Uchaguzi 2020 Je, Lissu atakuwa na jipya katika hotuba yake kesho?

Uchaguzi 2020 Je, Lissu atakuwa na jipya katika hotuba yake kesho?

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Jibu NI hakuna Jipya lolote kesho.

Iwapo ataongea atazungumzia democrasia, Kisha kupigwa risasi, Uhuru na kujieleza na maswala ya kisheria ambayo hayana msaada wowote kwa mkulima wa pamba aliyekopwa pamba hajalipwa uko mwafuguji, Au mkulima wa mahindi aliyekosa soko zuri la mazao yake uko tandaimba, Au mkulima wa karafuu anayelia na soko bovu la karafuu na Bei du wakati watu wa magendo wanaweza kununua kwa Bei nzuri.

Yeye atakuja na mawazo kuwa watu hao wamezoea shida zao na kuona kawaida na kundelea kuwasimulia habari za kamera kuondolewa kwenye makazi yake na kufukuzwa ubunge.

Kitu wanachotakiwa kujua wanasiasa wetu NI kuwa wajue watu wanataka Nini. Siasa za kujiangalia NI za kipuuzi.

Jifunzeni kwa Martine Luther kingi aliyepitia kwenye wimbi la ubaguzi, kesi na misukosuka au Mandela lkn always wakipewa chance hasimulii habari za jela kuzungumza huanza kuwasemea watu sio yeye.
Tundu zijue changamoto fanya utafiti wa makwazo na namna nzuri ya kuyatatua na kujenga hoja za kuvutia.

Natamani tupate jemsi mapalala na cuf ya 92-94. Alisimama kuzungumza juu ya pamba na uonevu wa ushirika shireku. Alipinga Kodi za kichwa, baiskeli, makanyagio kwa dhati. Alifananisha jembe na nyundo za CCM Kama silaha dhidi za mnyonge na sio alama za mkulima na mfanyakazi. Alifanikiwa kushinikiza soko huria la pamba na ndie aliyeacha element za upinzani Kanda ya ziwa. Alianzisha chama Cha wananchi CW. Nasikitika baada ya CCM kufanikiwa kumuondoa kwenye siasa na kumtoa Uongozi wa Cuf hakuna chama Cha siasa ambacho kimejikita kabisa kuwa sauti ya watu. Wote hupigania Mambo yao binafsi. Hutumia umma kujinufaisha na sio wao kujinufaisha umma.

Watanzania NI waelewa Sana. Kuna watu wapo wanaosimama kwa niaba ya watu na wengine walikuwepo lkn chama Cha siasa ambacho NI sauti ya watu hakipo.
-alikuwepo zitto Yule aliyedili na karamagi. Ila sio huyu wa Sasa asiyejua ata kero na njia za kumkomboa mkulima wa alizeti au daktari ambae hajapanda daraja miaka 7.
- alikuwepo wangwe aliyeubana mgodi kulipa Karo zote za wanafunzi Sekondari tarime.
-Yupo bulaya na Mnyika waliozungumza juu ya kikokotoo Cha wastafu bila kumungunya.

Ila vyama vya siasa Kama vyama vinakosa ajenda vipi kwenye taifa linaloendelea na changamoto zipo mpaka viendelee kuwatumia wahuni kupiga majungu yasiyo na msaada kwa masikini Kama kigogo au kimambi!?
 
Mnawashwa sana! Lissu anatumia muda wake, resources zake, akili zake, kinachowawasha ni kitu gani? Kwanini mnahangaika na mtu ambaye "hana jipya"??
 
Jibu NI hakuna Jipya lolote kesho.

Iwapo ataongea atazungumzia democrasia, Kisha kupigwa risasi, Uhuru na kujieleza na maswala ya kisheria ambayo hayana msaada wowote kwa mkulima wa pamba aliyekopwa pamba hajalipwa uko mwafuguji, Au mkulima wa mahindi aliyekosa soko zuri la mazao yake uko tandaimba, Au mkulima wa karafuu anayelia na soko bovu la karafuu na Bei du wakati watu wa magendo wanaweza kununua kwa Bei nzuri.

Yeye atakuja na mawazo kuwa watu hao wamezoea shida zao na kuona kawaida na kundelea kuwasimulia habari za kamera kuondolewa kwenye makazi yake na kufukuzwa ubunge.

Kitu wanachotakiwa kujua wanasiasa wetu NI kuwa wajue watu wanataka Nini. Siasa za kujiangalia NI za kipuuzi.

Jifunzeni kwa Martine Luther kingi aliyepitia kwenye wimbi la ubaguzi, kesi na misukosuka au Mandela lkn always wakipewa chance hasimulii habari za jela kuzungumza huanza kuwasemea watu sio yeye.
Tundu zijue changamoto fanya utafiti wa makwazo na namna nzuri ya kuyatatua na kujenga hoja za kuvutia.

Natamani tupate jemsi mapalala na cuf ya 92-94
Kwa nini unateseka kabla ya muda. Tulia. Dawa iwaingie
 
Jibu NI hakuna Jipya lolote kesho.

Iwapo ataongea atazungumzia democrasia, Kisha kupigwa risasi, Uhuru na kujieleza na maswala ya kisheria ambayo hayana msaada wowote kwa mkulima wa pamba aliyekopwa pamba hajalipwa uko mwafuguji, Au mkulima wa mahindi aliyekosa soko zuri la mazao yake uko tandaimba, Au mkulima wa karafuu anayelia na soko bovu la karafuu na Bei du wakati watu wa magendo wanaweza kununua kwa Bei nzuri.

Yeye atakuja na mawazo kuwa watu hao wamezoea shida zao na kuona kawaida na kundelea kuwasimulia habari za kamera kuondolewa kwenye makazi yake na kufukuzwa ubunge.

Kitu wanachotakiwa kujua wanasiasa wetu NI kuwa wajue watu wanataka Nini. Siasa za kujiangalia NI za kipuuzi.

Jifunzeni kwa Martine Luther kingi aliyepitia kwenye wimbi la ubaguzi, kesi na misukosuka au Mandela lkn always wakipewa chance hasimulii habari za jela kuzungumza huanza kuwasemea watu sio yeye.
Tundu zijue changamoto fanya utafiti wa makwazo na namna nzuri ya kuyatatua na kujenga hoja za kuvutia.

Natamani tupate jemsi mapalala na cuf ya 92-94

Ukipata nafasi utupe maoni yako kuhusu hawa wazalendo wanaotaka kinga ili wasishitskiwe, huku wakihubiri kuwa wanatetea wanyonge. Unapata picha gani mtu anayehubiri kupendwa kisha anajiwekea kinga ya kutoshtakiwa?
 
Mnawashwa sana! Lissu anatumia muda wake, resources zake, akili zake, kinachowawasha ni kitu gani? Kwanini mnahangaika na mtu ambaye "hana jipya"??

Pesa ya kampeni.mummemuandalia?
Au ndo anataka kutuambia kuwa keshapewa na wakwale wa huko?
 
Huyu mwenyewe akiongea jambo jipya labda ataje matiti tofauti na halo utasikia bombardier fly over SGR utadhani vinajengwa kwa mshahara wake.
Jibu NI hakuna Jipya lolote kesho.

Iwapo ataongea atazungumzia democrasia, Kisha kupigwa risasi, Uhuru na kujieleza na maswala ya kisheria ambayo hayana msaada wowote kwa mkulima wa pamba aliyekopwa pamba hajalipwa uko mwafuguji, Au mkulima wa mahindi aliyekosa soko zuri la mazao yake uko tandaimba, Au mkulima wa karafuu anayelia na soko bovu la karafuu na Bei du wakati watu wa magendo wanaweza kununua kwa Bei nzuri.

Yeye atakuja na mawazo kuwa watu hao wamezoea shida zao na kuona kawaida na kundelea kuwasimulia habari za kamera kuondolewa kwenye makazi yake na kufukuzwa ubunge.

Kitu wanachotakiwa kujua wanasiasa wetu NI kuwa wajue watu wanataka Nini. Siasa za kujiangalia NI za kipuuzi.

Jifunzeni kwa Martine Luther kingi aliyepitia kwenye wimbi la ubaguzi, kesi na misukosuka au Mandela lkn always wakipewa chance hasimulii habari za jela kuzungumza huanza kuwasemea watu sio yeye.
Tundu zijue changamoto fanya utafiti wa makwazo na namna nzuri ya kuyatatua na kujenga hoja za kuvutia.

Natamani tupate jemsi mapalala na cuf ya 92-94
 
Ukipata nafasi utupe maoni yako kuhusu hawa wazalendo wanaotaka kinga ili wasishitskiwe, huku wakihubiri kuwa wanatetea wanyonge. Unapata picha gani mtu anayehubiri kupendwa kisha anajiwekea kinga ya kutoshtakiwa?
Sio kipaombele Cha taifa. Watu wanakero nyingi hakuna wa kuwasemea. Hakuna anayezijua, hakuna anayefanya utafiti. Wanasiasa mnawaza visasi, kuutoa CCM madarakani na tume huru ili muwe Viongozi.
Wafanyabiasha, wafanyakazi wanavitu vingi vya kusemewa Ila nyie mnajiwazia wenyewe upuuzi mtupu.
 
Jibu NI hakuna Jipya lolote kesho.

Iwapo ataongea atazungumzia democrasia, Kisha kupigwa risasi, Uhuru na kujieleza na maswala ya kisheria ambayo hayana msaada wowote kwa mkulima wa pamba aliyekopwa pamba hajalipwa uko mwafuguji, Au mkulima wa mahindi aliyekosa soko zuri la mazao yake uko tandaimba, Au mkulima wa karafuu anayelia na soko bovu la karafuu na Bei du wakati watu wa magendo wanaweza kununua kwa Bei nzuri.

Yeye atakuja na mawazo kuwa watu hao wamezoea shida zao na kuona kawaida na kundelea kuwasimulia habari za kamera kuondolewa kwenye makazi yake na kufukuzwa ubunge.

Kitu wanachotakiwa kujua wanasiasa wetu NI kuwa wajue watu wanataka Nini. Siasa za kujiangalia NI za kipuuzi.

Jifunzeni kwa Martine Luther kingi aliyepitia kwenye wimbi la ubaguzi, kesi na misukosuka au Mandela lkn always wakipewa chance hasimulii habari za jela kuzungumza huanza kuwasemea watu sio yeye.
Tundu zijue changamoto fanya utafiti wa makwazo na namna nzuri ya kuyatatua na kujenga hoja za kuvutia.

Natamani tupate jemsi mapalala na cuf ya 92-94
Wewe shemeji yake Dr. Mihogo tuliza kishundu hicho ngoja kesho umsikilize ndiyo useme
 
Tundu angetaka sifa, angeendelea kupambana na wazungu wanao tuibia hapo angekuwa maafuru, lakini kutaka kupambana na wazawa huku akijificha kwa wazungu, hapo atakwama,

Ni bora hata angeenda kujificha zimbabwe, angeonekana wa maana kidogo,
Tungesema anaheshimu uafrika wetu.
 
This is non of your business... Mboña mnawashwa sana?

Kama ni non my business kwa nini alitutangazia tumsikilize kesho, si angeongea chumbani kwake kisha arushe kwenye mtandao kisha awambie bavicha ndo wasikilize?
 
Toka nimsikilize kwenye Hardtalk alivyokuwa anaongea pumba kwa mabeberu nilianza kumpuuzia,ntaanza kumsikiliza akishapona na kurudi nyumbani.
 
Back
Top Bottom