwa ajili ya shambulizi lolote toka Urusi.

Pili siku hizi chache Urusi ameamua kukunjuwa makucha kwanza kuvunja mkataba wakuuza Uranium cake Kwa USA na pili kusimamisha gas Kwa Austrea jambo hili sio dogo ila nilazima lifanyiwe kaz na Urusi waonje athari za vita. Kwa zaid ya siku 1000 Urusi wamekuwa wakiibomoa Ukraine usiku na mchana na Dunia imekuwa ikimkataza Ukraine kupiga Urusi ila sasa wapo tayari Kwa vita na Kwa ufupi wanataka wamuone Putin akitumia Nuclear ili wao wamalizie vita. How?

Ni ukweli usio pingika Urusi ana mzigo wakutosha wa maboom ya nuclea ila pia niukweli usio pingika technology yake Kwa taarifa za siri Haina madhara kama technology ya Magharibi.

Kutumia hayo maboom hasara itakuwa kubwa Kwa Urusi kuliko Magharibi Kwa sababu mpaka sasa Urusi anapumulia machine na akianzisha vita atamalizwa mara Moja na pia Urusi wataigawa Tena yaani hawatoishia hapo Urusi wataigawa tena maana watusi wamesha choka hii vita na hawaoni thamani ya vita hii.

Putin kama Rais ana mamlaka yote ila amefika point wanasema kile kilimkuta Rais mwenzake alie anzisha vita kipindi Fulani wali mpoison wao wenyewe Mzee alie changanyikiwa anataka kuingamiza familia nzima watu Wote wakose Kwa jambo wangetafuta suluhu Kwa Amani.

Wamempa Kremia ila bado hajatosheka anataka nini? Huyu anataka kufa na dam nyingi Kwa maana ya Uzalendo hapana watamtuliza.

Ktk Moja ya speech za Biden aliwahi kusema kama tukitaka kumuondoa Kwa kiti Putin tuna weza ila hatutaki kufika uko na mwisho akasema Putin don't don't use nuclea weapon because it could be a death sentence to Rusian people

Maneno haya yanatimia na kisa cha Trump kuwa Rais nikumaliza kazi cia wanaitaka maana ndio mtu sahihi base on history. Trump anau German ndani yake hawezi ruhusu Putin awazingue Ndugu zake Wa ulaya na Putin. Anajuwa kabisa Trump nikichaa atafanya maamuzi magumu base on advice atapewa na Pentagon.

Mwisho Kwa wale hamjuwi Putin anaenda kushimdwa hii vita vibaya na hivyo vitisho hawezi rusha hata boom Moja kwenye ardhi ya USA au europ. Security advise wa Putin hawato mruhusu
Huu utumbo tuh kma utumbo mwingineeee....we kigagula unaandika hisia zako
 
Jamani kama hujui hii vita ni Bora kukaa kimya. Hii sio simba na Yanga.

Eti "silaha za Urusi hazina madhara kama za west" kuwa serious.

Google TU silaha hatari za Urusi lakini pia unasahau ndio mwenye maboom yenye Kasi kuliko nchi yeyote.

Hayo maboom Yako umempatia Ukraine Jana kapiga 6 matano yamelipuliwa midair na Moja liliharibiwa na kudondoka pasipo madhara. Hivyo kukuonesha TU ni ngumu Ukraine kufikia malengo lakini retaliation yake inaweza kuwa na madhara zaidi.

Pia Zelensky anaweza kuuwawa ili TU kumaliza vita.

Point yangu ni kwamba West wanataka kufa na tai shingoni maana uchumi wote wa ulaya upo kwenye hali mbaya sana. Nashangaa mleta mada anaisema Urusi wakati Uingereza, ufaransa na Ujerumani hali ni mbaya sana.

Kubwa tuombe lisitokee tunalotaka litokee.
Ndugu yangu vinajuwa nini vigogo vilivyo soma uraia badala ya siasa?.
 
Wataalam wa mambo ya kivita wa Dunia, wanakubaliana kuwa japo jeshi la Urusi ni miongoni mwa majeshi makubwa sana Duniani, lakini uwezo wake wa kivita, upo exagerated. Vita hii ambayo Urusi iliianzisha dhidi ya Ukraine, imethibitisha uwezo halisia wa jeshi la Urusi katika masuala ya kivita.
Hivi kweli hii vita mrusi ndiyo ya kwanza kupigana tangu uwepo wa taifa hilo,hadi kupelekea kugunduwa udhaifu wajeshi lake. Mbona wanapiga kelele nje ya uwanja timu siwanazo nzuri mbona hawaingizi uwanjani tuone tuhakiki wakisemacho.
 
