Uchaguzi 2020 Je, lengo la watawala kukifanya chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020 litafanikiwa?

Uchaguzi 2020 Je, lengo la watawala kukifanya chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020 litafanikiwa?

jme
Ni kweli kabisa ukisemacho, ni lazima pia watanzania tujiulize hivi hiki chama cha NCCR Mageuzi si ndicho kilikuwa chama kikuu cha upinzani nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 1995?

Nini kilitokea baada ya hapo?

Ni kusambaratishwa kwa chama hiko kwa "usimamizi" wa karibu wa chama tawala

Mpinzani na mgomvi mkuu wa CCM ni yeyote yule anayeitwa CHAMA KIKUU CHA UPINZANI. Hata mkiwa marafiki leo lakini kesho ukipata hadhi hiyo wewe ni adui yake.

Hivyo CCM kamwe haitaki NCCR kuwa chama kikuu cha upinzani. Inachohitaji hiki chama tawala ni kumpa nguvu Mbatia ili:
  • Asikubali kuungana na vyama vya upinzani katka uchaguzi 2020.
  • Kwa maana hiyo atagawa kura za wapinzani na kuwaangusha wabunge wa upinzani.
  • Kuwarahisishia wagombea wa CCM wabunge/Rais kuwa na msaada toka NCCR Kihoja kwani kinawanachama wengi toka CDM.
Aidha chama tawala kina mkakati wa kuwashawishi wagombea wa NCCR kuwekwa maeneo yale ambayo CHADEMA wana strong hola kama Mbeya (hususan ktk kumuondoa Sugu), Kilimanjaro, Mara, Iringa (analengwa Msigwa) n.k. Kwa hili nafikiri watafanikiwa, sijui CHADEMA watakuwa wamejipangaje.

Kwa kuwalipa Fadhila hao NCCR, chama tawala kitawazawadia wabunge kati ya 5 mpaka 7. Hii haitoshi kuwa chama kikuu cha upinzani.
 
nccr ni kama kaingizwa choo cha kike, haitawezekana ccm kugawa fungu nccr mageuzi wakati yenyewe tu saiv inahaha kwamba oktoba itakuaje! chadema wana mtaji wa rasilimali watu nchi nzima je mbatia na kundi lake watajaa kibaba?
 
Watakifanyaje wakati Ni matakwa ya watawala?,kama siyo watawala kinachoendelea leo nccr unakiona?
Ni mwananchi gani mpumbavu kiasi cha kuchagua wasaliti wa Taifa? nani haoni wanayoyafanya CHADEMA na Zitto kila uchao kumtukana na kumdhihaki mkuu wa nchi? nani haoni wanavyolichonganisha Taifa kwa wadau na wahisani wa maendeleo? ni mwendawazimu tu ndo atasubiri aambiwe na Rais kwamba hao hawafai ndo achukue hatua, wananchi tunaona na tushaamua, wakipata walau mbunge mmoja October washukuru.
 
Ukiangalia mwenendo wa viongozi wa Chadema hivi sasa wanaohama chama hicho kuhamia NCCR Mageuzi utagundua wazi kuwa chama tawala kina mkakati wa wazi wa kukifanya chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020

Tamko la kiongozi wa NCCR Mageuzi, James Mbatia la hivi karibuni linalithibitisha hili, pale alipotamka kuwa chama chake cha NCCR Mageuzi ndicho kinachotegemewa kuwa chama kikuu cha upinzani nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020

Huo ndiyo mkakati wao watawala wetu wa CCM wa "kukiwezesha" chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020

Hata ukiangalia viongozi wanaohama Chadema hivi sasa, wengi wao wanahamia chama cha NCCR Mageuzi, ikionekana wazi, hayo ni "maelekezo maalum" kutoka kwa chama tawala

Kulithibitisha hilo tumejionea namna wabunge wawili wa kuchaguliwa, akina Antony Komu na mwenzie Selasini, wakisema wazi kuwa wanahamia chama cha NCCR Mageuzi.

Si hao tu, hivi majuzi tumeshuhudia pia wabunge wengine wawili wa viti maalum wa Chadema, Suzane Masele na mwenzie Joyce Sokombi, nao wakifuata nyayo hizo hizo za kuhamia chama cha NCCR Mageuzi

Swali langu ni je watawala hawa wa CCM wataweza kuufanikisha mkakati wao huo?

Nauliza swali hili, kwa kuwa najua kuwa mioyoni mwa watanzania mamilioni tegemeo lao kubwa lipo kwa chama cha Chadema, kuwa ndiyo chama pekee cha upinzani nchini, cha kuwakomboa kutoka kwenye mikono ya chama tawala.

Je watawala wetu wataweza kugeuza mapenzi ya mamilioni hao wa kitanzania kwa chama chao cha Chadema na waweze kukipenda chama cha NCCR Mageuzi kwa matakwa ya watawala hao?
Ni historia inajaribu kujirudia kumbuka NCCR ndio kilikuwa chama kikuu cha upinzani mwanzo kabisa wa siasa za vyama vingi mwaka 1995. Ukweli ni kwamba ccm wanacheza na kitu wasichokijua, CDM imejikita sana nchi nzima na hawawezi kuiua CDM kupitia NCCR na hatima ya yote vyama hivi vitakuwa kitu kimoja na kuipigilia ccm msumari wa mwisho.
 
nccr ni kama kaingizwa choo cha kike, haitawezekana ccm kugawa fungu nccr mageuzi wakati yenyewe tu saiv inahaha kwamba oktoba itakuaje! chadema wana mtaji wa rasilimali watu nchi nzima je mbatia na kundi lake watajaa kibaba?
Hahahahaha...hao watu wako nje ya nchi ma multiple accounts tweeter na jamiiforums, kule field CHADEMA haina mtu mkuu, watu walishatembea kitambo hata kabla ya Lowassa kurejea CCM, October sio mbali mtafurahi na macho yenu, hakuna wa kuunga mkono wasaliti wa Taifa.
 
Chadema watashinda majimbo mengi tu.. chamsingi ni kuwa na mkakati maalumu kwenye majimbo yao ya kimkakati na kuhakikisha kuwa mpango wowote wa uchakachuzi au kuvuruga uchaguzi haufanikiwi ktk majimbo hayo. Pia kura za maoni za watia nia zitokane na matakwa ya wananchi!
Nimezunguka baadhi ya maeneo wakurugenzi wengi wamewekwa wa toka nyumbani, inahitajika nguvu ya ziada sana.Wakifutilia vizuri watagundua hiki nilicho andika

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Ni historia inajaribu kujirudia kumbuka NCCR ndio kilikuwa chama kikuu cha upinzani mwanzo kabisa wa siasa za vyama vingi mwaka 1995. Ukweli ni kwamba ccm wanacheza na kitu wasichokijua, CDM imejikita sana nchi nzima na hawawezi kuiua CDM kupitia NCCR na hatima ya yote vyama hivi vitakuwa kitu kimoja na kuipigilia ccm msumari wa mwisho.
fazili
Wanachofanya CCM ni sawasawa na mtu anayekimbiza kivuli chake, akiamini kuwa ipo siku atakikuta![/QUOTE]
 
fazili
Wanachofanya CCM ni sawasawa na mtu anayekimbiza kivuli chake, akiamini kuwa ipo siku atakikuta!
[/QUOTE]
Hahaha...mko desperate kishenzi, kwa hiyo CHADEMA watakuwa kitu kimoja na wasaliti walonunuliwa?
 
Je unaipenda Chadema au unaishabikia tu chadema kwa sababu unaichukia ccm?
 
Imenikumbusha wakati Pan Afrika inaundwa kuingoa Yanga nguvu za pesa zilitumika sana lakini wananchi walishinda hivyohivyo nccr itashindwa
 
CCM wanapenda vyama dhaifu kwa kuwa havina madhara kwao, na wanapambana na vyama vya kweli ambavyo ni tishio kwa CCM ili wavisambaratishe.

Hata NCCR wenyewe wakifikia kiwango cha kuwatishio kwa CCM, nao hawatafika mbali kibao cha kuwasambaratisha kitawageukia.
 
Ukiangalia mwenendo wa viongozi wa Chadema hivi sasa wanaohama chama hicho kuhamia NCCR Mageuzi utagundua wazi kuwa chama tawala kina mkakati wa wazi wa kukifanya chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020

Tamko la kiongozi wa NCCR Mageuzi, James Mbatia la hivi karibuni linalithibitisha hili, pale alipotamka kuwa chama chake cha NCCR Mageuzi ndicho kinachotegemewa kuwa chama kikuu cha upinzani nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020

Huo ndiyo mkakati wao watawala wetu wa CCM wa "kukiwezesha" chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020

Hata ukiangalia viongozi wanaohama Chadema hivi sasa, wengi wao wanahamia chama cha NCCR Mageuzi, ikionekana wazi, hayo ni "maelekezo maalum" kutoka kwa chama tawala

Kulithibitisha hilo tumejionea namna wabunge wawili wa kuchaguliwa, akina Antony Komu na mwenzie Selasini, wakisema wazi kuwa wanahamia chama cha NCCR Mageuzi.

Si hao tu, hivi majuzi tumeshuhudia pia wabunge wengine wawili wa viti maalum wa Chadema, Suzane Masele na mwenzie Joyce Sokombi, nao wakifuata nyayo hizo hizo za kuhamia chama cha NCCR Mageuzi

Swali langu ni je watawala hawa wa CCM wataweza kuufanikisha mkakati wao huo?

Nauliza swali hili, kwa kuwa najua kuwa mioyoni mwa watanzania mamilioni tegemeo lao kubwa lipo kwa chama cha Chadema, kuwa ndiyo chama pekee cha upinzani nchini, cha kuwakomboa kutoka kwenye mikono ya chama tawala.

Je watawala wetu wataweza kugeuza mapenzi ya mamilioni hao wa kitanzania kwa chama chao cha Chadema na waweze kukipenda chama cha NCCR Mageuzi kwa matakwa ya watawala hao?
Bila kuwa na tume huru ya uchaguzi na tukiendelea na tume hii hii, basi aslimia 100 ya lengo la watawala litafanikiwa.
 
Reference yetu iwe Local Gv election. Uhuni wa wazi ulipfanyika.

Kwa mantiki hiyo wamejiandaa kwa uhuni mwingne wa mchana kweupe.

Watakachofanya ni sawa na LGE, watawakata majina, watakao baki watapigwa rafu kwenye kampeni, watakao himili watapigwa rafu kwenye uchaguzi, watakaohimili hawatotangazwa, maeneo ambayo wananchi watapinga...watapigwa na wengne kupotea.

Watawatangaza wabunge wasiozid wawili au hata sifuri kabisa. Hawanaga aibu wale.

Uchaguzi huu 2020 wananchi wasipokataa uhuni wa CCM, hakuna mbunge wa CDM atarudi bungeni.

Ni dhahiri sasa ACT wameungana na CCM ndo maana uumeona Ado Shaibu alichoandika leo.
 
Back
Top Bottom