Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Status
Not open for further replies.
Kiufupi ni kwamba Inafanya Factory resetting ya mind... imagine mind yako imekuwa formatted..na wewe uko live..je ni magumu kias gn utayapitia..ukimess up hapo..ni rahisi kuwa chizi.

Infact naweza kumuongoza mtu anaye hitaji..
Factory setting ya simu inafuta vitu vyote ulivyoweka wewe mtumiaji vinabaki vya kiwandani,sasa ni kitu gani hasa kinafutwa kwenye mind ya binadamu,kumbuka tangu unazaliwa unajifunza vitu vingi kupitia shule,kanisa,mazingira tofauti,Je hii magic mushroom unamaanisha itafuta kila kitu unachojua kuhusu maisha uliyoishi au inafuta nini?
 
Hiyo activity mtaiita kwa majina ya kizungu ionekane inavutia ila huo ni ushirikina wa kuvaa nguvu za giza (majini ambayo yatakuongoza uone ulimwengu utakavyo wewe au yatakuongoza wapendavyo wao)
Narudia tena huo ni ushirikina ambao upo hata ukikaa vizuri na wazee wetu watakusimulia na kukuonyesha maeneo unayoweza pata hiyo huduma huko vijijini...
Duu mbona uko mbali. Soma hii makala itakusaidia.
=
"Magic mushrooms" is a common name for mushrooms that contain the psychoactive compound psilocybin. Psilocybin is a naturally occurring psychedelic substance that can cause changes in perception, mood, and thought.

When ingested, psilocybin is metabolized into psilocin, which binds to serotonin receptors in the brain, leading to altered sensory perception, changes in thought patterns, and an altered sense of self and time. The effects can vary depending on the dosage, set and setting, and individual sensitivity to the substance.

The use of psilocybin-containing mushrooms for spiritual and therapeutic purposes dates back thousands of years, and they are still used for these purposes in some cultures today.

However, psilocybin is also classified as a Schedule I controlled substance in the United States, meaning it is illegal to possess, distribute, or use it for non-medical purposes.
 
Factory setting ya simu inafuta vitu vyote ulivyoweka wewe mtumiaji vinabaki vya kiwandani,sasa ni kitu gani hasa kinafutwa kwenye mind ya binadamu,kumbuka tangu unazaliwa unajifunza vitu vingi kupitia shule,kanisa,mazingira tofauti,Je hii magic mushroom unamaanisha itafuta kila kitu unachojua kuhusu maisha uliyoishi au inafuta nini?
Inabidi ujue kwanza pure nature of the mind ni nini..then kuna vile unnecessary (Negative) vitu unavi kuza since mdogo mpaka hapo.vinapaswa kuondoka.

Baadhi ya vitu, Aibu,hofu,hasira, anxiety, depressions n.k.

Vipo vingi mnoo,na ni somo refu.

nature of of the mind ni Pure Consciousness.
 
Huwa nafikiri hata hawa vijana waliongia kwenye wimbi la ushoga wakipatiwa hii kama tiba inaweza kuwasaidia, sababu mara nyingi hayo mambo ni shida inayoanzia kwenye polluted brain au mind. Una kuta mtu hana physical characters zzt za kuwa shoga lkn kuna mambo alipitia/kufanyiwa udogoni ndo yakamfanya aweke akili yake huko. Naamini hii ikifanyiwa utafiti itaweza kusaidia sana pande hizo

Ukiangalia Psychedelic drugs nyingi pia hutumiwa kutibu addictions au traumas mtu alizopitia, ila hii shrooms ina spiritual powers ukiachana na kuwa Psychedelic drug kama zilivyo LSD etc...
Mkuu hii mada iko very interesting,natamani watu wajijue how they operate within..watu wengi wanajiambia kuwa mimi ndivyo nilivyo..mtu akiwa na mahasira anajiambia nmezaliwa hvyo.

Simply because they don't know their true nature ni ipi..hayo mengine yote unayaaccumulate wewe mwenyewe.

Bahati nzuri tunacho jadili ni njia sahihi ya kuachia takataka zote na kurudi kwenye uhalisia wetu kama being.. automatic unakuwa na Consciousness ya hali ya juu pamoja na compation kubwa
 
