Je leo Mamlaka zitaonyesha ukomavu wa Kifikira na kisiasa kama Jeshi la Ruto? Huu ni Mtihani Mwingine kwa Tanzania

Je leo Mamlaka zitaonyesha ukomavu wa Kifikira na kisiasa kama Jeshi la Ruto? Huu ni Mtihani Mwingine kwa Tanzania

Nchi ikifika level kama ya kenya jinsi Jeshi la Nchi ikiwemo Polisi, usalama na Jeshi lao la ulinzi lilionesha utimamu na ustahamilivu wa hali ya juu sana.

Yaani Majeshi yote ya Kenya yalionekana kuwa Imara na kwamba they are Unprovocable for Little things kama Maandamano. Na Jeshi lilishinda baada ya kuhakikiaha hakuna madhaea yanayotokea kwa jamii, mali na usalama wa Taifa wa Nchi yao.

Ilifika mahali watu wengi watalaam wa siasa walidhani saaa Mh Ruto anaweza kushindwa na Vugu vugu lile akaachia ngaji.

That Man He is very Brave and inteligent. He handle very well that Crisis.

Na kwa hakika Ruto ni Rais Bora kabisa sio tu kwa Ukanda wa Afrika mashariki bali pia kwa Afrika bara zima baada ya South Afrika na Egypt.

Sasa tuje kwetu hapa nyumbani.

Je maandamano tu ya amani ndio yanafanya Organization na Instrumentation ya namna hii?

Tanzania ni Nchi ya amani. Vyombo vyote viungano kuhakikisha usalama wakati wa Maandamano ya Raia.

Huu ni Mtihani kwenu Mamalaka. Tusishindwe na Wakenya n
Jirani zetu.
Muda huu ulitakiwa uwe uwanjani bado umekumbatia keyboard unapapasa kuandika visivyo eleweka!
 
CV ya IGP wa Kenya hii,

Gilbert Masengeli is a seasoned career police officer with over 35 years of experience in the service. Prior to his appointment, Masengeli was the Commandant at the National Police College, Embakasi ‘A’ Campus.

Gilbert Masengeli, is a certified Fraud Examiner (CFE) with experience in the following areas; Special Operations Group of the Border Police Unit where he was responsible for coordinating multi-agency special security operations and Assistant Inspector General of Police where he developed strategies for threat mitigation and advised on security deployments along border points. Masengeli has risen through the ranks from Senior Superintendent of Police to Commissioner of Police.

He holds Master of Science in Security and Forensics management and a Bachelor of Science in Criminology in Security Management (Cyber-Crime) and Digital Forensic Technology option from Dedan Kimathi University, a Diploma in Criminology from Kenya Institute of Studies in Criminology Justice and is currently pursuing a Doctor of Philosophy (PhD) in International Relations at the United States International University (USIU).

Throughout his career, he has received several prestigious awards, including the Moran of the Order of the Burning Spear (MBS), the Order of the Grand Warrior (OGW) of Kenya, and the Silver Star (SS) of Kenya.

Masengeli is currently the Acting Inspector General of Police, National Police Service.


Weka wa kwetu ndio utajua maamuzi yatakuwaje!
 
If we must die, let it not be like hogs
Hunted and penned in an inglorious spot,
While round us bark the mad and hungry dogs,
Making their mock at our accursèd lot.
If we must die, O let us nobly die,
So that our precious blood may not be shed
In vain; then even the monsters we defy
Shall be constrained to honor us though dead!
O kinsmen! we must meet the common foe!
Though far outnumbered let us show us brave,
And for their thousand blows deal one death-blow!
What though before us lies the open grave?
Like men we’ll face the murderous, cowardly pack,
Pressed to the wall, dying, but fighting back!
Mkuu kwema apo U.S 🙌
 
CV ya IGP wa Kenya hii,

Gilbert Masengeli is a seasoned career police officer with over 35 years of experience in the service. Prior to his appointment, Masengeli was the Commandant at the National Police College, Embakasi ‘A’ Campus.

Gilbert Masengeli, is a certified Fraud Examiner (CFE) with experience in the following areas; Special Operations Group of the Border Police Unit where he was responsible for coordinating multi-agency special security operations and Assistant Inspector General of Police where he developed strategies for threat mitigation and advised on security deployments along border points. Masengeli has risen through the ranks from Senior Superintendent of Police to Commissioner of Police.

He holds Master of Science in Security and Forensics management and a Bachelor of Science in Criminology in Security Management (Cyber-Crime) and Digital Forensic Technology option from Dedan Kimathi University, a Diploma in Criminology from Kenya Institute of Studies in Criminology Justice and is currently pursuing a Doctor of Philosophy (PhD) in International Relations at the United States International University (USIU).

Throughout his career, he has received several prestigious awards, including the Moran of the Order of the Burning Spear (MBS), the Order of the Grand Warrior (OGW) of Kenya, and the Silver Star (SS) of Kenya.

Masengeli is currently the Acting Inspector General of Police, National Police Service.


Weka wa kwetu ndio utajua maamuzi yatakuwaje!
Safi sana Moran of the Burning Spear
 
Duh,
Mbona machawa wa mama mnapenda kuleta propaganda na uongo kwenye kila jambo?!!!

Nani kakudanganya kuwa jeshi la Kenya ni dhaifu? Tewekee hapa reference ya kuthibitisha kauli yako.

Kwa mujibu wa taarifa ya "Military Africa" ya 2023 kuhusu nguvu ya majeshi ya Afrika, Kenya ni namba 8 na Tanzania namba 9.

Na kwa mwaka huu 2024, kwenye ranking ya "Global Fire Power", jeshi la Kenya limeshika namba 12, la Tanzania namba 18.
Namba hazidanganyi
 
If we must die, let it not be like hogs
Hunted and penned in an inglorious spot,
While round us bark the mad and hungry dogs,
Making their mock at our accursèd lot.
If we must die, O let us nobly die,
So that our precious blood may not be shed
In vain; then even the monsters we defy
Shall be constrained to honor us though dead!
O kinsmen! we must meet the common foe!
Though far outnumbered let us show us brave,
And for their thousand blows deal one death-blow!
What though before us lies the open grave?
Like men we’ll face the murderous, cowardly pack,
Pressed to the wall, dying, but fighting back!
When you are dead,you do not know you are dead-the pain is only felt by others.The same is true for being stupid.
 
Back
Top Bottom