Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Status
Not open for further replies.
Hii ipo njombe ,kule kifanya wanaitumia wachawi wanajua cha kufanyia ni mrorongo ,ukijaribu huwa inaharibu uwezo wako wa uhalisia njano unaona blue, ndoo unaona mbwa ,afu unaweza anza lia msiba wa mwaka juzi kama umeambiwa leo ,wengine wakila wanajificha vichakani ,na stimu yake inachukua muda ila nusu wanakuwa machizi full
Duh! Hiyo ya njombe ni OG sana haina mbolea za viwandani[emoji1787][emoji1787] watugee zile za GMO zitakua zimepoa makali
 
Hii inakuonesha mambo usiyoyaona kwa macho ya kawaida na ndo maana wanaoitumia hovyo bila kujiandaa wanaona mambo yanayowachizisha.

Kuna kitu kwenye meditation kinaitwa 'tripping', hii ni kama ibada kabisa na huwa inafanyika mostly mara 2 au 3 kwa mwaka, moja ya ingredient zinazotumika kukuwezesha kutrip ni hio kitu, lkn kabla ya hapo inabidi uwe na maandalizi ya kutosha sababu unaweza kuona usioyatarajia
Naitaji kujua zaidi kwenye hii post yako japo sijui ninini nahitaji kujua ila na hisi kuna kitu nahitaji kukujuia au kusikia kutokea hapa
 
Kuhusu utakachoona inategemea na wewe mwenyewe. Wengine wanaona past zao, wengine wanaona futures zao, wengine wanaona maisha roho zao zilioishi miaka ya zamani au kwenye maisha mengine kabla ya haya. Japo pia inaweza amsha hisia fln ukabaki unalia tu.

Shida kubwa ni kushindwa kutoka kwenye hio trip, ukiwa stuck humo ndo hio watu wanakua kama chizi fln hv.

Kama umefikia kweli hio level ya meditation unayosema nadhan hapo inatosha au consult na guru wako kwanza kabla ya kujaribu hii kitu coz weed haiingii hata robo hapo
Sasa hii kitu inatumikaje kwanza labda hapa nitaanza pata mwanga! Unaichoma kama ubani, unaivuta kama bhangi, unaichemsha kama supu, unainywa kama chai, au ni kipande cha mashroom unakitafuna kama kisheri!!!? Pia unaitumia kiroho au unaitumia tu kama kilevi au starehe kama bangi!? Na vitu utakavyo viona kama unatumia mara ya kwanza, je!? Ndio vitu hivyo hivyo utakavyoendelea kuviona huko mbeleni unapoendelea kutumia!!!? Sijawahi ona mfano wa mtu alietumia hii labda naweza fananisha na script moja ya mission kwenye video_game GTA5 kuna mahala michael alipewa kitu kama weed, baada ya kuivuta akaanza kuona aliens .....! Sijui ndio hiyo..!
 
Mkuu ulivuta bhange na haukuona impact yoyote!

Basi ulivuta bhangi changa au bhangi feki!

Mkuu ukija vuta iliyokomaa, hautarudia tena kuidharau na utakuja hapa na uthibitisho ulionyooka kukiri!
Shida ya ganja mawazo, inaweza ikang'ang'ania kwenye swala moja mpaka ukashangaa, kuna muda ikakupa majibu na kuna muda ikakuvuruga na kukuachia mswali lukuki, uzuri wake inakuonyesha mistakes zako zooote ambazo kikawaida usingezijua, ukabaki unatoa macho kama mjusi!



Kama kichwa cha mtu anaetumia ganja na kika imili je! Anaweza kuhimili huu mzigo!!!?
 
Sio kila mtu bangi inamzingua mfano mm kvant inanipeleka higher kuliko bangi
Ulevi wa pombe na bhangi ni tofauti mkuu! Mimi nikivuta na nikanywa pombe hua nasikia vilevi viwili tofauti kabisa! Ni kama mafuta na maji! Ila pombe kwangu hua naona hovyo sana na nimeacha kabisa
 
Watu wanakariri sana.

Hizi nervous systems ziko tofauti kwa kila mtu na zinarespond tofauti tofauti.

Hapa naweza kukuelewa kwa uzuri kabisa!

