Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Status
Not open for further replies.
Sorry my question is? Is it safe? What control measures zinatumuka ku control its effect?
Or kwa sababu ni new product so tunataka ku jump overboard?
Iko safe, lkn inabidi uwe makini sababu kuna jamii ya mushroom ni poisonuos. Huu uzi sijaweka kwa lengo la kuhamasisha watu watumie, nmeweka kuuliza msimamo wa nchi kisheria khs hio kitu. Kama utataka maelezo zaidi juu ya kutumia unaweza muuliza huyu DR BILGERT

Ila siku moja pia ntaanzisha mada maalum khs kinachopelekea matumizi ya shrooms
 
Hiyo activity mtaiita kwa majina ya kizungu ionekane inavutia ila huo ni ushirikina wa kuvaa nguvu za giza (majini ambayo yatakuongoza uone ulimwengu utakavyo wewe au yatakuongoza wapendavyo wao)
Narudia tena huo ni ushirikina ambao upo hata ukikaa vizuri na wazee wetu watakusimulia na kukuonyesha maeneo unayoweza pata hiyo huduma huko vijijini...
Natamani kupata hiyo huduma
 
Inabidi ujue kwanza pure nature of the mind ni nini..then kuna vile unnecessary (Negative) vitu unavi kuza since mdogo mpaka hapo.vinapaswa kuondoka.

Baadhi ya vitu, Aibu,hofu,hasira, anxiety, depressions n.k.

Vipo vingi mnoo,na ni somo refu.

nature of of the mind ni Pure Consciousness.
Nlianzisha mada in form of story kuhusu hii issue lkn mods wakaweka uzi wangu entertainment forum, I found it meaningless sababu ile sio entertainmenr ni education ambayo CEOs, High performing athletes na wasanii wakubwa wanalipia madollars kupata coaches wa kuwasaidia kwenye hilo.

I was just lucky to meet 2 very successful people ambao waliembrace hio concept na kujireset kwenye pure state kisha wakaanza upya. Japo mmoja ni Taoist na mwingine ni Buddhist ila mafundisho yao yote yanaendana at some point
 
Kuna kipindi flani zamani kidogo about 18 yrs back,wezi walikuja usiku kwangu wakafanikiwa kufungua mlango wa gari,ikavutwa mpaka karibu na geti wakokomba kila walichoweza,niliposhtuka ndio wanamalizia na wakakimbia.Nilipanic sana nika mjulisha jamaa yangu mmoja hivi akaniambia tuonane jione kuna mtaalamu kuna vitu anafanya utawajua walioiba.Tulipokuwa kwa huyo mtaalamu tukiwa kwenye chumba alinipa maji flani nikanywa akaniambia niangalie kwenye ukuta ambao ni mweupe nisigeuke kulia wala kushoto,ilinichukua kama saa nzima nikaanza kuona kwenye ule ukuta watu jinsi wanavyokuja na gari kutokea mjini mpaka wakafika nyumbani wakachukua gari walikuja na Hiace yao,wakapakia vile walivyoiba na kuondoka,mtu ambaye nilimuona na kumfahamu alikuwa ni rafiki yangu ambaye tulikuwa karibu sana na tunafanya naye ofisi moja,pia mdada mwengine ambaye pia tulikuwa naye ofisi moja.Sikutaka kuamini kabisa kuwa ndio wao waliohusika,kwahiyo nikaondoka pale bila kuamini kuwa nilichokiona ndio kilikuwa uhalisia,Ila baada ya kutoka pale nilisumbuliwa sana na kizunguzungu kilichokaa kwa takribani masaa 6 then nikarudi normal.Nimeandika hii story ninajarbu kuona kuwa inawezekana nilichopewa ikawa ni hiyo Magic mashroom bila ya kujua,kwakua ilikuwa ni kama ninaye angalia movie flani hivi....
Fantastic....
 
Bahati nzuri,yanapo kuja into your awareness you simply need to notice them and let them go.. don't fight with them wewe ndo utaumia..you simply need to feel them..

Yanapo kuja mara nyingi ndipo yanadis appear..

Ni somo refu mnoo,linahitaji muda
Hapo ndo unakutana na concept moja kwenye Taoism inaitwa "WU-WEI"
 
Bahati nzuri,yanapo kuja into your awareness you simply need to notice them and let them go.. don't fight with them wewe ndo utaumia..you simply need to feel them..

Yanapo kuja mara nyingi ndipo yanadis appear..

