Sana saana watakaomsikiliza atawaletea habali njema ya ushoga, maana ndo wamebaki wafadhili wake huko,
Chini ya jua hana jipya labda abadili sera zake.
Mtu mwenye hasira ubongo hufungwa na takataka hawezi kuongea Cha kujenga pale kutoa hasira zake. Ndio maana Mandela alisema kiongozi hutakiwi kuchukia. Chuki huondoa uwezo wa kufikiria