mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 760
Wakati Kigogo2014 alisema tayari ameshazikwa? Kwa hiyo wewe unataka kutuaminisha kuwa walimfukua baada ya kumzika? Kwani ukikubali tu kuwa uliingizwa chaka na Kigogo2014 utapungukiwa kitu gani mkuu?
Haijalishi anazikwa lini. Coronavirus ndo imemuondoa.Mmeshaingizwa chaka tena na Kigogo2014!! Mama Rwakatare anazikwa tarehe 23/04/2020. Yaani wanasaccos ni rahisi sana kuwaingiza chaka kwa kuwa hawajitambui.
Kumbe nachat na robot!Still inawezekana ikawa na mengine kuendelea, fikiria nje ya box
Haya wewe itakuondoa nini HIV?Haijalishi anazikwa lini. Coronavirus ndo imemuondoa.
Who is Kigogo2014?Wakati Kigogo2014 alisema tayari ameshazikwa? Kwa hiyo wewe unataka kutuaminisha kuwa walimfukua baada ya kumzika? Kwani ukikubali tu kuwa uliingizwa chaka na Kigogo2014 utapungukiwa kitu gani mkuu?
Dah eti maombi ya show off nimecheka mpaka mbavu zinauma jamiiforum idumu milele tunajifunza meng sn humuSasa wanaogopa nini kusema ni Coronavirus ?Waseme bwana hii itaelimisha wengi na kujua kuwa maombi ya showoff hayasaidii.
Si yule mchumba wako! Unajifanya kumsahau?Who is Kigogo2014?
Simjui mimi.Si yule mchumba wako! Unajifanya kumsahau?
Hahahhaha sasa maombi yatangazwaa wee. Ikute kesho yatakuwa live. Sasa hii si ni showoff tu ili kuwaonyesha wanadamu.Dah eti maombi ya show off nimecheka mpaka mbavu zinauma jamiiforum idumu milele tunajifunza meng sn humu
Mmh !!! Kanisa si litageuka location ni maigizo A-ZHahahhaha sasa maombi yatangazwaa wee. Ikute kesho yatakuwa live. Sasa hii si ni showoff tu ili kuwaonyesha wanadamu.
Wewe mbona haraka hivyo?Mama Rwakatare meshazikwa na manispaa ila ibada ya mazishi ni kesho viwanja vya karemjee Hall na mgeni rasmi ni Mheshimiwa Kassim Majaliwa.
Hamuonagi aibuOnly three relatives at a social distancing stance attended......Mbweni.
Duuuuu watu 10 iv hii imekaaje mazee mbona kama harufu ya korona inanukia apo
Nikuonee aibu wewe auHamuonagi aibu
Mbona hushangai Askofu kuzikwa na watu kumi?Askofu anazikwaje na manispaa?!
Mikusanyiko kwa sasa haitakiwi na hasa mijini,tena kwa Dsm ilipaswa wawe watu watano tu.Maambukizi ya Corona yanakwenda kwa kasi sana.