Ni somo refu mnoo,linahitaji muda
Inaonekana una uelewa mpana juu ya hi mada na taadhari zake unazijuaa uko vzr sna Dr

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Bahati nzuri,yanapo kuja into your awareness you simply need to notice them and let them go.. don't fight with them wewe ndo utaumia..you simply need to feel them..

Yanapo kuja mara nyingi ndipo yanadis appear..

Ni somo refu mnoo,linahitaji muda
Alfu uzuri umesema ukichezaa tu unaweze kuwa chizi automatically

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mbona buddhists wanatumia? Sio kila kitu chenye spirirual power ni ushirikina.

Ila sishangai sababu hata meditation kuna watu wanaita ushirikina. Kuna father mmoja aliwahi kusema Yoga ni ushirikina nikaishia kushangaa tu.

Sio lazima kutumia gateway moja kujiconnect na spirituality, usiite gateway ya mwenzako ushirikina kama huna ushahidi
Huyo father yupo sahihi. Yoga na meditation ni ushirikina, Mungu hapendi.
 
Nlianzisha mada in form of story kuhusu hii issue lkn mods wakaweka uzi wangu entertainment forum, I found it meaningless sababu ile sio entertainmenr ni education ambayo CEOs, High performing athletes na wasanii wakubwa wanalipia madollars kupata coaches wa kuwasaidia kwenye hilo.

I was just lucky to meet 2 very successful people ambao waliembrace hio concept na kujireset kwenye pure state kisha wakaanza upya. Japo mmoja ni Taoist na mwingine ni Buddhist ila mafundisho yao yote yanaendana at some point
Hakika mkuu,hii ni elimu Adhimu sana..ni elimu ghali mnoo. Imagine sasa hivi mtu ana depression,anaenda hospital hapati msaada wowote wa kisakolojia..unaambiwa very simple tu kwamba punguza mawazo..

Na utapewa madawa ukatumie,unakuta mtu anatumia Antidepressants for life... wakati angepata hii elimu na akapractice angerud normal kabisa
 
Huyo father yupo sahihi. Yoga na meditation ni ushirikina, Mungu hapendi.
Hapana. Ntakupa jibu refu ambalo nataman ningempa huyo father

Mie ni Taoist lkn bado ni mkatoliki.

Taoism ni way of life lkn sio religion na haipo kwenye dimension moja na dini, ipo juu sana ya hapo sababu inaweza kukufanya u-tap directly into spirituality bila kuwa na gateway zilizozoeleka ambazo ndio hizi dini.

Why bado ni mkatoliki? Sababu religion by one way or another is just a culture, na nmezaliwa kwenye hio culture na kama haiko negative to Tao basi naendelea nayo hadi labda siku iwe negative to Tao.

Kwenye Taoism tunaamini kwenye cultivation, lazima kucultivate virtues na kufuata the Tao, lakini hayo yote huwezi kufanya bila kuwa na CALM MIND. Mind ikiwa calm ndipo utaweza toa vitu vibaya na kuingiza vitu vzr, ndipo utaweza kuona vitu in a very clear way. Chukulia maji yenye matope (muddy water) yale maji yakisettle ndipo utaona clearly matope yako wapi na maji yako wapi, same as human mind too.

Sasa huko kucalm mind na kujialign na nature kuna practice inabidi ufanye ndipo ufikie hizo states, na hapo ndipo tunafikia kwenye MEDITATION na YOGA.

Kuna affirmations pia nazo hufanyika sambamba na meditation.

Haya hadi hapo nielekeze huo uchawi unatokana na nini?

Hao hao wanaoita meditation uchawi nao wanafanya meditation bila kujijua.

Na pia ukisoma Tao Te Ching utakuja kuona dini zote za kweli zimechukua summary mule.

Kuna mtu aliwahi kusema kwamba ukianza kupractise sheria au virtues unazofundishwa na dini yako mfano ukarimu etc.... ndipo utakuja kuona All roads lead to taoism.

Ni kwamba tu hawa ma-father hawataki kuwa challenged na ukweli na wanataka waendelee kutegemewa. Sasa kwa kuwa wanajua mtu ambae ni anaweza cultivate virtues mwenyewe na kuharness nguvu ya nature hatowahitaji tena service yao ndipo wanaipinga kwa nguvu zote wakiogopa kupoteza waumini, lkn haya mambo the more una-advance ndipo unajua ukweli wa mambo, you just taste the vinegar, smile, and let it go.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom