Fafanua zaidi mkuu.Mhu 9:11
Mhu 9:11 SUV
Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.
1% ya billionaires walichotushinda ni kupigania talent zao walizipewa na muumba (eg wasanii, wacheza mpira etc) na pia passion zao walizozaliwa nazo, eg Jeff Bezos, Elon musk, bill gates etc. Kuna wengine pia wa level za kati na chini ambao wamefanikiwa sana kutokana na kupigania passion na talent zao bila kukata tamaa.
Sisi mfumo wetu wa shule umetufanya tusitambue tuliumbwa na uwezo gani, so tunaishia kuwaza ajira tu.
Conclusion, ukijua Mungu alikuumba uwe nani hapa duniani utafanikiwa tu. Most of us hatujui, ndio shida inaanzia hapo.
Thanks mkuuMkuu historia ya maisha ya mtu yeyote aliyefanikiwa huonekana kama vile ipo “very special”..... yaani hufanywa kuwa ni jambo ambalo binadamu wengine woooote tumeshindwa kufanya kasoro wao tu
Sipo hapa kupuuzia juhudi zao kuwa pale..... NOPE
Kinacho wafanya kuwa na mafanikio makubwa kinaweza kutengenezewa kila aina ya dhana kulingana na mtazamo na imani ya mtu
Wapo watakao sema ni Mungu ndio amepanga
Wapo wanao amini kuna secret code
Wapo wanao amini ni juhudi na bahati nk
Wewe unaamini Mungu katuumba kwa kusudi fulani hivyo unatakiwa kulijua kusudi hilo na ujibidiishe basi hapo utakuwa miongoni mwa hao 1% ya matajiri........ Lakini kuna watu wanakua mabilionea kwa kuua watu, kuandaa na kucheza porn, kuiba oline, kuchochea vita wauze silahaa, matapeli nk nk
Jambo lolote ukiisha ingiza imani za Mungu huwa linapoteza mantiki
Hakuna mtu yeyote aliyeumbiwa kusudi lolote lile
Kwa mujibu wa Nature.... only few will make it to the top, wengine ni wawezeshaji tu
Tukazane ili nafasi ikitokea unapita nayo
Thanks mkuu1% ya billionaires walichotushinda ni kupigania talent zao walizipewa na muumba (eg wasanii, wacheza mpira etc) na pia passion zao walizozaliwa nazo, eg Jeff Bezos, Elon musk, bill gates etc. Kuna wengine pia wa level za kati na chini ambao wamefanikiwa sana kutokana na kupigania passion na talent zao bila kukata tamaa.
Sisi mfumo wetu wa shule umetufanya tusitambue tuliumbwa na uwezo gani, so tunaishia kuwaza ajira tu.
Conclusion, ukijua Mungu alikuumba uwe nani hapa duniani utafanikiwa tu. Most of us hatujui, ndio shida inaanzia hapo.
Labda tujue kwanza utajiri ni nini! Bahati haifanyi kazi kwenye economic dynamics! Kwamba nchi masikini hazina bahati na juhudi kiasi? Nope, kila kitu kinapangwa/ kimepangwa kwa mfumo wa hali ya juu na wachache. Mfano: USA inaongoza kwa madeni, lakini deni lake sio kama nchi za Kiafrika. Wao deni lao hawadaiwi na yeyote, ni fake, wanaweza kuprint dollars muda wowote. While deni la nchi za tatu, lazima lilipwe kwa dola, ambayo watakupangia riba, na utaipataje hiyo dolari. Huwezi kuiprint. Watakwambia zalisha hiki au kile, uuze kwetu. Kile wanachkipenda. Then watakishusha bei, uendelee kuhenya na deni na rundo la umasikini.Sehemu kubwa ya utajiri ni kutokana na bahati na juhudi kiasi.
Thanks mkuuLabda tujue kwanza utajiri ni nini! Bahati haifanyi kazi kwenye economic dynamics! Kwamba nchi masikini hazina bahati na juhudi kiasi? Nope, kila kitu kinapangwa/ kimepangwa kwa mfumo wa hali ya juu na wachache. Mfano: USA inaongoza kwa madeni, lakini deni lake sio kama nchi za Kiafrika. Wao deni lao hawadaiwi na yeyote, ni fake, wanaweza kuprint dollars muda wowote. While deni la nchi za tatu, lazima lilipwe kwa dola, ambayo watakupangia riba, na utaipataje hiyo dolari. Huwezi kuiprint. Watakwambia zalisha hiki au kile, uuze kwetu. Kile wanachkipenda. Then watakishusha bei, uendelee kuhenya na deni na rundo la umasikini.
Halafu wanakuletea misaada na nadharia lukuki za uchumi, ambazo hazikusogezi popote. Utajiri haupo bila wengine.
Ahsante.Hapa hakika mimi nnabaki kua mpenzi msomaji tu,maarifa juu ya maarifa namawazo juu ya mawazo.hongereni kwa michango mizuri.
Watu ambao hawajamjua Mungu, utajiri na mali, ni umasikini.Utajiri anatoa Mungu.
Mungu yuko juu ya uwezo wako wa kufikiri so huwez kumfikiria katika namna yako na akili yako.
Kanuni bado zipo, lakini utajiri wa kwanza ni akili.
Whites wana akili na creativity ya juu sana.
Kuwa billionaire ( in terms of dollar) kwa uchuuzi ni ngumu.
99% ambayo ni sisi huwa tuna ridhika.
Tunajiwekea mipaka ya kusonga mbele kwa mawazo, akili, tabia, ibada, na mwitikio wa mambo.
Kijana wa Tz akiinuka kidogo basi madem wengi, starehe, mabaunsa, kazi anasahau, utafiti unashuka, mwitikio wa vitu unashuka. HII NI LIMIT tuliyonayo 99%
Sasa kama unahela unatafanya kazi gani tena tunafanya kazi ili tuendelee kuishi vizuriIt’s all about NATURE
The default state ya jamii yoyote ile ni poverty.
Umasikini is a natural state. Watu wote tunazaliwa with absolutely nothing..... kisha tunaanza kugombania scarce resources
By nature mifumo ya kugombania scarce resources imejitengeneza watafutaji(masikini) wawe wengi kuliko watakao pata(matajiri)........ hatuewezi kupata wote kwasababu rasilimali ni chache na wazalishaji lazima wawe wengi kufanya dunia ku balance
Changamoto hapo ni kuingia kwenye huo mfereji wa wapataji wachache, wengine wanaingia kwa favor za wazazi, wengine wana struggle from the scratch nk
Niliwahi kusikia Hadithi moja inasema hivi
Katika mji mmoja kulikua na masikini wengi na matajiri wachache
Masiki wakalia sana kwa “Mungu” kwanini asifanye watu wote wawe mataji wafurahi maisha kama matajiri wanavyo furahia..... Mungu akawaambia nimesikia kilio chenu
Asubuhi walivyo amka kila mtu akajikuta ana fedha na madhahabu yamejaa kila kona ya nyumba, kiufupi ghafla kila mtu ni trilionea
Guess what, baada ya wiki kadhaa wakamlilia tena mungu wao bora awarudishe kama ilivyo kuwa mwanzo, yaani masikini na matajiri
Kwanini?
Kwasababu in fact dunia ni kama ilisimama sababu kila mtu anahela na anatafuta mtu wa kumuajiri amfanyie mambo anayoyataka
Hakuna aliyekwenda kazini, kila mtu yupo bize kutaka kutumia hela..... haka kamfano ni FIKIRISHI SANA
Ndio maana tusio na hela tunatakiwa tuwe wengi ili tufanye kazi 😂Sasa kama unahela unatafanya kazi gani tena tunafanya kazi ili tuendelee kuishi vizuri