Kuna kipindi flani zamani kidogo about 18 yrs back,wezi walikuja usiku kwangu wakafanikiwa kufungua mlango wa gari,ikavutwa mpaka karibu na geti wakakomba kila walichoweza,niliposhtuka ndio wanamalizia na wakakimbia.Nilipanic sana nika mjulisha jamaa yangu mmoja hivi akaniambia tuonane jioni,kuna mtaalamu kuna vitu anafanya utawajua walioiba.Tulipokuwa kwa huyo mtaalamu tukiwa kwenye chumba alinipa maji flani nikanywa,akaniambia niangalie kwenye ukuta ambao ni mweupe nisigeuke kulia wala kushoto,ilinichukua kama saa nzima nikaanza kuona kwenye ule ukuta watu jinsi wanavyokuja na gari kutokea mjini mpaka wakafika nyumbani,walikuja na Hiace yao,wakapakia vile walivyoiba na kuondoka,mtu ambaye nilimuona na kumfahamu alikuwa ni rafiki yangu ambaye tulikuwa karibu sana na tunafanya naye ofisi moja,pia mdada mwengine ambaye pia tulikuwa naye ofisi moja.Sikutaka kuamini kabisa kuwa ndio wao waliohusika,kwahiyo nikaondoka pale bila kuamini kuwa nilichokiona ndio kilikuwa uhalisia,Ila baada ya kutoka pale nilisumbuliwa sana na kizunguzungu kilichokaa kwa takribani masaa 6 then nikarudi normal.Nimeandika hii story ninajaribu kuona kuwa inawezekana nilichopewa ikawa ni hiyo Magic mashroom bila ya kujua,kwakua ilikuwa ni kama ninaye angalia movie flani hivi....
 
Kifupi hii inafungua madudu yote yaliyopo kwenye SUBCONSCIOUS MIND,na kukuacha uchi kabisa upambane nayo live 😅

Hayo madudu ni pamoja na Unprocessed Emotions,Traumas,n.k

Hapo lazima udate mzee..kumbuka hayo madudu umeyaficha kwa muda mrefu mnooo..halafu ghafla yanakuja Live.
 
Kifupi hii inafungua madudu yote yaliyopo kwenye SUBCONSCIOUS MIND,na kukuacha uchi kabisa upambane nayo live 😅

Hayo madudu ni pamoja na Unprocessed Emotions,Traumas,n.k

Hapo lazima udate mzee..kumbuka hayo madudu umeyaficha kwa muda mrefu mnooo..halafu ghafla yanakuja Live.
Bahati nzuri,yanapo kuja into your awareness you simply need to notice them and let them go.. don't fight with them wewe ndo utaumia..you simply need to feel them..

Yanapo kuja mara nyingi ndipo yanadis appear..

Ni somo refu mnoo,linahitaji muda
 
Kuna kipindi flani zamani kidogo about 18 yrs back,wezi walikuja usiku kwangu wakafanikiwa kufungua mlango wa gari,ikavutwa mpaka karibu na geti wakokomba kila walichoweza,niliposhtuka ndio wanamalizia na wakakimbia.Nilipanic sana nika mjulisha jamaa yangu mmoja hivi akaniambia tuonane jione kuna mtaalamu kuna vitu anafanya utawajua walioiba.Tulipokuwa kwa huyo mtaalamu tukiwa kwenye chumba alinipa maji flani nikanywa akaniambia niangalie kwenye ukuta ambao ni mweupe nisigeuke kulia wala kushoto,ilinichukua kama saa nzima nikaanza kuona kwenye ule ukuta watu jinsi wanavyokuja na gari kutokea mjini mpaka wakafika nyumbani wakachukua gari walikuja na Hiace yao,wakapakia vile walivyoiba na kuondoka,mtu ambaye nilimuona na kumfahamu alikuwa ni rafiki yangu ambaye tulikuwa karibu sana na tunafanya naye ofisi moja,pia mdada mwengine ambaye pia tulikuwa naye ofisi moja.Sikutaka kuamini kabisa kuwa ndio wao waliohusika,kwahiyo nikaondoka pale bila kuamini kuwa nilichokiona ndio kilikuwa uhalisia,Ila baada ya kutoka pale nilisumbuliwa sana na kizunguzungu kilichokaa kwa takribani masaa 6 then nikarudi normal.Nimeandika hii story ninajarbu kuona kuwa inawezekana nilichopewa ikawa ni hiyo Magic mashroom bila ya kujua,kwakua ilikuwa ni kama ninaye angalia movie flani hivi....
Nami nilipelekwa na jamaa yangu lakini niliishia kuona vitu sikuvielewa hivyo sikupata picha kamili walioniibia. Nikaona upuuzi..
Wewe uliona sura kabisa kama unaangalia tv au wanakua kama mawingu?
 
Nami nilipelekwa na jamaa yangu lakini niliishia kuona vitu sikuvielewa hivyo sikupata picha kamili walioniibia. Nikaona upuuzi..
Wewe uliona sura kabisa kama unaangalia tv au wanakua kama mawingu?
Ilikuwa ni kama movie kabisa ila iko kwenye ule ukuta,kwakuwa tukio lilifanyika usiku hata ile movie ilionekana ni tukio la usiku,lakini kuna mwanga unawaonyesha wahusika,barabara,mataa ya barabarani yote nilikuwa naona live...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom