Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Status
Not open for further replies.
Inabidi ujue kwanza pure nature of the mind ni nini..then kuna vile unnecessary (Negative) vitu unavi kuza since mdogo mpaka hapo.vinapaswa kuondoka.

Baadhi ya vitu, Aibu,hofu,hasira, anxiety, depressions n.k.

Vipo vingi mnoo,na ni somo refu.

nature of of the mind ni Pure Consciousness.
Sijaridhika na hili jibu! Kulingana na swali la huyo jamaa, nimeelewa ila naona umelifupisha kiasi kwamba sijaelewa vizuri
 
Kuna kipindi flani zamani kidogo about 18 yrs back,wezi walikuja usiku kwangu wakafanikiwa kufungua mlango wa gari,ikavutwa mpaka karibu na geti wakakomba kila walichoweza,niliposhtuka ndio wanamalizia na wakakimbia.Nilipanic sana nika mjulisha jamaa yangu mmoja hivi akaniambia tuonane jioni,kuna mtaalamu kuna vitu anafanya utawajua walioiba.Tulipokuwa kwa huyo mtaalamu tukiwa kwenye chumba alinipa maji flani nikanywa,akaniambia niangalie kwenye ukuta ambao ni mweupe nisigeuke kulia wala kushoto,ilinichukua kama saa nzima nikaanza kuona kwenye ule ukuta watu jinsi wanavyokuja na gari kutokea mjini mpaka wakafika nyumbani,walikuja na Hiace yao,wakapakia vile walivyoiba na kuondoka,mtu ambaye nilimuona na kumfahamu alikuwa ni rafiki yangu ambaye tulikuwa karibu sana na tunafanya naye ofisi moja,pia mdada mwengine ambaye pia tulikuwa naye ofisi moja.Sikutaka kuamini kabisa kuwa ndio wao waliohusika,kwahiyo nikaondoka pale bila kuamini kuwa nilichokiona ndio kilikuwa uhalisia,Ila baada ya kutoka pale nilisumbuliwa sana na kizunguzungu kilichokaa kwa takribani masaa 6 then nikarudi normal.Nimeandika hii story ninajaribu kuona kuwa inawezekana nilichopewa ikawa ni hiyo Magic mashroom bila ya kujua,kwakua ilikuwa ni kama ninaye angalia movie flani hivi....
Aaaa! Kwanini ili stick kwenye tukio tu!? Kwanini isinge chimbua mambo mengine kidogo!!? Kuna settings zake[emoji16]
 
Hizo mushrooms zinaitwa 'psiloccibin mushrooms".
Zinakua na psychedelic effect na ndo hyo inaitwa trip a.k.a safari.
Zinaweza kua consumed kwa kutafuna au kwa kuchanganya na maji ya moto kama chai.
Wengi wanasema unaeza kudata lakini hii ni kutokana na kutoelewa how to use them.
Hizi shrooms lazma uwe guided kama hujawahi kutumia. And here is the reason.
Kwanza lazma uanze na a small dose.
Pili, the guidance ni kwamba, unapotumia inafungua deep feelings ambazo kama hujaweza kucontrol unaeza jikuta u r dealing with bad feelings ambayo it leads to a bad trip.
So kwenye guidance, kwa mfano mtu anaeza kua guided kujaribu kuona future yake, so it takes ypur subconscious to another level and you can see vitu ambavyo kwenye normal senses huezi kuona.
Jamii nyingi za ndani ndani kama red indians na wale watu wanaoishi kwenye misitu ya amazon hua wanaitumia sana kama a form of deep meditation.
Hivyo bas, kama haujui vzur how to use them itakufanya uone mauza uza tu. N kama bangi, kama mtu hajui kuitumia vzur anaeza kuishia either kubembea au kupata mawenge ya kisoro, lakini kwa mtu anaejua misingi yake it can be used as a source of focus, au source of pleasure n.k.
Problem kubwa kwa nchi yetu n kwamba most times hatupati vitu standard so effect inakua haieleweki. Example bangi inayouzwa hovyo hovyo unaeza kuta leo umevuta sativa, kesho umevuta indica kwaio the effect inakua different. Mbaya zaidi ukivuta iliochanganywa na plama ndo kabisaa unajikuta umeanza kuwa mjate.
Lakini watu wanaovuta high grade wanapata a specific breed kwaio anapata the same effect everyday na inasaidia sana.
Mkuu umeelezea vizuri sana. Mimi niliacha Ganja sababu hiyo sababu Bongo bangi unayovuta leo nintofauti na utakayovuta kesho, alafu hata pushers wa bongo wengi ni mbumbumbu na bangi, hawajui wanachouza ni nini. Saivi vijana wengi wanawehuka sababu wanavuta Ganja iliyochanganywa na Vumbi la Heroine wanadanganywa eti ndio Skanka kumbe wanaharibu Vichwa.
 