Urusi anapigana zaidi ya nchi 52 Kwa pamoja akiwa amewekewa vikwazo na bado amekaria karibia nusu ya Ukraine.
Hizo nchi 52 zipo wapi hapo ukraine na urusi anapiganaje nazo tungeona ndege nyingi na wanajeshi wa nato urusi hata wiki asingemaliza wafia dini acheni unafiki na uwongo wakati putin mwenyewe kasema kuiruhusu ukraine silaha za masafa marefu vitakuwa vya urusi na nato
 
Tukubaliane hu ni mtazamo wako binafsi.
Anyway; iwe kweli au sio, mimi binafsi natamani sana Putin ashinde hi vita with only one reason. Ufaransa amekua anazinyonya sana nchi alizo zitawala na zile zinazo ongea Kifaransa zinateswa; is Russia ambaye kaleta ukombozi Mali, Niger, Bukinafaso. Mungu mbariki Putin
Great reply
 
Urusi hapigani na Ukraine ila anapigana na mataifa zaidi ya 30 barani ulaya na bado ingali yuko kwenye vikwazo vya kiuchumi. Licha ya hayo 20% ya ardhi ya Ukraine ipo mikononi mwa vikosi vya Urusi, na hiyo ardhi ni ile potential kwa kilimo, viwanda pamoja na rasilimali mbalimbali huko mashariki mwa Ukraine.

Nchi za magharibi licha ya kutuma kila aina ya silaha kule Ukraine lkn hawajafanikisha kukomboa hata kijiji kimoja kutoka kwa Urusi. Hapa utasemaje Urusi kashindwa? Juzi tu hapa Volodymir Zelenksy Alisema vita imalizwe kwa diplomasia, kama anashinda vita diplomasia yanni?

Anyway ngoja tusubiri ufanisi wa hizi silaha za masafa marefu zitatoa dira gani kwenye hii vita maana vifaru vya leopard II, Abrahams na mifumo ya ulinzi ya patriot imefeli vibaya mbele ya silaha za Urusi. Hapo sijazungumzia zile F-16 ambazo Zelenksy alipiga kelele apewe na akapewa lkn hali bado inazidi kuwa mbaya kwake
Ukosawa kabisa wana Jf tungekuwa wakweli namna hii tungejifunza mengi, tatizo liko wazi Zele anahangaika kuomba kila aina ya misaada lakini matokeo sifuli!!, wasaidizi wake vikao haviishi navyo matokeo yake sifuli yote hayo hayajasaidia kitu.
 
Kuna mijadala mingi sana na Kila mtu anatoa uchambuzi wake Kwanini USA chini ya Biden wameruhusu Ukraine kutumia long range boom kupiga ndani ya Urusi.

Ndugu zangu lisemwalo lipo na kama halipo basi lisubiri mlione.

Kwa muda mrefu sana hii vita ya Ukraine na USA imekuwa ikipigwa lakini nyuma ya pazia Kuna matumizi Makubwa ya intelligence kuliko silaha tunaziona upon msemo unasema adui akisha juwa siri zako basi unakuwa umekwisha. Nataka kuwakumbusha maumivu Israel ameyapata na vifo nyuma ya maovu hayo ni Iran na nyuma ya Iran basi ni Russia.

Kwa bahati mbaya sana wakati Urusi akimpa green light Iran akinukishe hakujuwa Israeli walikuwa a head of them sema ilikuwa wanasubiri waguswe.

Israel pale mashariki ya kati amekinukisha mpaka Putin Kremlin akasema Hana watu wa vita. Israel amepigana na lebano, hamas, Syria na Iran. Israel amekinukisha na amewatia hasara adui zake na mpaka sasa mrusi anamlaumu Iran na Iran anamlaumu Urusi.

Ushindi huu mkubwa wa Israel dhidi ya maadui zake imekuwa ni green light ya USA kumaliza mission yao Iran. Masaa machache kabla ya USA kuiruhusu Ukraine rusha makombora yake Urusi jeshi la Urusi limeishambulia Ukraine kwa kiwango kikubwa sana jambo hili limefanya Wana intelligence Kwa data wa nazo kumwambia Ukraine atumie mzigo anao kumaliza kazi. Yes na ukitaka kuamin Rais mteule Trump hajasema neno ila mtoto kasema neno je nini kipo nyuma ya maamuzi haya?

Niukweli usio pingika wakati Urusi anaishambulia Ukraine ulaya wamekuwa kwenye maamdalizi ya kivita yaani wamekuwa kwenye mazoezi mazito ya kivita Kwa ajili ya shambulizi lolote toka Urusi.

Pili siku hizi chache Urusi ameamua kukunjuwa makucha kwanza kuvunja mkataba wakuuza Uranium cake Kwa USA na pili kusimamisha gas Kwa Austrea jambo hili sio dogo ila nilazima lifanyiwe kaz na Urusi waonje athari za vita. Kwa zaid ya siku 1000 Urusi wamekuwa wakiibomoa Ukraine usiku na mchana na Dunia imekuwa ikimkataza Ukraine kupiga Urusi ila sasa wapo tayari Kwa vita na Kwa ufupi wanataka wamuone Putin akitumia Nuclear ili wao wamalizie vita. How?

Ni ukweli usio pingika Urusi ana mzigo wakutosha wa maboom ya nuclea ila pia niukweli usio pingika technology yake Kwa taarifa za siri Haina madhara kama technology ya Magharibi.

Kutumia hayo maboom hasara itakuwa kubwa Kwa Urusi kuliko Magharibi Kwa sababu mpaka sasa Urusi anapumulia machine na akianzisha vita atamalizwa mara Moja na pia Urusi wataigawa Tena yaani hawatoishia hapo Urusi wataigawa tena maana watusi wamesha choka hii vita na hawaoni thamani ya vita hii.

Putin kama Rais ana mamlaka yote ila amefika point wanasema kile kilimkuta Rais mwenzake alie anzisha vita kipindi Fulani wali mpoison wao wenyewe Mzee alie changanyikiwa anataka kuingamiza familia nzima watu Wote wakose Kwa jambo wangetafuta suluhu Kwa Amani.

Wamempa Kremia ila bado hajatosheka anataka nini? Huyu anataka kufa na dam nyingi Kwa maana ya Uzalendo hapana watamtuliza.

Ktk Moja ya speech za Biden aliwahi kusema kama tukitaka kumuondoa Kwa kiti Putin tuna weza ila hatutaki kufika uko na mwisho akasema Putin don't don't use nuclea weapon because it could be a death sentence to Rusian people

Maneno haya yanatimia na kisa cha Trump kuwa Rais nikumaliza kazi cia wanaitaka maana ndio mtu sahihi base on history. Trump anau German ndani yake hawezi ruhusu Putin awazingue Ndugu zake Wa ulaya na Putin. Anajuwa kabisa Trump nikichaa atafanya maamuzi magumu base on advice atapewa na Pentagon.

Mwisho Kwa wale hamjuwi Putin anaenda kushimdwa hii vita vibaya na hivyo vitisho hawezi rusha hata boom Moja kwenye ardhi ya USA au europ. Security advise wa Putin hawato mruhusu
Biden juzi ameruhusu Ukraine kutumia silaha za masafa marefu,ila Trump yy lengo lake kumaliza hii vita ya Russia na Ukraine.
 
Hizo nchi 52 zipo wapi hapo ukraine na urusi anapiganaje nazo tungeona ndege nyingi na wanajeshi wa nato urusi hata wiki asingemaliza wafia dini acheni unafiki na uwongo wakati putin mwenyewe kasema kuiruhusu ukraine silaha za masafa marefu vitakuwa vya urusi na nato
Kwani ndege za NATO hazipo uwanja wa vita?
 
Zitaje hizo ndege hivi umeangalia hata mazoezi ya nato vile wana mandege ya kufa mtu au wewe umekaa hapo kijiwe cha kahawa unaropoka urusi anapigana na Nato
ngoja nikusaidie kidogo,
ili upigane vita unahitaji vitu vifuatavyo,

1. wanajeshi
2. silaha
3. fedha
4. teknolojia (intelijensia)

haya, katika hayo manne, ukraine anayo mangapi ya kwake binafsi?
ukiangalia hapo, utaona ukraine ana wanajeshi tu,

silaha hana, fedha hana, intelijensia hana,..... kwahiyo, anatoa hivyo technically ndiye anapigana vita!

nb/.
google jinsi atamcs na storm shadow zinavyofanya kazi, atleast itakuasaidia kuelewa ikiwa nato wapo uwanjani au hawapo!
 
Back
Top Bottom