Uchaguzi 2020 Je, lengo la watawala kukifanya chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020 litafanikiwa?

Uchaguzi 2020 Je, lengo la watawala kukifanya chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020 litafanikiwa?

BAK
Hawa watawala wetu wamegeuza uchaguzi kuwa matakwa yao binafsi, badala ya kuheshimu matakwa ya sanduku la kura lililo huru
CHADEMA na wapinzani wa dhati msilalamike tu. Mdai tume huru ya uchaguzi la sivyo itakula kwenu. Learn from Burundi. The opposition was a mass mover but are losing.
 
Reference yetu iwe Local Gv election. Uhuni wa wazi ulipfanyika.

Kwa mantiki hiyo wamejiandaa kwa uhuni mwingne wa mchana kweupe.

Watakachofanya ni sawa na LGE, watawakata majina, watakao baki watapigwa rafu kwenye kampeni, watakao himili watapigwa rafu kwenye uchaguzi, watakaohimili hawatotangazwa, maeneo ambayo wananchi watapinga...watapigwa na wengne kupotea.

Watawatangaza wabunge wasiozid wawili au hata sifuri kabisa. Hawanaga aibu wale.

Uchaguzi huu 2020 wananchi wasipokataa uhuni wa CCM, hakuna mbunge wa CDM atarudi bungeni.

Ni dhahiri sasa ACT wameungana na CCM ndo maana uumeona Ado Shaibu alichoandika leo.
Kama unaongelea wananchi wa multiple accounts wa jf na tweeter ni sawa hao wabunge wawili waweza patikana, lakini kama ni kule field wajidanganya, wananchi wanaona myafanyayo, usaliti dhidi ya Taifa na matusi, dhihaka dhidi ya mkuu wa nchi hata kwa mambo yanayopaswa kutuunganisha havitawaacha salama, mkipata mbunge mmoja mshukuru Mungu.
 
Ukiangalia mwenendo wa viongozi wa Chadema hivi sasa wanaohama chama hicho kuhamia NCCR Mageuzi utagundua wazi kuwa chama tawala kina mkakati wa wazi wa kukifanya chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020

Tamko la kiongozi wa NCCR Mageuzi, James Mbatia la hivi karibuni linalithibitisha hili, pale alipotamka kuwa chama chake cha NCCR Mageuzi ndicho kinachotegemewa kuwa chama kikuu cha upinzani nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020

Huo ndiyo mkakati wao watawala wetu wa CCM wa "kukiwezesha" chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020

Hata ukiangalia viongozi wanaohama Chadema hivi sasa, wengi wao wanahamia chama cha NCCR Mageuzi, ikionekana wazi, hayo ni "maelekezo maalum" kutoka kwa chama tawala

Kulithibitisha hilo tumejionea namna wabunge wawili wa kuchaguliwa, akina Antony Komu na mwenzie Selasini, wakisema wazi kuwa wanahamia chama cha NCCR Mageuzi.

Si hao tu, hivi majuzi tumeshuhudia pia wabunge wengine wawili wa viti maalum wa Chadema, Suzane Masele na mwenzie Joyce Sokombi, nao wakifuata nyayo hizo hizo za kuhamia chama cha NCCR Mageuzi

Swali langu ni je watawala hawa wa CCM wataweza kuufanikisha mkakati wao huo?

Nauliza swali hili, kwa kuwa najua kuwa mioyoni mwa watanzania mamilioni tegemeo lao kubwa lipo kwa chama cha Chadema, kuwa ndiyo chama pekee cha upinzani nchini, cha kuwakomboa kutoka kwenye mikono ya chama tawala.

Je watawala wetu wataweza kugeuza mapenzi ya mamilioni hao wa kitanzania kwa chama chao cha Chadema na waweze kukipenda chama cha NCCR Mageuzi kwa matakwa ya watawala hao?

Mkuu hili jambo halitaki tochi, lipo tena mchana kweupe ata huyo Mbatia hivi makaribuni kama alijitoa fahamu na kuusema vibaya UKAWA lakini pia akatishia kwamba atatoa siri nyingi za UKAWA ni kama vile na yeye ametolewa fahamu ni upande ule ili kutimiza adhma na malengo ya upande ule ndio mana ukifuatili siku za hivi karibuni mkuu alimsifu sana Mbatia na kusema "Mbatia ni Kiongozi wa upinzani pekee anayejitambua" na alimpongeza sana.

Kwa ufupi ni kwamba chama hichi cha NCCR mageuzi ambacho sasa kinajengwa kwa nguvu zote kuwa chama kikuu cha upinzani hakitakuwa na tofauti na kile chama cha TLP cha bwana Mrema ambacho nacho hivi karibu mapema kabisa wameshampitisha mgombea wake wa urais na kusema atakuwa Mkuu aliyepo sasa mdarakani. Na hivyo ndivyo ilivyokuwa miaka yote., Mimi niliwahi kuhudhuria kampenzi za Mrema miaka fulani ya uchaguzi hapo nyuma wakati wa JK alikuwa akisema waziwazi kura za rais zipigwe upande wa CCM.

Sasa na hii NCCR mageuzi nacho kitakuwa chama cha upinzani bandia kama ambavyo kitakavyokuwa chama cha Bwana yule ambavyo vimepewa meno na nguvu ni upande ule.

Sasa suala la kufanikiwa na kutofanikiwa hapa ni kitendawili, Hatujuwi ni nguvu gani itatumika uchaguzi ukija lakini kuna hofu kubwa ni vigumu kwa mbunge aliye bungeni kuacha ubunge kwa chama Makini kama Chadema ambacho kishakuwa na muelekeo angalau kuchukua madaraka siku 1 na kuamua kwenda NCCR lazima kuna jambo zito nyuma ya pazia.

Chamsingi Chadema walione hili muda bado upo na waje na njia mbadala naamini wanachama wao wapo hai hawajafa na wanayaona haya yote, wabunge siju madiwani na viongozi waliotoka ni wachumia tumbo tu, Wanachama wakukipigia kura chama ndio raslimi ya kuiheshimu siku zote katika chama cha siasa.

Hili jambo halitaki tochi, Kule Zanzibar wako Imara sana na siasa za Zanzibar ni rahisi sana watu siku zote hutaka kujua Maalim Seif yuko upande gani basi wao woooote haihitaji hata dakika 1 humfuata wote kwa wakati mmoja, zile herufu 3 za neno CUF zilizokufa hazina maana yeyote wala athari yeyote, saiv kila mtu ni ACT na utashangaa watu haikuchukua ata wiki 1 kila mtu ana sare za ACT watu waliochukua fomu kugombea uongozi ndani ya ACT kwa kule zanzibar ni utitiri mkubwa wengine mpaka kukosa nafasi ni kama vile ilivyokuw CUF ya awali.

Chadema wakae walione hili na waje na njia mbadala zaidi, kiukweli kunahitaji mbinu yakinifu na mipango kabambe ili hili lengo lao lisifanikiwe. Wakibweteka na kulichukua as usually aisee ni anguko kubwa kwa Chadema lakini kwa siasa zenye upinzani kule Bara zitakuwa ndio mwisho wake.
 
Ukiangalia mwenendo wa viongozi wa Chadema hivi sasa wanaohama chama hicho kuhamia NCCR Mageuzi utagundua wazi kuwa chama tawala kina mkakati wa wazi wa kukifanya chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020

Tamko la kiongozi wa NCCR Mageuzi, James Mbatia la hivi karibuni linalithibitisha hili, pale alipotamka kuwa chama chake cha NCCR Mageuzi ndicho kinachotegemewa kuwa chama kikuu cha upinzani nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020

Huo ndiyo mkakati wao watawala wetu wa CCM wa "kukiwezesha" chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020

Hata ukiangalia viongozi wanaohama Chadema hivi sasa, wengi wao wanahamia chama cha NCCR Mageuzi, ikionekana wazi, hayo ni "maelekezo maalum" kutoka kwa chama tawala

Kulithibitisha hilo tumejionea namna wabunge wawili wa kuchaguliwa, akina Antony Komu na mwenzie Selasini, wakisema wazi kuwa wanahamia chama cha NCCR Mageuzi.

Si hao tu, hivi majuzi tumeshuhudia pia wabunge wengine wawili wa viti maalum wa Chadema, Suzane Masele na mwenzie Joyce Sokombi, nao wakifuata nyayo hizo hizo za kuhamia chama cha NCCR Mageuzi

Swali langu ni je watawala hawa wa CCM wataweza kuufanikisha mkakati wao huo?

Nauliza swali hili, kwa kuwa najua kuwa mioyoni mwa watanzania mamilioni tegemeo lao kubwa lipo kwa chama cha Chadema, kuwa ndiyo chama pekee cha upinzani nchini, cha kuwakomboa kutoka kwenye mikono ya chama tawala.

Je watawala wetu wataweza kugeuza mapenzi ya mamilioni hao wa kitanzania kwa chama chao cha Chadema na waweze kukipenda chama cha NCCR Mageuzi kwa matakwa ya watawala hao?
Mbona ni rahisi sana kukifanya chm cha nccr kuwa chama kikuu bila hata kubadilisha mioyo ya watu? Subiri utaona kazi ya tume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni ishara tosha kwamba CDM ndo chama bora cha upinzani maana wameshindwa kukinunua,hata mbinu chafu hazizai matunda tarajiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila uchaguzi mkuu unapokaribia...

Tunaona ufadhili wa ajabu ajabu... wa kufuja na kuteketeza pesa bila sababu za msingi...



Cc: mahondaw
 
N
Reference yetu iwe Local Gv election. Uhuni wa wazi ulipfanyika.

Kwa mantiki hiyo wamejiandaa kwa uhuni mwingne wa mchana kweupe.

Watakachofanya ni sawa na LGE, watawakata majina, watakao baki watapigwa rafu kwenye kampeni, watakao himili watapigwa rafu kwenye uchaguzi, watakaohimili hawatotangazwa, maeneo ambayo wananchi watapinga...watapigwa na wengne kupotea.

Watawatangaza wabunge wasiozid wawili au hata sifuri kabisa. Hawanaga aibu wale.

Uchaguzi huu 2020 wananchi wasipokataa uhuni wa CCM, hakuna mbunge wa CDM atarudi bungeni.

Ni dhahiri sasa ACT wameungana na CCM ndo maana uumeona Ado Shaibu alichoandika leo.
Nimeona Ado Shaibu alichokiandika......

Eti Magu ameahidi kuwa atakayeshinda uchaguzi Zanzibar atatangazwa...........

Hivi kweli huyo Ado Shaibu anamuamini Magu kuwa alichoongea, ndicho atakachokitekeleza?
 
Kwamba hayajawahi kuwa mabaya japo yanatofautiana?
Ni kweli ukifanya comparison ni kuwa angalau wakati huo matokeo angalau hata kama atashinda mpinzani na ikatokea mpinzani huyo "akakomaa" alikuwa akitangazwa mshindi..................

Jambo ambalo limekuwa tofauti sana katika utawala huu was awamu ya tano, ambapo mtendaji wa serikali kumtangaza mpinzani kuwa ameshinda uchaguzi, ni sawasawa na kujifukuzisha kazi!
 
Kuna mifano?
Wewe umesahau kauli ya Jiwe alipokuwa akiwahutubia wakurugenzi na kuwaambia kuwa........

Ninakupa gari ya fahari ya kutembelea, nyumba nzuri ya kuishi na msahahara mnono, halafu nisikie umemtangaza mpinzani kuwa ameshinda kwenye eneo lako........

Sasa Mkuu wa nchi anatamka maneno ya aina hiyo, bado unategemea kuwepo uchaguzi ulio huru na haki kweli??
 
Wewe umesahau kauli ya Jiwe alipokuwa akiwahutubia wakurugenzi na kuwaambia kuwa........

Ninakupa gari ya fahari ya kutembelea, nyumba nzuri ya kuishi na msahahara mnono, halafu nisikie umemtangaza mpinzani kuwa ameshinda kwenye eneo lako........

Sasa Mkuu wa nchi anatamka maneno ya aina hiyo, bado unategemea kuwepo uchaguzi ulio huru na haki kweli??
Aliwahi kusema pia 2020 kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki! Kama suala ni kusema...
 
Ukiangalia mwenendo wa viongozi wa Chadema hivi sasa wanaohama chama hicho kuhamia NCCR Mageuzi utagundua wazi kuwa chama tawala kina mkakati wa wazi wa kukifanya chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020

Tamko la kiongozi wa NCCR Mageuzi, James Mbatia la hivi karibuni linalithibitisha hili, pale alipotamka kuwa chama chake cha NCCR Mageuzi ndicho kinachotegemewa kuwa chama kikuu cha upinzani nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020

Huo ndiyo mkakati wao watawala wetu wa CCM wa "kukiwezesha" chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020

Hata ukiangalia viongozi wanaohama Chadema hivi sasa, wengi wao wanahamia chama cha NCCR Mageuzi, ikionekana wazi, hayo ni "maelekezo maalum" kutoka kwa chama tawala

Kulithibitisha hilo tumejionea namna wabunge wawili wa kuchaguliwa, akina Antony Komu na mwenzie Selasini, wakisema wazi kuwa wanahamia chama cha NCCR Mageuzi.

Si hao tu, hivi majuzi tumeshuhudia pia wabunge wengine wawili wa viti maalum wa Chadema, Suzane Masele na mwenzie Joyce Sokombi, nao wakifuata nyayo hizo hizo za kuhamia chama cha NCCR Mageuzi

Swali langu ni je watawala hawa wa CCM wataweza kuufanikisha mkakati wao huo?

Nauliza swali hili, kwa kuwa najua kuwa mioyoni mwa watanzania mamilioni tegemeo lao kubwa lipo kwa chama cha Chadema, kuwa ndiyo chama pekee cha upinzani nchini, cha kuwakomboa kutoka kwenye mikono ya chama tawala.

Je watawala wetu wataweza kugeuza mapenzi ya mamilioni hao wa kitanzania kwa chama chao cha Chadema na wawalizimishe kukipenda chama cha NCCR Mageuzi kwa matakwa ya watawala hao?
Hayo maswali majibu anayo mwenye SACCOSS,kuisema CCM ni kuionea,CCM haikati mishahara ya wabunge wa Chadema ili iende kwa mwenye SACCOSS ,CCM haikukaa kwenye kikao hewa cha kuwafukuza uanachama wabunge waliogoma kwenda lockdown jijini Dar Es Salaam,tatizo badala ya kuangalia vibanzi vyenu kwenye macho yenu mnaangalia upande wapili,pale unapotegemea washauri wakuu wa SACCOSS ni akina Halima na shoga wake Bulaya,Lema, Mchungaji(?) Msigwa matokeoyake ndio hayo,jiulize akina Baregu na Safari wako wapi.
 
Bahati mbaya watanzania wengi ni mambumbu. Wanapelekeshwa kama mang'ombe.

Sent using Fly in any Weather.

wewe ni mtanzania au?unapata wapi ujasiri wa kuwaita ndugu zako mlionyonya titi moja la mama yenu ambaye ni tanzania kuwa ni wapumbavu?
 
Na Chadema wanaichukia CCM kwa kuwa ni chama imara na kina madhara kwa malengo yao!
CHADEMA wanaichukia CCM kwa kuwa ina madhara kwa wananchi na malengo ya watanzania,na ni chama imara kwa ufisadi na kwa kuwabeba mafisadi.
 
Back
Top Bottom