Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
-
- #41
Make kwanza nichekeeee...... bongo hii wapi hamna ndumba? Bongo hiko ni kipaji maalum kila kijiji kuna manguli kama huamini andaa mashindano ya mchawi bora uone
Oh asante kunikumbusha ni Nyamisati siyo Msimbati, inapiga trip ngapi kwa siku Mkuu nikitoka Dar nifike saa ngapi pale
Fika kabla ya saa nane mchana, trip ni moja kwenda na moja kurudiOh asante kunikumbusha ni Nyamisati siyo Msimbati, inapiga trip ngapi kwa siku Mkuu nikitoka Dar nifike saa ngapi pale
Ukiwa nje ya mafia utapewa maneno mengi ya kukutisha sijui uchawi na mengine mengi. Mimi ni mwenyeji Moshi nimefika mafia nakaribia mwezi wa nne, huo uchawi mbona sijaona...kila mahali kuna uchawi msitishwe na stori za kuhadithiana
kuna hotel hadi za milin 100 mkuu, na kuna guest za 10,000. Samaki ni wengi, msosi siyo habaNije na sh ngap huko Ya kutosha hotel,usafiri kuzunguka kisiwani na chakula
ShukuraniFika kabla ya saa nane mchana, trip ni moja kwenda na moja kurudi
Sehemu zinazidiana, sehemu wanaoyoishi watu wa jamii moja bila kuchanganyikana inakuwa hatari tofauti na mchanganuiko hasa sehemu za mjiniMake kwanza nichekeeee...... bongo hii wapi hamna ndumba? Bongo hiko ni kipaji maalum kila kijiji kuna manguli kama huamini andaa mashindano ya mchawi bora uone
Uchawi wa dar ndo mbaya kuliko, huko unapigwa kimbora unaishia kulipa kodi kwa weye nyumba ukija kustuka imeisha miaka 20 na huna cha kuonesha na nguvu imeisha pia ukiishi dsm usiwe mzinzi au mlevi basi mizimu ya kwenu mikali sana inakulinda, huko ukijichanganya unakuwa teja au hata shoga kabisa, usichezena jijiDar hamna uchawi wa kukabana
kesho nitakuwekeaTuwekee picha za mtaani pakoje
Uchawi wa dar ndo mbaya kuliko, huko unapigwa kimbora unaishia kulipa kodi kwa weye nyumba ukija kustuka imeisha miaka 20 na huna cha kuonesha na nguvu imeisha pia ukiishi dsm usiwe mzinzi au mlevi basi mizimu ya kwenu mikali sana inakulinda, huko ukijichanganya unakuwa teja au hata shoga kabisa, usichezena jiji
Kwa mgeni hawana shida ila ukianza kutoboa ndo utajua maisha ni vita lazima ushushwe ila ukiwa fala tu huna kitu wachawi hawachukui tenda ya kukushughulikiaSehemu zinazidiana, sehemu wanaoyoishi watu wa jamii moja bila kuchanganyikana inakuwa hatari tofauti na mchanganuiko hasa sehemu za mjini
Sehemu zinazidiana, sehemu wanaoyoishi watu wa jamii moja bila kuchanganyikana inakuwa hatari tofauti na mchanganuiko hasa sehemu za mjini
hadi zama hizi bado unaogopa uchawi utakuwa siyo mzima kiakili, unaogopa vitu vya kufikirika[emoji849]
Huko wageni wapo, waha kibao hata wahaya wasukuma na wamakonde wakutosha tuWachukuliwe wakinga kama 500 wapelekwe
Wabena 300
wachaga 250
Waha 100
wasukuma 50 tu demographic na uchumi wa mafia utabadilika
kuna hotel hadi za milin 100 mkuu, na kuna guest za 10,000. Samaki ni wengi, msosi siyo haba
Hu
Huko wageni wapo, waha kibao hata wahaya wasukuma na wamakonde wakutosha tu
Sehemu zinazidiana, sehemu wanaoyoishi watu wa jamii moja bila kuchanganyikana inakuwa hatari tofauti na mchanganuiko hasa sehemu za mjini