Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

Heshima yako mkuu
 
Hayo mambo ni kawaida, mimi naamini Nyerere alikufa kabla haijatangazwa, siku tunayofanya kumbukumbu ni siku iliyoamuliwa tu.

Same thing kwa Christmas, 25 December sio siku aliyozaliwa Yesu lakini watu wameamua iwe ni hivyo ndiyo wanaisherehekea.

Na Magufuli haijalishi kafa lini na katangazwa lini, iwe siku hiyo au nyingine.

Walioamua wamefanya uamuzi kutokana na sababu wanazozijuwa wao, zitakuwa ni nzuri tu kwa wakati huo.
 
Siamini kama Mzee wako alipofariki ndani ya dakika moja mliishatangaza msiba. Naamini kuna muda mlikaa "mka regroup". Vije itokee kwa kifo cha Rais?
 
Ukiwauliza waganda watakwambia Idd Amin alikuwa na mapungufu lakini chini yake Uganda ilimuwa vizuri sana kiuchumi na kihuduma za jamii kuliko chini ya kiongozi wa Uganda yeyote kabla na baada.

Ni vile tu kwamba hakuweza kuishi vizuri na Nyerere.
Si ndio maana nakuambia hata Magufuli atakumbukwa sana tu, ni kama Idd Amin
 
Si ndio maana nakuambia hata Magufuli atakumbukwa sana tu, ni kama Idd Amin
Upo sahihi. Cha muhimu ni kukumbukwa, wapo watakaomkumbuka kwa kuwatumbua na wapo tutakaomkumbuka kama kiongozi aliyeonyesha kwamba kumbe dhamira ya maendeleo ikiwepo hakuna kinachoshindikana nchi kupiga hatua za maendeleo -- haraka sana.
 
You are right DIKTETA alitema nondo tarehe 12/ 03/21. Hizo siku 5 ni akina Bashiru, Diwani, Ndugai walikuwa wanataka KUMCHAKACHUA Mama asirithi kiti cha u Rais.

Ila akatokea MAN OF THE MOMENT, General Silverster Mabeyo akamuambia Maza Katiba inakutambua wewe, tangaza kuwa wewe ndiyo Rais. Basi yakaendelea yaliyoendelea
 
Ilikuwa ngumu kutoa taarifa moja kwa moja kutokana na usiri ndani ya jamuhuri na usiri wa wale wangemrithi. Kiufupi hakujapoa yapo mengi mazito a heads of nation. Hence watu tujiandae Kisaikolojia
"Kiufupi hakujapoa yapo mengi mazito ya head of nation"

Mkuu, lugha ngumu sana hii kuweza kueleweka [emoji3516]
 
Hekima ndio upekee wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…