Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Walio maliza kozi wakiend wanakua na morali sanaSasa kama mnakuwa na jeshi ambalo dogo janja tu wa miaka 24 anajipa cheo cha luteni unategemea mkashinde hawa watusi wa kikongomani kiongozi?
SA wao nasikia walipeleka madogo walio graduate jeshi siku si nyingi kwahiyo katika uwanja wa kivita bado wanahitaji muda kukupa matokeo
M23 si wavamizi ni wacongo walozaliwa Congo DRC wenye vinasaba vya Rwanda.Hata kama Tshekedi aliibiwa kura Ili ashinde, je kuwatumia Rwanda (M23) kumuondoa madarakani ndio suluhisho la matatizo ya Drc?....huoni hao wavamizi ndio wanaivuruga nchi zaidi huku raia wakiteseka?
My dear friend,SADAC ni walinzi wa amani tu.Hata AU Imeshindwa, wa kuiokoa DRC ni Wazungu pekee
Nafikiri ndio hivyo maana hakuna wa kuwazuia wala kelele nyingi kwa sasaYanotokea Congo DRC ni mfano wa Syria.
Yalotokea Syria yana baraka zote kutoka juu kaskazini.
Hapo juu waweza kuwa sahihi Ila hapo chini kwa nchi hizo zingine ( South Africa, Zimbabwe, Angola ) Hawana chao hapo na huenda wamechuma sana.My dear friend,SADAC ni walinzi wa amani tu.
Ila kama kuna upande ukikiuka watu hukaa chini na kutatua.
Goma plus M23 plus Kagame forces na labda Museveni forces plus Kenya Forces. wana biashara yao.
Nadhani ndio hapo kuna hatua mpya ambayo sio popular lakini South Africa, Angola,Zimbabwe,Wana majeshi makubwa ya kisasa watakapo fanya vitu vyao.
Mimi nawaomba wasiojua wafungue macho.Rwanda ya Kagame na hata Uganda zipo mashakani.Hivi makombola 50 Rwanda itapona?
Ruto acha unafiki Angola na South Africa wataipasua Port Mombasa.Wake up.
That’s how it works.Nafikiri ndio hivyo maana hakuna wa kuwazuia wala kelele nyingi kwa sasa
Jamaa wanazidi kukamata tu miji
Na jeshi la Rwanda linalowasaidia sio vamizi ?M23 si wavamizi ni wacongo walozaliwa Congo DRC wenye vinasaba vya Rwanda.
Tusiwaite wavamizi.
Hii ndo ipo disputed lakini upande wa mama siju zote husaidia pale mpwa anapokwama.Na jeshi la Rwanda linalowasaidia sio vamizi ?
Morali ndio lakini uzoefu muhimuWalio maliza kozi wakiend wanakua na morali sana
Kwa hiyo jeshi la Rwanda linatoa msaada kwa mpwa wake M23 na sio uvamizi?Hii ndo ipo disputed lakini upande wa mama siju zote husaidia pale mpwa anapokwama.
My friend hii imepangwa na ndo yatekelezwa.
Ndio ila watafanya jambo ila naona wimbi la wakimbizi likiamia TZMorali ndio lakini uzoefu muhimu
Kwa sie tulio nje twaona hivyo lakini pale jikoni penyewe haiko hivyo.Kwa hiyo jeshi la Rwanda linatoa msaada kwa mpwa wake M23 na sio uvamizi?
Waje tu hakuna namna serikali ya kongo inachangamoto nyingi.Shida inaanza pale wanapotwisha mzigo mataifa kama Rwanda kuhisika directly wakisahau shida kubwa ni utawala ndani ya nchi yaoNdio ila watafanya jambo ila naona wimbi la wakimbizi likiamia TZ
M23 si wavamizi ni wacongo walozaliwa Congo DRC wenye vinasaba vya Rwanda.
Tusiwaite wavamizi.
Muda ndio msema kweli ..Kama umemsikiliza Nangaa anasema wataiweka Congo kutoka failed state kuwa modern state.
Tukupeleke wewe front line Goma??Je Jeshi la TZ and SA limeshidwa na M23?
Maana tunasikia wanasonga tu. Sasa tumefikia sehemu hizi nchi kubwa kwa ukanda wa huku South wameshindwa na M23. Hii ni hatari sana kupuuza au kwenda kwenye vita nusunusu.
Waandishi wa habari wa Tanzania badala ya kuuliza maswali kama haya wanabaki kusifia sifia kila kitu. Yaani miradi yetu ya treni ina maana gani kama hakuna usalama Congo ya mashariki?. Jeshi letu kama halipigani kwa manufaa ya nchi wanabaki kuonyesha misuli kwenye sherehe tu sio powa. Haya ndiyo mambo ambayo jeshi letu linatakiwa kupigania sio kutishia waandamanaji au kusaidia wizi wa kura kwa wapinzani bali kupigania nchi na sio kinyonge nyonge
Watanzania tunabaki kuchekeshwa chekeshwa na serikali kama watoto wadogo. Hii ni dharau kubwa. Hakuna mtu anajua kuhusu mazishi wa wanajeshi, hakuna bendera nusu mlingoti.......... huu ndiyo uzalendo
Nangaa atashindwa kama alivyoshindwa Joseph Kabila akipewa nchi, sababu waliomuweka hapo ni Wanajeshi wa Rwanda.Kwa sie tulio nje twaona hivyo lakini pale jikoni penyewe haiko hivyo.
Congo ni failed state kwa sasa hivyo ni Nani mwenye nguvu ndie ataweka order.
Kama umemsikiliza Nangaa anasema wataiweka Congo kutoka failed state kuwa modern state.
Hapa umekoleza chumvi. Calm down.Sasa ulitaka wafanyaje na m23 they means bussin
Sio rahisi kama unavyodhani ni juz tu hapa ndugu zetu wawili wamerudi wakiwa kweny makabati na wengine kujeruhiwa, hao wahuni vita wameiishi na wanaiweza sio kuhadisiwa