Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Status
Not open for further replies.
Mkuu ulivuta bhange na haukuona impact yoyote!

Basi ulivuta bhangi changa au bhangi feki!

Mkuu ukija vuta iliyokomaa, hautarudia tena kuidharau na utakuja hapa na uthibitisho ulionyooka kukiri!
Huku nilipo unaweza kupata hata mbichi ukapika mboga
 
dokta nakuchek chemba
Karibu mkuu..mimi nilisuffer anxiety na depression kwa miaka miwili...nilitumia madawa kuanzia Lorazepam,Fluoxetine n.k ,tumia sana chumvi kuogea 😅 hakuna kilicho nisadia..ndipo nkapata hii elimu kwa namna ya ajabu mnoo,na nkaanza kupractice...

Hayo madepression yamekuwa ni historia kwangu sasa..

Hakuna battle ngumu kama ya Mind wakuu 😅
 
Mwishowe ilikuwaje? Hauku_deal na wale "wezi" wako?
 
Mi sijawahi tumia ila kijijini kwetu kifanya njombe huwa kuna mlima ipo ukiziona ziko kama mboo hivi wanachuma wanakausha wateja huwa waganga wa kienyeji.hakuna alietumia akabaki salama ,pia kuna chizi alitumia akapona kabisa tena ule uchiz wa kuzaliwa hadi leo ana mke n'a watoto n'a kijana mwema
 
Duu hii ni kali sana
Mi sijawahi tumia ila kijijini kwetu kifanya njombe huwa kuna mlima ipo ukiziona ziko kama mboo hivi wanachuma wanakausha wateja huwa waganga wa kienyeji.hakuna alietumia akabaki salama ,pia kuna chizi alitumia akapona kabisa tena ule uchiz w
 
Naona mnataarifa ya haya maswala

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ni Nini hiii
 
Tupe Hilo somo
Bahati nzuri,yanapo kuja into your awareness you simply need to notice them and let them go.. don't fight with them wewe ndo utaumia..you simply need to feel them..

Yanapo kuja mara nyingi ndipo yanadis appear..

Ni somo refu mnoo,linahitaji muda
 
SAS uitumia utapata pesa,Kama inaleta pesa Ni mihimu San uwai uiapply

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…