Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Heee... Sijaelewa yaweza kuwa hiki ni kipindi kibaya kufarikiš¤£Mama keshazikwa leo. Yaani unakufa na presha unazikwa kicorona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heee... Sijaelewa yaweza kuwa hiki ni kipindi kibaya kufarikiš¤£Mama keshazikwa leo. Yaani unakufa na presha unazikwa kicorona.
Wapumbavu wanaokula upumbavu wa kigogoMama keshazikwa leo. Yaani unakufa na presha unazikwa kicorona.
Yaani nashindwa kujiongeza nisije aibika bure,baada ya ratiba kutolewa.Jiongeze bhana we nae unakua kama sio msomi vile
Huyo kigogo ndio nani? Mumeo ama maana naona unamtaja sana.
Daudi Mchambuzi kajificha uvunguni muda huu!Yaani nashindwa kujiongeza nisije aibika bure,baada ya ratiba kutolewa.
Anazikwa tarehe 23/04/2020Si nasikia ameshazikwa?
Uko wapi naona maji shingo au na kule ziwani mambo si mazuri, maana ni usiri
Anazikwa 23/04/2020Duh.. kumbe mama mchungaji kashazikwaš²! Na mbona wanafanya siri hivi, ikiwa mama ana influence kubwa kwenye jamii kuna kipi apa juu ya kifo chake ikiwa ni kweli kashazikwa?
Kigogo2014 amewaingiza tena chaka. Anazikwa 23/4/2020Mama keshazikwa leo. Yaani unakufa na presha unazikwa kicorona.
Kwa hiyo hii wanayosema kazikwa na manispaa ni chai mkuu?Anazikwa 23/04/2020
Mmeshaingizwa chaka tena na Kigogo2014!! Mama Rwakatare anazikwa tarehe 23/04/2020. Yaani wanasaccos ni rahisi sana kuwaingiza chaka kwa kuwa hawajitambui.Sasa wanaogopa nini kusema ni Coronavirus ?Waseme bwana hii itaelimisha wengi na kujua kuwa maombi ya showoff hayasaidii.
Yaani ni uongo tuKwa hiyo hii wanayosema kazikwa na manispaa ni chai mkuu?
Mmeshaingizwa chaka tena na Kigogo2014!! Mama Rwakatare anazikwa tarehe 23/04/2020. Yaani wanasaccos ni rahisi sana kuwaingiza chaka kwa kuwa hawajitambui.
Wakati Kigogo2014 alisema tayari ameshazikwa? Kwa hiyo wewe unataka kutuaminisha kuwa walimfukua baada ya kumzika? Kwani ukikubali tu kuwa uliingizwa chaka na Kigogo2014 utapungukiwa kitu gani mkuu?Maamuzi yanawezwa badilishwa ombi likienda kwa aliye juu na akabadili seconds kabla ya tendo kutendeka. Tulia
Wakati Kigogo2014 alisema tayari ameshazikwa? Kwa hiyo wewe unataka kutuaminisha kuwa walimfukua baada ya kumzika? Kwani ukikubali tu kuwa uliingizwa chaka na Kigogo2014 utapungukiwa kitu gani mkuu?