Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

Kwa iyo ni leo ndo siku ya maadhimisho sio tareh 17 tena.
Elewa mada. Tarehe 12 tukio lilitokea lakini kukawa na ukimya Fulani kama vile subirinshetani capitalize ila kule ngambo ya maji wao walishasitusha mipango mingine ya kiserikali!
Wakisubiria tamko Rasmi la Nini kitafanyika katika muktadha wake na wapenzi wa Timu zote husika.
 
Everything cant go mpendavyo jmn
Naamini ilikua kwa manufaa ya usalama wa Taifa
Kama kweli kulikuweko na Usalama wa Taifa hili pendwa ilibidi Hawa Usalama wangeweza vidhibiti mwendo kule kwenye Amana kuu pia. Kwa maana Baada ya kukamilika Kwa huduma zote muhimu kulitokezea tume yabuchunguzi Kuke kwenye Amana ya pesa za waTanzania kuwa kulikuwa na utata Fulani wa sintofahamu Kuna walioiga saini na kukwapua mlungula wakidai ni za kutoa huduma Kwa mgonjwa na yaliyomkuta Katibu wa kitengo hadi muda hii wanajijua. Ila ripotinhiyo haijatolewa hadharani hadi hii madan inakuja hapa JF.
Duuh! Shehe kauza msikiti!!
 
Inawezekana,mara nyingi hawa public figures wakikata moto huwa kuna protokali za kufuata..sasa kama mazingira hayakua rafiki ni lazima waandae kwanza mazingira ndio watangazie raia! Hizi terehe ni namba tu kwa ajili ya kumbukumbu kama taifa(ushahidi tu) lakini wahusika ndio wanajua tarehe halisi ya tukio.
 
Naam umenipa dot muhimu sana.

Nimeelewa mwalimu
 
Ilikuwa ngumu kutoa taarifa moja kwa moja kutokana na usiri ndani ya jamuhuri na usiri wa wale wangemrithi. Kiufupi hakujapoa yapo mengi mazito a heads of nation. Hence watu tujiandae Kisaikolojia
Kuna mhuni mmoja anakataa wahuni wenzake huko.
Huu uhuni uliojiri anaweza kutema bungo akipewa asali.

Muda ni rafiki na adui pia
 
Unahisi kule waliambiwa kutokana na ukarabu wa Hussein na John au kwakuwa yule ni head of state au kwakuwa ametumikia idara ya Ulinzi kwa mda mrefu hivo trust ilikuwa kubwa kwake?
 
Tena ktk nyumba ya ibada!!!!!!hakika katelefone almetukosea sana
 
Wahusika hawawezi kukujibu hili...
 
Mnamuonea bure tu huyo jamaa, toka Uhuru mmekuwa mkijazwa uongo na hamjawahi kuombwa radhi na yeyote ila kwa kuwa yeye hatokani na mirengo yenu mmeamua kumgeuza gunia la lawama.........acheni double standards.....acheni unafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…