muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,557
- 6,128
mh hii maana yake nini sasa!Mama Rwakatare meshazikwa na manispaa ila ibada ya mazishi ni kesho viwanja vya karemjee Hall na mgeni rasmi ni Mheshimiwa Kassim Majaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mh hii maana yake nini sasa!Mama Rwakatare meshazikwa na manispaa ila ibada ya mazishi ni kesho viwanja vya karemjee Hall na mgeni rasmi ni Mheshimiwa Kassim Majaliwa.
wanaogopa kupeleka kanisa zima karantini.Sasa wanaogopa nini kusema ni Coronavirus ?Waseme bwana hii itaelimisha wengi na kujua kuwa maombi ya showoff hayasaidii.
maana yake sababu ya kifo inafanywa sirimh hii maana yake nini sasa!
Labda mnyororo wa thamani ni mrefu!Sasa wanaogopa nini kusema ni Coronavirus ?Waseme bwana hii itaelimisha wengi na kujua kuwa maombi ya showoff hayasaidii.
Kumbe ni kweli kazikwa?Mama Rwakatare meshazikwa na manispaa ila ibada ya mazishi ni kesho viwanja vya karemjee Hall na mgeni rasmi ni Mheshimiwa Kassim Majaliwa.
Jiongeze bhana we nae unakua kama sio msomi vileHivi mazishi ni lini na wapi ?Hatujaona Ratiba kama inavyokuwa kwa watu wengine wazito wa aina yake.
Usimwamini sana huyo kamanda, bwashee!Kumbe ni kweli kazikwa?
Nimeikuta pia mahaliUsimwamini sana huyo kamanda, bwashee!
basi comrade tupe ratiba ya mazishi sisi tunakuamini wewe.Usimwamini sana huyo kamanda, bwashee!
Utuletee bas video yake akiwa anaagwa pale viwanja vya karimjeeUsimwamini sana huyo kamanda, bwashee!
Corona sio ugonjwa wa aibu kama ukimwi. Sioni sababu watu kuficha cause of death. Ukimwi, gonorrhea na kaswende ndio magonjwa yanayostahili kufichwa.maana yake sababu ya kifo inafanywa siri
Labda corona ndio iliyo mtia presha..😂😂😂.unawajua hawa jamaa🕵🕵🕵🕵🕵🕵🕵.wazee wakucheza na jeneza ilibidi tumuage nao ila ndio basi tena tumechelewa.Mama keshazikwa leo. Yaani unakufa na presha unazikwa kicorona.
Ccm wabaya sana. Wameshamzika mama wa kisulisuli bila hata kutupa fursa ya kumuagaNafahamu kuna huu utaratibu wa maaskofu kuzikwa ndani ya makanisa yao na hili nimelishuhudia kwa madhehebu ya Anlican na Katoliki.
Nakumbuka askofu Sepetu wa Anglican aliziikwa ndani ya Kanisa la mt Nicolaus Ilala Dsm na pale Njombe askofu wa jimbo Katoliki alizikwa Kanisani hata wa Anglican pia.
Ndio nauliza haya makanisa ya Pentecoste yana huo utaratibu na je mama Rwakatare atazikwa pale Kanisani MAG mlima wa moto?
Kwa mnaojua Tafadhali.
RIP mama Rwakatare!
Hivi huko mashuleni mlisomaga nini?Kazikwa na manispaa maana yake nini? Fafanua tafadhali!!
Askofu anazikwaje na manispaa?!