mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 760
Wakati Kigogo2014 alisema tayari ameshazikwa? Kwa hiyo wewe unataka kutuaminisha kuwa walimfukua baada ya kumzika? Kwani ukikubali tu kuwa uliingizwa chaka na Kigogo2014 utapungukiwa kitu gani mkuu?
Acha kufatilia huyo unayependa kumsoma ili uwe na amani.