Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naaam,haya mambo mazuri wanayajua wachache mnoo.Kumbuka ulimwengu unaongozwa na nguvu mbili hasi na chanya spiritual
Na hasi spiritual ndio imedominate the World in other word you can say evils
Politics ndio baba mzazi msimamizi wa hapa duniani..kwani hakiwezi fanyika chochote chini ya jua bila Politics kuingilia
Kwa maana hio Politics na nguvu hasi ni ngumu kuitenganisha
N:B ndio maana mambo mentioned mazuri duniani tumefichwa tumeachiwa haya ya ovyo ili tuwe dhaifu ki nafsi
Na nafsi ikiwa dhaifu mwili hautosalimika
Kwenye album mpya la K. Lamar (MM&TBS) kuna sauti inasikika kwenye intro ikisemaMkuu hii mada iko very interesting,natamani watu wajijue how they operate within..watu wengi wanajiambia kuwa mimi ndivyo nilivyo..mtu akiwa na mahasira anajiambia nmezaliwa hvyo.
Simply because they don't know their true nature ni ipi..hayo mengine yote unayaaccumulate wewe mwenyewe.
Bahati nzuri tunacho jadili ni njia sahihi ya kuachia takataka zote na kurudi kwenye uhalisia wetu kama being.. automatic unakuwa na Consciousness ya hali ya juu pamoja na compation kubwa
Na watu wanachoshindwa kujua katika hii dunia hakuna moves inayokuja accidentallyNaaam,haya mambo mazuri wanayajua wachache mnoo.
Ndo maana wanakuambia IGNORANCE IS SOURCE OF SUFFERING.
Ni free thinking,umeuliza swali na sisi tunajiuliza,ndio maana sababu aliyosema mdau kwamba serikali inazuia kwa sababu inaogopa itashidwa kuwa control watu mimi sikuona kama ina uzito kwa sababu nilizotoa hapo juu,hata ukiangalia tayari kuna juhudi za kutaka kuruhusu utumiaji hasa US,mfano jimbo la Oregon wameruhusu kutumia kitabibu chini ya uangalizi kwa majaribio kwanza bado wanalifanyia utafiti wa kina,kwahio huenda matumizi yakaruhusiwa hapo baadaeFix your thinking kwanza ndo uendelee ku-argue. Hadi hapo nshaona tatizo na ndo maana unakeep kuuliza maswali hayo
Mkuu, nature of human being ni pure Consciousness.. meaning you're simply aware of your feelings, thought and Emotions..but you are not them..Kwenye album mpya la K. Lamar (MM&TBS) kuna sauti inasikika kwenye intro ikisema
“As we grow up, we begin to identify with things. Which means, identify means, we derive all sense of who we are from certain things. When you're identified with something that you are not, it always leads to suffering and unhappiness.”
Mimi sikuielewa,unaweza kunielezea?
Nmekuambia pia, mushrooms ni njia tu ya shortcut..but njia ya kufikia higher consciousness zipo nyingi na hazijazuliwa wala kuwa controlled na serikali.je unazijua?Ni free thinking,umeuliza swali na sisi tunajiuliza,ndio maana sababu aliyosema mdau kwamba serikali inazuia kwa sababu inaogopa itashidwa kuwa control watu mimi sikuona kama ina uzito kwa sababu nilizotoa hapo juu,hata ukiangalia tayari kuna juhudi za kutaka kuruhusu utumiaji hasa US,mfano jimbo la Oregon wameruhusu kutumia kitabibu chini ya uangalizi kwa majaribio kwanza bado wanalifanyia utafiti wa kina,kwahio huenda matumizi yakaruhusiwa hapo baadae
Sawa,sio kwamba ninavyoamini ila ninavyofikiriaAmini unavyo amini wewe.
Ukiweka picha itapendeza...🌝🌝Hello bosses...
Mada za kikubwa watoto wakiwa wamelala
Kuna mzigo unaiitwa magic mushrooms au tuziite shrooms, zinatumiwa kwa mambo ya kiroho na kujiliwaza pia. Ni kama weed kwa baadhi ya watu.
Kwa wale wanaofanya deep meditation pia baadhi wanazitumia kufanya tripping(huko unaweza kutana na wewe mwenyewe, au ukaona vitu fln vya kushangaza ulivopitia anyway sio story ya leo hii).
Je hapa Tanzania zinaruhusiwa? Na zinapatikana wapi kama zinaruhusiwa?
Mkuu ukishaanza tukusema hichi ni changu, gari yangu, mtoto wangu, wazazi wangu, dini yangu, elimu yangu, nchi yangu, nyumba yangu, mke wangu, kazi yangu uko-identified na thi ngs siku vikiondoka lazima uumie au mfano watu wengi wanaogopa kufa sio kwa sababu hawajui wanakokwenda ila wanaogopa kupoteza hivi wanavyovijuaKwenye album mpya la K. Lamar (MM&TBS) kuna sauti inasikika kwenye intro ikisema
“As we grow up, we begin to identify with things. Which means, identify means, we derive all sense of who we are from certain things. When you're identified with something that you are not, it always leads to suffering and unhappiness.”
Mimi sikuielewa,unaweza kunielezea?
Kiufupi ni kwamba Inafanya Factory resetting ya mind... imagine mind yako imekuwa formatted..na wewe uko live..je ni magumu kias gn utayapitia..ukimess up hapo..ni rahisi kuwa chizi.
Infact naweza kumuongoza mtu anaye hitaji..
Ila mtachangia japo maji,hasa wale wenye changamoto. maana hii ni elimu adhimu mnoo wakuu.nimeipata kwa gharama kubwa mnoo.Wenye kuhitaji kujifunza haya mambo atanichek kupitia Email.
Meditation30@protonmail.com
Yaan hio passage tu uloandika watu wakiisoma, kuielewa, kuifuata na kupractise ni tiba tosha kwa magonjwa ambayo hayana daktari hapa duniani.Mkuu, nature of human being ni pure Consciousness.. meaning you're simply aware of your feelings, thought and Emotions..but you are not them..
Greatest mistake ni identification with them..hapo ndipo suffering huanza.
Ni somo pana mkuu, linahitaji muda.