Hapana. Ntakupa jibu refu ambalo nataman ningempa huyo father

Mie ni Taoist lkn bado ni mkatoliki.

Taoism ni way of life lkn sio religion na haipo kwenye dimension moja na dini, ipo juu sana ya hapo sababu inaweza kukufanya u-tap directly into spirituality bila kuwa na gateway zilizozoeleka ambazo ndio hizi dini.

Why bado ni mkatoliki? Sababu religion by one way or another is just a culture, na nmezaliwa kwenye hio culture na kama haiko negative to Tao basi naendelea nayo hadi labda siku iwe negative to Tao.

Kwenye Taoism tunaamini kwenye cultivation, lazima kucultivate virtues na kufuata the Tao, lakini hayo yote huwezi kufanya bila kuwa na CALM MIND. Mind ikiwa calm ndipo utaweza toa vitu vibaya na kuingiza vitu vzr, ndipo utaweza kuona vitu in a very clear way. Chukulia maji yenye matope (muddy water) yale maji yakisettle ndipo utaona clearly matope yako wapi na maji yako wapi, same as human mind too.

Sasa huko kucalm mind na kujialign na nature kuna practice inabidi ufanye ndipo ufikie hizo states, na hapo ndipo tunafikia kwenye MEDITATION na YOGA.

Kuna affirmations pia nazo hufanyika sambamba na meditation.

Haya hadi hapo nielekeze huo uchawi unatokana na nini?

Hao hao wanaoita meditation uchawi nao wanafanya meditation bila kujijua.

Na pia ukisoma Tao Te Ching utakuja kuona dini zote za kweli zimechukua summary mule.

Kuna mtu aliwahi kusema kwamba ukianza kupractise sheria au virtues unazofundishwa na dini yako mfano ukarimu etc.... ndipo utakuja kuona All roads lead to taoism.

Ni kwamba tu hawa ma-father hawataki kuwa challenged na ukweli na wanataka waendelee kutegemewa. Sasa kwa kuwa wanajua mtu ambae ni anaweza cultivate virtues mwenyewe na kuharness nguvu ya nature hatowahitaji tena service yao ndipo wanaipinga kwa nguvu zote wakiogopa kupoteza waumini, lkn haya mambo the more una-advance ndipo unajua ukweli wa mambo, you just taste the vinegar, smile, and let it go.
Clear
 
Mkuu mie huwa na kodisha online nasoma lisaa moja then narudisha ili niwe nacho mpaka ninunue kuna sehemu kuna vitabu ukivisoma hutokua kama ulivyo kikubwa lugha iwepo basi utayajua na kufanya mengi ujanja mwingi upo kwenye vitabu bahati mbaya hivi vitabu huto vipata tz
Mkuu naomba nitajie baadhi ya vitabu nivitafute niagize.
 
Mkuu ukishaanza tukusema hichi ni changu, gari yangu, mtoto wangu, wazazi wangu, dini yangu, elimu yangu, nchi yangu, nyumba yangu, mke wangu, kazi yangu uko-identified na thi ngs siku vikiondoka lazima uumie au mfano watu wengi wanaogopa kufa sio kwa sababu hawajui wanakokwenda ila wanaogopa kupoteza hivi wanavyovijua
Maumivu kiasi gani mkuu!
 
Ila mtachangia japo maji,hasa wale wenye changamoto. maana hii ni elimu adhimu mnoo wakuu.nimeipata kwa gharama kubwa mnoo.
Kiasi gani! Mkuu! Natamani hii kichwa niisafishe ibaki plain kabisa! Password za vitu itabidi niandike kwenye memo, na majina ya watoto na gari, pikipiki nitajifunza upya! Nini kingine kinaweza futika!!? Kazi ninayo fanya nitaikumbuka kweli!? Achilia mbali njia ya kurudi nyumbani[emoji1787] joking!

Inagharimu sh ngapi
 
Ni story ndefu sana nikiweka hapa haitokua sawa maana itahamisha mjadala, nmekuchk PM, Kama itawezekana kuonana kubadilishana mawazo itapendeza zaidi.

Nlidhan nipo peke yangu kwenye hii forum ambae nimeexperience haya mambo lkn naona tupo wengi.
Umesha wahi tumia hiyo mushroom mkuu!!?
 
Discussion imekua ndefu, this motivates me to create an online yoga & meditation center. Sikutegemea kama simple question litazua mafundisho makubwa kiasi hiki
Unitag! Pia nilikua nawaza hivyo au uandae uzi utakao anza kufundisha begginer level yani A E I O U to A B C D _ Z to 1 to 10. Maana humu tunapata vitu vikubwa kubwa tu bila kujua mwanzo wake na hata ukitaka ujifunze hujui pa kuanzia
 
Kikubwa ni kupata Elimu kutoka kwa mtu mwenye Ufahamu na hayo mambo na mwenye Really Experience...I mean aliye wahi kupitia hyo kitu. Hii kitu inafungua mafaili yote na takataka zote zilizo jificha kwenye SUBCONSCIOUS MIND..na kukuletea kwenye awareness yako..ni jukumu lako ku react on them ama ku respond.

Unatakiwa ku respond badala ya ku react, don't fight with them..just notice them and let them pass.

Mfano wa hizo takataka ni Repressed Emotions (Unprocessed Emotions),chiki,fear, anxiety, depression,guilt,aibu,visasi, confusion.
All of them comes to the light [emoji2732] of awareness and they pass

Ni very interesting journey wakuu na ni mada ndefu.
Mfano wa hizo takataka ni Repressed Emotions (Unprocessed Emotions),

Nisaidie mfano mmojawapo wa hiyo unprocessed emotions
 
Hili ni somo pana mkuu, linahitaji muda..

Nilisha ulizaga hilo swali [emoji115][emoji115][emoji115] nikapata michango miingi ila kwenye hii maada baada ya kupekua comment to comment nimepata mengi zaidi!
 
Mkuu umeelezea vizuri sana. Mimi niliacha Ganja sababu hiyo sababu Bongo bangi unayovuta leo nintofauti na utakayovuta kesho, alafu hata pushers wa bongo wengi ni mbumbumbu na bangi, hawajui wanachouza ni nini. Saivi vijana wengi wanawehuka sababu wanavuta Ganja iliyochanganywa na Vumbi la Heroine wanadanganywa eti ndio Skanka kumbe wanaharibu Vichwa.
[emoji89] kuna siku niliyakanyaga, kuna wanayo ita bongo_shit na hiyo skanka zile sio bhangi ni sumu! Mara ya kwanza sikuelewa nilichukua nikaitumia usiku, inapanda haraka sana kuliko bhangi kawaida inakuzoazoa inakupeleka hukoo[emoji16] mpaka hapo sikuona shida kwa upande wangu, ila kuna jamaa yangu nilikua nae ilimchukua kiasi kwamba sikuwahi muona akiwa kwenye hali ile na alianza kuongea vitu ambavyo siku tegemea kama bichwa lake limeoza kiasi kile[emoji16] nikamuhimiza kulala aisikilizie akiwa kalala na asiongee apitilizie usingizini hukohuko, nilichofanya ni kufungulia redio nikaendelea kui'enjoy ikinipa mawazo haya na yale mpaka nilipo amua kulala, shida ni kesho yake haikua kama siku nyingine huko nyuma nilipotumia ganja ya kawaida, kwanza ilikua ina hang_over kali kama ya pombe, hakuna hamu ya kula wala kunywa maji na muda mwingi unakua kama ume hibanate tu na kujisikia kuchoka kupita maelezo, siku hiyo jioni sikugusa kabisa ili nione mwisho wake, kulala na kuamka kesho yake nikajikuta nipo sawa kabisa, nikatafuta ile ya kawaida nikaigusa, ikawa smooth as usual na hata kesho yake nika sawa kama kawaida[emoji846] siku iliyofuata nikachukua tena ile sumu[emoji16][emoji16] mdundo ulikua mperampera kama ule wa mwanzo ndipo nilipo baini sio ganja ya kawaida kuna kitu wamechanganya nikaamua kuachana nayo kabisa! Yule ndugu mbali na matokeo mabaya na kuto itathimini ile skanka anadai ilimvutia zaidi, akaendelea nayo[emoji17][emoji17] ndani ya mwezi mmoja alikonda, alafu lile swala lililo msumbua mara ya kwanza nikama lilikwama kichwani mwake mazima maana kila nikikutanae mbali na story nyingine tulizokua tunapiga lazima alikua anagusia kwa kutaka msaada wa majibu wa swala lile, na haswa lilikua linamsibu ni kifo cha wadogo zake wawili mapacha kugongwa na gari wote siku moja, na maswala ya kwao,[emoji17] tukio hilo tangu nimemfahamu lilitokea mda kidogo na kwa awamu hii tulikutana kazini akiwa katokea msibani ila alikaa sawa mpaka hiyo siku alipokutana na skanka ikawa kama msiba umeanza upya, akidai ameshajua kilicho pelekea kifo cha wadogo zake na kila akizoom anaona yeye ndio anafuatia[emoji55] basi kaendelea na huo mzigo wa skanka mpaka kufikia kufanya matukio kadhaa ya kufikirisha na lamwisho lilimpoteza tusijue alielekea wapi mpaka leo bila mawasiliano, hope atakua kwao salama!
 
Huu uzi shkaooo!
JamiiForums154410317.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom