TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,894
- 8,454
Duh! Hiyo ya njombe ni OG sana haina mbolea za viwandani[emoji1787][emoji1787] watugee zile za GMO zitakua zimepoa makaliHii ipo njombe ,kule kifanya wanaitumia wachawi wanajua cha kufanyia ni mrorongo ,ukijaribu huwa inaharibu uwezo wako wa uhalisia njano unaona blue, ndoo unaona mbwa ,afu unaweza anza lia msiba wa mwaka juzi kama umeambiwa leo ,wengine wakila wanajificha vichakani ,na stimu yake inachukua muda ila nusu wanakuwa machizi full