Je, kwanini vilabu vingi vya pombe za kienyeji hupenda kupiga nyimbo za zamani hasa zenye asili ya Kongo?

Je, kwanini vilabu vingi vya pombe za kienyeji hupenda kupiga nyimbo za zamani hasa zenye asili ya Kongo?

SubTopic

Member
Joined
Sep 15, 2021
Posts
95
Reaction score
175
Ni Kama utamaduni vile katika vilabu vya pombe za kienyeji utakuta nyimbo nyingi Kama siyo zote huwa Ni zile za ki Kongo Tena za zamani Sana zile za kina Pepe kale, Kanda bongoman n.k hii Ina uhusiano gani na vilabu vya pombe za kienyeji?

Maana karibu maeneo yote yenye hivyo vilabu nyimbo Ni hizo tu. Au Ni nyimbo zinapendwa na walevi?
Uzi tayari.
 
Ni Kama utamaduni vile katika vilabu vya pombe za kienyeji utakuta nyimbo nyingi Kama siyo zote huwa Ni zile za ki Kongo Tena za zamani Sana zile za kina Pepe kale, Kanda bongoman n.k hii Ina uhusiano gani na vilabu vya pombe za kienyeji?

Maana karibu maeneo yote yenye hivyo vilabu nyimbo Ni hizo tu. Au Ni nyimbo zinapendwa na walevi?
Uzi tayari.
Huo ni mziki wa Asili na hizo pombe ni za Asili!
 
Ni Kama utamaduni vile katika vilabu vya pombe za kienyeji utakuta nyimbo nyingi Kama siyo zote huwa Ni zile za ki Kongo Tena za zamani Sana zile za kina Pepe kale, Kanda bongoman n.k hii Ina uhusiano gani na vilabu vya pombe za kienyeji?

Maana karibu maeneo yote yenye hivyo vilabu nyimbo Ni hizo tu. Au Ni nyimbo zinapendwa na walevi?
Uzi tayari.
Wanarithishana na ndiyo maana utakuta wanaokunywa pombe maeneo hayo ni watoto au wajukuu wa wanywaji wa zamani
 
Ni Kama utamaduni vile katika vilabu vya pombe za kienyeji utakuta nyimbo nyingi Kama siyo zote huwa Ni zile za ki Kongo Tena za zamani Sana zile za kina Pepe kale, Kanda bongoman n.k hii Ina uhusiano gani na vilabu vya pombe za kienyeji?

Maana karibu maeneo yote yenye hivyo vilabu nyimbo Ni hizo tu. Au Ni nyimbo zinapendwa na walevi?
Uzi tayari.
Wanarithishana na ndiyo maana utakuta wanaokunywa pombe maeneo hayo ni watoto au wajukuu wa wanywaji wa zamani
 
Ni Kama utamaduni vile katika vilabu vya pombe za kienyeji utakuta nyimbo nyingi Kama siyo zote huwa Ni zile za ki Kongo Tena za zamani Sana zile za kina Pepe kale, Kanda bongoman n.k hii Ina uhusiano gani na vilabu vya pombe za kienyeji?

Maana karibu maeneo yote yenye hivyo vilabu nyimbo Ni hizo tu. Au Ni nyimbo zinapendwa na walevi?
Uzi tayari.
walevi wa hizo pombe ndio wanazipenda nyimbo hizo wengi wao ni watu wazima wa enzi hizo nyimbo hizo zinavuma.
 
Ni Kama utamaduni vile katika vilabu vya pombe za kienyeji utakuta nyimbo nyingi Kama siyo zote huwa Ni zile za ki Kongo Tena za zamani Sana zile za kina Pepe kale, Kanda bongoman n.k hii Ina uhusiano gani na vilabu vya pombe za kienyeji?

Maana karibu maeneo yote yenye hivyo vilabu nyimbo Ni hizo tu. Au Ni nyimbo zinapendwa na walevi?
Uzi tayari.
Kama nakuona kwenye vilabu vya mbege kule moshi.. maana kwa minyimbo hiyo mchaga humuambii kitu.
 
wanaoshinda vilabuni, ni wazee wa CCM utawakuta huko, huko Mbozi ukiwanunulia debe la kimpumu umemaliza, unakuta mzee amepiga shat la kitenge na kofia ya CCM
Unakuta ni walimu pia hasa wa shule za msingi
 
Kila mtu umri unapoenda uwa analudi kwao kupumzika. Virabu vingi vya pombe za kienyeji zipo vijijini na wadau wakubwa wa pombe hizo ni wastahafu walikuwa wamemiss pombe zao zilizo wakuza kwahyo wakikutana na jamaa zao wa ujana wao wanafurahia miziki ya kipindi chao. By da way nipo na miaka 35 ila ikifika 45 nastahafu nanda kijijini kwa baba na Mama. Kijijini kila kitu siku hizi ni kama mjini ni wewe tu yani ni umu tu.
 
Back
Top Bottom