Je, kwanini vilabu vingi vya pombe za kienyeji hupenda kupiga nyimbo za zamani hasa zenye asili ya Kongo?

Wengi wao niwazee wakati waujana wao hizo ndizo zilikuwa nyimbo pendwa kwao kama leo tu! Nyakati hizo labda walikuwa napesa ama wapendwa wao sasa hivi hawapo tena na pesa hakuna tena . Wanatumia mda huo kujifariji na kukumbuka moments zao huko nyuma huwa nifuraha kwao. Alisikika mlevi mmoja akisema
 
Ya walevi, waachie walevi.
 
Bar nyingi zinazopiga muziki wa wakubwa ndizo zinazouza, vijana wengi hawana hela
 
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!!!
Unaweka bongo fleva ni mzee gani atakuja hapo? nyimbo zimejaa matusi matupu na wala haijulikani unachezaje, wasanii wa sasa bila mganga hawazindui Album, nyimbo hazina kitu
 
Viuno siyo matusi, bongo fleva ni matusi waziwazi ya maneno na vitendo
Hapana huo wimbo unaoitwa Sophia una vitendo vya matusi vinavyofanywa na Yondo Sister ukiweza itafute uone kule mwishoni
 
Ukizaliwa wewe ni kijana

Ukose kazi taabu zote utazipata.....

Ukienda ukiona mtu wa kwenu...

Ukitoka wanaanza masimango;

Huyu kijana kazi gani anataka.....

Kupeleka ndege au kupeleka gari!
 
Hata walevi wa kileo huwaambii kitu zikipigwa nyimbo toka congo za leo hiii......MayDay mayday
 
Soukous ina amsha amsha halafu bonge la throwback kwa watumia pombe hizo ukizingatia huwa watu wazima zaidi.

Evelyne ya Aurlus Mabele au Laisser Passer (Matchatcha) ya Diblo Dibala huwezi zikosa.
 
Inaezekana zile nyimbo walskiza wajanj wa zaman sehem za stareh ambapo ndo vilabuni na mara nying huko huenda wazee au watu walochoka kimaisha
kwani siku hizi kuna muziki? hata wewe unaweza kuimba lolote, bila kufuta sheria za uimbaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…