Inakuaje shroom ika affect same way!!? Ili kuitumia unatakiwa kuchukua hatua gani!!?
 
Hiyo activity mtaiita kwa majina ya kizungu ionekane inavutia ila huo ni ushirikina wa kuvaa nguvu za giza (majini ambayo yatakuongoza uone ulimwengu utakavyo wewe au yatakuongoza wapendavyo wao)
Narudia tena huo ni ushirikina ambao upo hata ukikaa vizuri na wazee wetu watakusimulia na kukuonyesha maeneo unayoweza pata hiyo huduma huko vijijini...
Kuna hasara sana kuzaliwa mjini! Nimepitwa na mengi kumbe
 
Unaweza vuta au kutafuna
Stimu hazitofanana mkuu! Kitu cha kuvuta na kula au kunywa stimu haziwezi fanana, hata wale wanao jidunga wanapata stimu tofauti kabisa na wanao vuta japo ulevi ni huo huo unga, ila kwa story ya hii kitu kama ikitokea nimeipata mkononi nitachagua kuivuta kuliko kuitafuna nadhani ndio italeta majibu mubashara kabisa
 
Utakuja kula sumu kwa kuendana na maelezo ya google..

Je unafahamu uyoga umegaeanyika katika aina ngapi tofauti?

Mara nyingi maumbo ya uyoga kutofautisha ni ngumu lkn kwa hii aliyoomba kali linux kufahamu kwamba inaruhusiwa kwa matumizi au laah! Huwa inapandwa na kukuzwa kwa ustadi mkumbwa sana kw sababu ni biashara kubwa sana duniani kote labda wewe pilato93 bado ni mgeni sana kwenye hili...
Hivi na huu uyoga wanao u promo na kuuza mbegu huku mtaani unatofauti gani na huo dawa!!? Unaladha gani!!? Ukila una effect gani unapata mpaka waunadi hivyo!
 
Huitwa Psychedelic Drugs..
Hutumika kuua Ego (Our false Identity) ambayo umeitengeneza kupitia mind since ukiwa mdogo mpaka hapo ulipo...na inakuonyesha the real you..

Jukumu lako ni ku handle hyo path ambayo ni ngumu mnoo huitwa THE DARK NIGHT OF THE SOUL. ukimaliza hyo safari unakuwa mpya kabisa mwenye Consciousness ya hali ya juu mnoo..
Vp kuhusu kukwama kwenye hiyo safari na usirudi kama ulivyo tarajia!!? Bahati mbaya utakua hujijui ila hawa wa huku nje watakusaidiaje urudi!!!?
 
Mushroom unaweza vuta au kutafuna

Hii ya kuvuta haina effect sana kama ya kutafuna.

Kama unataka kuitumia kwa tripping wanashauri uitafune sio kuvuta
Nipe utofauti wa matumizi yote mawili! Yani kama ukivuta nini kinatokea na kama ukiila nini kinatokea! Hiyo tripping unayo ongelea, ukiwa umevuta na ukiwa umeitafuta ipi ni probability au possibility ya kurudi salama!!!?
 
Vp kuhusu kukwama kwenye hiyo safari na usirudi kama ulivyo tarajia!!? Bahati mbaya utakua hujijui ila hawa wa huku nje watakusaidiaje urudi!!!?
Hili ni somo pana mkuu, linahitaji muda..
 
Kiufupi ni kwamba Inafanya Factory resetting ya mind... imagine mind yako imekuwa formatted..na wewe uko live..je ni magumu kias gn utayapitia..ukimess up hapo..ni rahisi kuwa chizi.

Infact naweza kumuongoza mtu anaye hitaji..
Duh! Hii nzuri ila inatisha sana! Sh ngapi huu mzigo
 
Factory setting ya simu inafuta vitu vyote ulivyoweka wewe mtumiaji vinabaki vya kiwandani,sasa ni kitu gani hasa kinafutwa kwenye mind ya binadamu,kumbuka tangu unazaliwa unajifunza vitu vingi kupitia shule,kanisa,mazingira tofauti,Je hii magic mushroom unamaanisha itafuta kila kitu unachojua kuhusu maisha uliyoishi au inafuta nini?
Nilikua na swali kama lako ila nilikua nashindwa niliulizeje kwa ufasaha[emoji2956][emoji2962]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom