Je leo Mamlaka zitaonyesha ukomavu wa Kifikira na kisiasa kama Jeshi la Ruto? Huu ni Mtihani Mwingine kwa Tanzania

Je leo Mamlaka zitaonyesha ukomavu wa Kifikira na kisiasa kama Jeshi la Ruto? Huu ni Mtihani Mwingine kwa Tanzania

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Nchi ikifika level kama ya kenya jinsi Jeshi la Nchi ikiwemo Polisi, usalama na Jeshi lao la ulinzi lilionesha utimamu na ustahamilivu wa hali ya juu sana.

Yaani Majeshi yote ya Kenya yalionekana kuwa Imara na kwamba they are Unprovocable for Little things kama Maandamano. Na Jeshi lilishinda baada ya kuhakikisha hakuna madhara yanayotokea kwa jamii, mali na usalama wa Taifa wa Nchi yao.

Ilifika mahali watu wengi watalaam wa siasa walidhani sasa Mh Rais Ruto anaweza kushindwa na Vugu vugu lile akaachia ngazi.

That Man is very Brave and inteligent. He handle very well that Crisis.

Na kwa hakika Ruto ni Rais Bora kabisa sio tu kwa Ukanda wa Afrika mashariki bali pia kwa Afrika bara zima baada ya South Afrika na Egypt.

Sasa tuje kwetu hapa nyumbani.

Je maandamano tu ya amani ndio yanafanya Organization na Instrumentation ya namna hii?

Tanzania ni Nchi ya amani. Vyombo vyote viungano kuhakikisha usalama wakati wa Maandamano ya Raia.

Huu ni Mtihani kwenu Mamalaka. Tusishindwe na Wakenya n
Jirani zetu.
 
If we must die, let it not be like hogs
Hunted and penned in an inglorious spot,
While round us bark the mad and hungry dogs,
Making their mock at our accursèd lot.
If we must die, O let us nobly die,
So that our precious blood may not be shed
In vain; then even the monsters we defy
Shall be constrained to honor us though dead!
O kinsmen! we must meet the common foe!
Though far outnumbered let us show us brave,
And for their thousand blows deal one death-blow!
What though before us lies the open grave?
Like men we’ll face the murderous, cowardly pack,
Pressed to the wall, dying, but fighting back!
 
If we must die, let it not be like hogs
Hunted and penned in an inglorious spot,
While round us bark the mad and hungry dogs,
Making their mock at our accursèd lot.
If we must die, O let us nobly die,
So that our precious blood may not be shed
In vain; then even the monsters we defy
Shall be constrained to honor us though dead!
O kinsmen! we must meet the common foe!
Though far outnumbered let us show us brave,
And for their thousand blows deal one death-blow!
What though before us lies the open grave?
Like men we’ll face the murderous, cowardly pack,
Pressed to the wall, dying, but fighting back!
Hii ngeli sasa mkuu kwa sisi wa shule za Kata tutatoboa hapa?
 
Your pain
Yet more my pain
Shall suffocate oppression
Your eyes
Yet more my eyes
Shall be speaking of revolt
Your scars
Yet more my scars
Will be remembering the whip
My hands
Yet more your hands
Will be lifted fully armed
My strength
Yet more your strength
Shall overcome imperialism
My blood
Yet more your blood
Shall irrigate our victory
 
Your pain
Yet more my pain
Shall suffocate oppression
Your eyes
Yet more my eyes
Shall be speaking of revolt
Your scars
Yet more my scars
Will be remembering the whip
My hands
Yet more your hands
Will be lifted fully armed
My strength
Yet more your strength
Shall overcome imperialism
My blood
Yet more your blood
Shall irrigate our victory
Very encouraging
 
Huku ni ngumu sana kwa kua mwenye nguvu, mamlaka na asie wajibika kwa lolote asiye wajibika kwa chochote asie wajibika kwa yeyote ni mmoja yetu, hakuna sauti ya bunge wala mahakama isipokuwa sauti ya rais.
Sasa rais ana washauri wengi, nani mshauri mwenye busara anae weza kumshauri rais busara?
 
Your pain
Yet more my pain
Shall suffocate oppression
Your eyes
Yet more my eyes
Shall be speaking of revolt
Your scars
Yet more my scars
Will be remembering the whip
My hands
Yet more your hands
Will be lifted fully armed
My strength
Yet more your strength
Shall overcome imperialism
My blood
Yet more your blood
Shall irrigate our victory
Malizia na building the national
 
Inasikitisha sana
Huku ni ngumu sana kwa kua mwenye nguvu, mamlaka na asie wajibika kwa lolote asiye wajibika kwa chochote asie wajibika kwa yeyote ni mmoja yetu, hakuna sauti ya bunge wala mahakama isipokuwa sauti ya rais.
Sasa rais ana washauri wengi, nani mshauri mwenye busara anae weza kumshauri rais busara?
 
Nchi ikifika level kama ya kenya jinsi Jeshi la Nchi ikiwemo Polisi, usalama na Jeshi lao la ulinzi lilionesha utimamu na ustahamilivu wa hali ya juu sana.

Yaani Majeshi yote ya Kenya yalionekana kuwa Imara na kwamba they are Unprovocable for Little things kama Maandamano. Na Jeshi lilishinda baada ya kuhakikiaha hakuna madhaea yanayotokea kwa jamii, mali na usalama wa Taifa wa Nchi yao.

Ilifika mahali watu wengi watalaam wa siasa walidhani saaa Mh Ruto anaweza kushindwa na Vugu vugu lile akaachia ngaji.

That Man He is very Brave and inteligent. He handle very well that Crisis.

Na kwa hakika Ruto ni Rais Bora kabisa sio tu kwa Ukanda wa Afrika mashariki bali pia kwa Afrika bara zima baada ya South Afrika na Egypt.

Sasa tuje kwetu hapa nyumbani.

Je maandamano tu ya amani ndio yanafanya Organization na Instrumentation ya namna hii?

Tanzania ni Nchi ya amani. Vyombo vyote viungano kuhakikisha usalama wakati wa Maandamano ya Raia.

Huu ni Mtihani kwenu Mamalaka. Tusishindwe na Wakenya n
Jirani zetu.

Tumekuwa nchi ya machawa na kupongeza kila kitu kama misukule
 
Your pain
Yet more my pain
Shall suffocate oppression
Your eyes
Yet more my eyes
Shall be speaking of revolt
Your scars
Yet more my scars
Will be remembering the whip
My hands
Yet more your hands
Will be lifted fully armed
My strength
Yet more your strength
Shall overcome imperialism
My blood
Yet more your blood
Shall irrigate our victory
Yes yes yes 😂😂
 
Kw
Nchi ikifika level kama ya kenya jinsi Jeshi la Nchi ikiwemo Polisi, usalama na Jeshi lao la ulinzi lilionesha utimamu na ustahamilivu wa hali ya juu sana.

Yaani Majeshi yote ya Kenya yalionekana kuwa Imara na kwamba they are Unprovocable for Little things kama Maandamano. Na Jeshi lilishinda baada ya kuhakikiaha hakuna madhaea yanayotokea kwa jamii, mali na usalama wa Taifa wa Nchi yao.

Ilifika mahali watu wengi watalaam wa siasa walidhani saaa Mh Ruto anaweza kushindwa na Vugu vugu lile akaachia ngaji.

That Man He is very Brave and inteligent. He handle very well that Crisis.

Na kwa hakika Ruto ni Rais Bora kabisa sio tu kwa Ukanda wa Afrika mashariki bali pia kwa Afrika bara zima baada ya South Afrika na Egypt.

Sasa tuje kwetu hapa nyumbani.

Je maandamano tu ya amani ndio yanafanya Organization na Instrumentation ya namna hii?

Tanzania ni Nchi ya amani. Vyombo vyote viungano kuhakikisha usalama wakati wa Maandamano ya Raia.

Huu ni Mtihani kwenu Mamalaka. Tusishindwe na Wakenya n
Jirani zetu.
Kwanza maandamano ya Tanzania hayafanani kwa vyovyote vile na yale ya Kenya, ila tu woga wa watawala wetu na polisi ndiyo vinavyoleta taharuki kubwa.

Maandamano ya Kenya yalikuwa hayana uongozi wakati ya Tanzania yameitoshwa na taasisi inayofahamika. Hivyo kukiwa na tatizo lolote maana yake una watu ambao unaweza kuwaita na kujadiliana nao.
 
Kw

Kwanza maandamano ya Tanzania hayafanani kwa vyovyote vile na yale ya Kenya, ila tu woga wa watawala wetu na polisi ndiyo vinavyoleta taharuki kubwa.

Maandamano ya Kenya yalikuwa hayana uongozi wakati ya Tanzania yameitoshwa na taasisi inayofahamika. Hivyo kukiwa na tatizo lolote maana yake una watu ambao unaweza kuwaita na kujadiliana nao.
Hapo sasa
 
Back
Top Bottom