Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Hizo nyimbo zina amsha amsha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka wasikilize nyimbo za watoto wa 2000 za akina Diamond inama inuka nichomeke inazama yote??Ni research tu isiyo rasmi mkuu Yani utasema kule wapo ulimwengu wao maana Ni nyimbo za kitambo sana
Zamami nyimbo za Congo zilitawala, hata muziki wa Bongo umeathirika sana na mziki wa congo.Ni Kama utamaduni vile katika vilabu vya pombe za kienyeji utakuta nyimbo nyingi Kama siyo zote huwa Ni zile za ki Kongo Tena za zamani Sana zile za kina Pepe kale, Kanda bongoman n.k hii Ina uhusiano gani na vilabu vya pombe za kienyeji?
Maana karibu maeneo yote yenye hivyo vilabu nyimbo Ni hizo tu. Au Ni nyimbo zinapendwa na walevi?
Uzi tayari.
Mama yangu alipika hizi pombe, naziheshimu. Na kweli miziki ya vilabuni ni rhumba za zamani sio za kina fally ipupaNi Kama utamaduni vile katika vilabu vya pombe za kienyeji utakuta nyimbo nyingi Kama siyo zote huwa Ni zile za ki Kongo Tena za zamani Sana zile za kina Pepe kale, Kanda bongoman n.k hii Ina uhusiano gani na vilabu vya pombe za kienyeji?
Maana karibu maeneo yote yenye hivyo vilabu nyimbo Ni hizo tu. Au Ni nyimbo zinapendwa na walevi?
Uzi tayari.
Wapige na singeli basiHuo ni mziki wa Asili na hizo pombe ni za Asili!
Kwa kina Lukas Mwashambwa!wanaoshinda vilabuni, ni wazee wa CCM utawakuta huko, huko Mbozi ukiwanunulia debe la kimpumu umemaliza, unakuta mzee amepiga shat la kitenge na kofia ya CCM
Mimi nimeenda kijijini kumenishinda wale wazee wa jika langu wengi wamesharudisha namba.Kila mtu umri unapoenda uwa analudi kwao kupumzika. Virabu vingi vya pombe za kienyeji zipo vijijini na wadau wakubwa wa pombe hizo ni wastahafu walikuwa wamemiss pombe zao zilizo wakuza kwahyo wakikutana na jamaa zao wa ujana wao wanafurahia miziki ya kipindi chao. By da way nipo na miaka 35 ila ikifika 45 nastahafu nanda kijijini kwa baba na Mama. Kijijini kila kitu siku hizi ni kama mjini ni wewe tu yani ni umu tu.
Huyo lazima anashinda huko, uzuri wa vilabuni ni jioni, huwezi kukuta kilabu kimefunguliwa mchanaKwa kina Lukas Mwashambwa!
Kwa hiyo ndo mnazipenda sanaUnataka wasikilize nyimbo za watoto wa 2000 za akina Diamond inama inuka nichomeke inazama yote??
Kwenye vila vilabu wapo watu wazima lazima wasikilize nyimbo zilizotrend wakati wao wako na pesa na nguvu za kutosha.
Walochoka kimaisha 😃😃😃😃😃Inaezekana zile nyimbo walskiza wajanj wa zaman sehem za stareh ambapo ndo vilabuni na mara nying huko huenda wazee au watu walochoka kimaisha
Ndio maana yake.Kwa hiyo ndo mnazipenda sana
Jaribuni na zile za inama nichomeke izame yote, hakika mtaenjoy sanaNdio maana yake.
Aisee hatari sana, na kilabuni ulipita pita ukawakosa, au ndio gongo imewasepeshaMimi nimeenda kijijini kumenishinda wale wazee wa jika langu wengi wamesharudisha namba.
Vijana wamechoka kwa kunywa gongo.
unaweza ukatembea barabarani km 2 au 3 usikutane na mtu yoyote hata mbwa.
Uje mahakamani kesho 😆😆😆😆😆Zina vibe lake ukute kimama chembamba kina kilemba na chupa lake la wanzuki mkononi kinacheza bhuyagayaga huku kinabambiwavna mlevi mbaba anamkoti mchafu na mzula usio na rangi maalum...ndio starehe yao hiyo
Au sio, kimpumu, ulanzi, mtindo + gongoKila mtu umri unapoenda uwa analudi kwao kupumzika. Virabu vingi vya pombe za kienyeji zipo vijijini na wadau wakubwa wa pombe hizo ni wastahafu walikuwa wamemiss pombe zao zilizo wakuza kwahyo wakikutana na jamaa zao wa ujana wao wanafurahia miziki ya kipindi chao. By da way nipo na miaka 35 ila ikifika 45 nastahafu nanda kijijini kwa baba na Mama. Kijijini kila kitu siku hizi ni kama mjini ni wewe tu yani ni umu tu.
Kwa umri wangu siwezi kwenda klabuni tena. Wengi wa wazee wenzangu waliondoka kwa magonjwa ya kisasa: sukari, presha, stroke au ngoma.Aisee hatari sana, na kilabuni ulipita pita ukawakosa, au ndio gongo imewasepesha