yassird200
JF-Expert Member
- Jan 2, 2025
- 466
- 813
Wengi wao niwazee wakati waujana wao hizo ndizo zilikuwa nyimbo pendwa kwao kama leo tu! Nyakati hizo labda walikuwa napesa ama wapendwa wao sasa hivi hawapo tena na pesa hakuna tena . Wanatumia mda huo kujifariji na kukumbuka moments zao huko nyuma huwa nifuraha kwao. Alisikika mlevi mmoja akisema