Aggressive Plant
Member
- Apr 10, 2017
- 95
- 205
Nilitamani wadau waongelee zaidi connections za magic mushrooms apa bongo...Kuna wale walipanga kwenda Temple jumapili...wangekuja kutupa mrejesho...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama inafanya factory reset ya mind mana ake mtu akitumia atasahau mpaka jina lake, jinsia yake, umri wake, majna&sura ya wanaomzunguka, mahali alipo, namna ya kula, n.k au vp??Kiufupi ni kwamba Inafanya Factory resetting ya mind...
Ukifika unawaambiaje? Wanauza au mpka ujifanye unaamini ubudha kwanza?Buddhist temple pale Upanga kiroho safi utaipata. Ile iloyopo pale katikati ya kituo cha fire na akiba
Mrehesho tafadhali:kama mliendaJumapili hii
Huu mtandao gan?
Hii kitu umeiweka vyema zaidi ya mtoa mada big up💪💪Exactly mkuu,ndo maana unahitaji elimu kwanza kabla hujaanza..
Issue ni kwamba Ego ni false Identity ambayo ume create within your mind,,kazi yake ni kukulinda na kazi yake kubwa ni kukuongoza how you relate,how you think,how you behave,hucontrol emotions zako n.k
Imagine hyo Ego automatically imeuawa na Hizo Drug,,means inaanguka.
Then your HIGHEST POWER ambayo ni CONSCIOUSNESS has to take power..😅😅 ambayo ipo always but it was domant not active but baada ya Ego death it has to take full responsibility.
You see ilivyo interested,yaan mfano ulikuwa na kijana wako wa kazi,akajitambulisha yeye ndo boss na ameact kama baba wa nyumba since ulivyo zaliwa mpaka leo una umri huo... Then ghafla kauawa...who will take the power?
Hii ni elimu pana sana, inahitaji muda kuielewa
Na mie natakaaaa.Mim nataka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waacheni hayo mengine wayafanye wenyewe ninyi msidanganyike. Hata walioanza kuuza mihadarati walioanza kwa style hii hii. Leo wanatusumbua kujenga ma soba houses. Waacheni wajifanyie wenyewe hiyo restore facture ya vichwa vyao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahKwaiyo mtaalam nikila huo uyoga
Nasahau hata aka ka degree kangu ka ualimu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haina noma hiyo kitu,Iko kama Sigara bwege,Ukijifanya hazikutoshi ndiyo utajikuta unapaa wakati Mbawa huna.
Dear utanistua twende puliiiizzz, nna uhitaji nayooooooo.Anayetaka tupange siku twende hapo Upanga kwenye Temple za wa Hindu tukaulizie kama wanazo na kama watakubali kutupatia/kutuuzia, tujifanye tunahitaji kwa research maana ukienda kizembe hawakupi, ni illegal hiyo,
Nataka niijaribu
Mbna bei chee hivi?? Lol
Nataka kujua mie hapaaaa, yaan natamani hii Elimu inifikie kwa Weledi.Kama inafanya factory reset ya mind mana ake mtu akitumia atasahau mpaka jina lake, jinsia yake, umri wake, majna&sura ya wanaomzunguka, mahali alipo, namna ya kula, n.k au vp??
Twende dear weekend hii, me nipo ready na kuna wengine walitaka twende naona wameingia mitini [emoji23]Dear utanistua twende puliiiizzz, nna uhitaji nayooooooo.
Siku 3!Leo ndo naamka baada ya kutrip kwa siku 3
Mmmh! Navutiwa na hii kitu! Inaonekana weed ikasome[emoji848]Msiguse hii kitu.
Huenda ndiyo tunda lenyewe la mti wa katikati.
Ina alter consciousness, na inaweza kuinvite demons wakakuvagaa, wakawa wanakuletea vision za kukupotosha huku ukidhani umeugundua ukweli( reality)
Duh! Ule ushibe kabisa na unywe maji yakutosha! Ina hang_over kama ganja!!? Arosto je ipo! Ni addictive!!!?Sio kweli
Inategemea na uwezo wako wa kuhandle hio kitu, ni kama pombe au weed, kuna watu wanatumia wanakaa vzr lkn kuna watu inawapelekesha, ni kwamba tu hii ni next level stuff, kama kichwa chepesi huwezi handle huo mziki wake, na ndo maana unashauriwa uwe chumba peke yako na ukae hata masaa nane sababu inachukua muda saana kumaliza kazi