Je, mama Rwakatare atazikwa ndani ya Kanisa kama wanavyozikwa maaskofu wa Kanisa Katoliki?

Je, mama Rwakatare atazikwa ndani ya Kanisa kama wanavyozikwa maaskofu wa Kanisa Katoliki?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nafahamu kuna huu utaratibu wa maaskofu kuzikwa ndani ya makanisa yao na hili nimelishuhudia kwa madhehebu ya Anlican na Katoliki.

Nakumbuka askofu Sepetu wa Anglican aliziikwa ndani ya Kanisa la mt Nicolaus Ilala Dsm na pale Njombe askofu wa jimbo Katoliki alizikwa Kanisani hata wa Anglican pia.

Ndio nauliza haya makanisa ya Pentecoste yana huo utaratibu na je mama Rwakatare atazikwa pale Kanisani MAG mlima wa moto?

Kwa mnaojua Tafadhali.

RIP mama Rwakatare!
 
Amezikwa na manispaa.. joongeze kama manispaa wanamiliki kanisa.
 
Nafahamu kuna huu utaratibu wa maaskofu kuzikwa ndani ya makanisa yao na hili nimelishuhudia kwa madhehebu ya Anlican na Katoliki.

Nakumbuka askofu Sepetu wa Anglican aliziikwa ndani ya Kanisa la mt Nicolaus Ilala Dsm na pale Njombe askofu wa jimbo Katoliki alizikwa Kanisani hata wa Anglican pia.

Ndio nauliza haya makanisa ya Pentecoste yana huo utaratibu na je mama Rwakatare atazikwa pale Kanisani MAG mlima wa moto?

Kwa mnaojua Tafadhali.

RIP mama Rwakatare!
Umechelewa, swali lako ungeuliza jana. Ukiona manyoya ujue jogoo kesha liwa usihangaike kumtafuta.
 
Back
Top Bottom