Uchaguzi 2020 Je, Lissu atakuwa na jipya katika hotuba yake kesho?

Uchaguzi 2020 Je, Lissu atakuwa na jipya katika hotuba yake kesho?

Jibu NI hakuna Jipya lolote kesho.

Iwapo ataongea atazungumzia democrasia, Kisha kupigwa risasi, Uhuru na kujieleza na maswala ya kisheria ambayo hayana msaada wowote kwa mkulima wa pamba aliyekopwa pamba hajalipwa uko mwafuguji, Au mkulima wa mahindi aliyekosa soko zuri la mazao yake uko tandaimba, Au mkulima wa karafuu anayelia na soko bovu la karafuu na Bei du wakati watu wa magendo wanaweza kununua kwa Bei nzuri.

Yeye atakuja na mawazo kuwa watu hao wamezoea shida zao na kuona kawaida na kundelea kuwasimulia habari za kamera kuondolewa kwenye makazi yake na kufukuzwa ubunge.

Kitu wanachotakiwa kujua wanasiasa wetu NI kuwa wajue watu wanataka Nini. Siasa za kujiangalia NI za kipuuzi.

Jifunzeni kwa Martine Luther kingi aliyepitia kwenye wimbi la ubaguzi, kesi na misukosuka au Mandela lkn always wakipewa chance hasimulii habari za jela kuzungumza huanza kuwasemea watu sio yeye.
Tundu zijue changamoto fanya utafiti wa makwazo na namna nzuri ya kuyatatua na kujenga hoja za kuvutia.

Natamani tupate jemsi mapalala na cuf ya 92-94
Mashoga wenzake watafuatilia hotuba
 
Kama ni non my business kwa nini alitutangazia tumsikilize kesho, si angeongea chumbani kwake kisha arushe kwenye mtandao kisha awambie bavicha ndo wasikilize?
You don't deserve hata reply yangu.
 
Sio kipaombele Cha taifa. Watu wanakero nyingi hakuna wa kuwasemea. Hakuna anayezijua, hakuna anayefanya utafiti. Wanasiasa mnawaza visasi, kuutoa CCM madarakani na tume huru ili muwe Viongozi.
Wafanyabiasha, wafanyakazi wanavitu vingi vya kusemewa Ila nyie mnajiwazia wenyewe upuuzi mtupu.

Ni kweli kabisa, ccm si ndio wengi, wao wasemee hayo matatizo, acha wengine wasemee ulinzi wa katiba. Kwahiyo hiyo kinga ni ili kujilinda na visasi? Visasi vinatoka wapi wakati unatenda kwa mujibu wa sheria? Kwahiyo hapo anayejijali ni yupi, hiyo anayetaka kinga binafsi au nani? Kwanini huko bungeni wasijadili hayo matatizo ya watu, bali wanajidili kinga ya genge la watu?
 
Ni kweli kabisa, ccm si ndio wengi, wao wasemee hayo matatizo, acha wengine wasemee ulinzi wa katiba. Kwahiyo hiyo kinga ni ili kujilinda na visasi? Visasi vinatoka wapi wakati unatenda kwa mujibu wa sheria? Kwahiyo hapo anayejijali ni yupi, hiyo anayetaka kinga binafsi au nani? Kwanini huko bungeni wasijadili hayo matatizo ya watu, bali wanajidili kinga ya genge la watu?
Na Kama hiyo ndio Imani ya Viongozi wenu wa upinzani Basi hamna dira na hamjui mnakoelekea
 
Hata mungu aliwaondoa wale waliokuwa wanafanya kinyume hu sodoma, kwa hiyo kama alienda kinyume basi ndo hivyo.
Sipendi mijadala inayochochea chuki za kisiasa na kutuwekea uadui kwa misingi ya siasa. Nje ya vyama na Imani zetu sisi wote NI watanzania
 
*aache kashfa,ajenge hoja
*asimshambulie magu personal
*apitie safari ya Obama hadi rais
*asitaje kamwe kulipa kisasi
*atafute coalition ya vyama vya siasa hasa ACT na leftovers wote kutoka CCM mf. wa Membe na wengi wengineo

*awe mnyenyekevu na ayaelewe matatizo ya wananchi na utatuzi wake
*asipandikize wala kuendeleza chuki
*asiponde viongozi walioko madarakani au waliopita personal

*akiwa kwenye kampeni Magu aliahidi Milioni 50 kwa kila kijiji na Lowasa aliahidi mwenye nyumba 1 kumiliki nyumba3....yeye aahidi kutoa vyote ndani ya miezi 13
*aahidi kushughulikia kesi ya akina Rugemalira wa escrow mapema

*atamlinda mtangulizi wake na maofisa wote waliodhulumu taifa kwa namna yeyote
*akifanikiwa kuwa rais aahidi kuheshimu katiba

#namtakia kila la kheri japo sitarajiii kupiga kura
 
*aache kashfa,ajenge hoja
*asimshambulie magu personal
*apitie safari ya Obama hadi rais
*asitaje kamwe kulipa kisasi
*atafute coalition ya vyama vya siasa hasa ACT na leftovers wote kutoka CCM mf. wa Membe na wengi wengineo

*awe mnyenyekevu na ayaelewe matatizo ya wananchi na utatuzi wake
*asipandikize wala kuendeleza chuki
*asiponde viongozi walioko madarakani au waliopita personal

*akiwa kwenye kampeni Magu aliahidi Milioni 50 kwa kila kijiji na Lowasa aliahidi mwenye nyumba 1 kumiliki nyumba3....yeye aahidi kutoa vyote ndani ya miezi 13
*aahidi kushughulikia kesi ya akina Rugemalira wa escrow mapema

*atamlinda mtangulizi wake na maofisa wote waliodhulumu taifa kwa namna yeyote
*akifanikiwa kuwa rais aahidi kuheshimu katiba

#namtakia kila la kheri japo sitarajiii kupiga kura
Unamawazo makubwa na yakizalendo kwelikweli sema washabiki wa vyama vyaa siasa hawana hoja NI kuponda na kutambiana Kama vitoto tu
 
Ndugu Lissu , usisahau methali bora ya Kiswahili "Akufanyiaye ubaya, mlipe wema" barikiwa sana karibu Nyumbani.
 
Jibu NI hakuna Jipya lolote kesho.

Iwapo ataongea atazungumzia democrasia, Kisha kupigwa risasi, Uhuru na kujieleza na maswala ya kisheria ambayo hayana msaada wowote kwa mkulima wa pamba aliyekopwa pamba hajalipwa uko mwafuguji, Au mkulima wa mahindi aliyekosa soko zuri la mazao yake uko tandaimba, Au mkulima wa karafuu anayelia na soko bovu la karafuu na Bei du wakati watu wa magendo wanaweza kununua kwa Bei nzuri.

Yeye atakuja na mawazo kuwa watu hao wamezoea shida zao na kuona kawaida na kundelea kuwasimulia habari za kamera kuondolewa kwenye makazi yake na kufukuzwa ubunge.

Kitu wanachotakiwa kujua wanasiasa wetu NI kuwa wajue watu wanataka Nini. Siasa za kujiangalia NI za kipuuzi.

Jifunzeni kwa Martine Luther kingi aliyepitia kwenye wimbi la ubaguzi, kesi na misukosuka au Mandela lkn always wakipewa chance hasimulii habari za jela kuzungumza huanza kuwasemea watu sio yeye.
Tundu zijue changamoto fanya utafiti wa makwazo na namna nzuri ya kuyatatua na kujenga hoja za kuvutia.

Natamani tupate jemsi mapalala na cuf ya 92-94. Alisimama kuzungumza juu ya pamba na uonevu wa ushirika shireku. Alipinga Kodi za kichwa, baiskeli, makanyagio kwa dhati. Alifananisha jembe na nyundo za CCM Kama silaha dhidi za mnyonge na sio alama za mkulima na mfanyakazi. Alifanikiwa kushinikiza soko huria la pamba na ndie aliyeacha element za upinzani Kanda ya ziwa. Alianzisha chama Cha wananchi CW. Nasikitika baada ya CCM kufanikiwa kumuondoa kwenye siasa na kumtoa Uongozi wa Cuf hakuna chama Cha siasa ambacho kimejikita kabisa kuwa sauti ya watu. Wote hupigania Mambo yao binafsi. Hutumia umma kujinufaisha na sio wao kujinufaisha umma.

Watanzania NI waelewa Sana. Kuna watu wapo wanaosimama kwa niaba ya watu na wengine walikuwepo lkn chama Cha siasa ambacho NI sauti ya watu hakipo.
-alikuwepo zitto Yule aliyedili na karamagi. Ila sio huyu wa Sasa asiyejua ata kero na njia za kumkomboa mkulima wa alizeti au daktari ambae hajapanda daraja miaka 7.
- alikuwepo wangwe aliyeubana mgodi kulipa Karo zote za wanafunzi Sekondari tarime.
-Yupo bulaya na Mnyika waliozungumza juu ya kikokotoo Cha wastafu bila kumungunya.

Ila vyama vya siasa Kama vyama vinakosa ajenda vipi kwenye taifa linaloendelea na changamoto zipo mpaka viendelee kuwatumia wahuni kupiga majungu yasiyo na msaada kwa masikini Kama kigogo au kimambi!?
Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu.
 
Wewe ndiyo siyo muelewa ngoja umsikilize sasa hajaongea wewe unaanza kujinyea nyea subirini dawa iwaingie fresh washamba wakubwa nyie
Huwezi kujadili bila kutukana. Kama dhamira yetu NI moja maisha Bora kwa watu hatuwezi kutofautiana. Tuache ushabiki wa kisiasa
 
Nyie mngekuwa mnajua mnakoelekea, nchi hii bado ingekuwa masikini?
Umesoma hoja na kujua Niko upande gani?! Mi sio shabiki kindakindaki. Lengo letu liwe Kupiga hatua kwenye maendeleo ya watu binafsi Kisha taifa. Bila kujali chama, nachotamani NI kuona tunajikita kwenye hoja za watu na kuzifanyia Kazi. Ata ikitokea CCM imejua na kufanya tunachokitaka tunaiunga mkono. Ndio maana nataka nisikie hoja zinazohusu mataizo ya watu moja kwa moja sio general ama katiba. Kama kipo Cha NDANI ya katiba kinachofanya Bei za mazao ziwe chini.bei ya sukari iwe juu Basi kisemwe hicho moja kwa moja sio katiba. Sasa sisi wa nyanchabakene tutaelewa vipi malengo yenu.
 
Back
Top Bottom