Umbea tu unamsumbua we hujamuelewa tu?hapo anataka tu useme Mh alifariki kwa covid19 mkuu ww sio mbongo nini?Hivi huko mashuleni mlisomaga nini?
Hapo hujaelewa kipi?
Wazikaji ni tofauti wahudhuriaji mazikoni.........uwe unaelewa!
Mtu mzima kusema uongo wa level ileNikuonee aibu wewe au
Jiongeze tu. Kwani hujui dunia na nchi inapita kwenye hali gani?Askofu anazikwaje na manispaa?!
Kujiongeza huko kwio,,.Jiongeze bhana we nae unakua kama sio msomi vile
Nice avatarYaani nashindwa kujiongeza nisije aibika bure,baada ya ratiba kutolewa.
Acheni uzushi mama getrude bado hajazikwa akizikwa wote mtaona na ni pale kanisani kwake nendeni mtaona eneo lililotengwa kumzika.Nice avatar
Samahani kidogo niulize,kwani manispaa si ndio ile unazikwa kaburi la futi mbili kama mbwa[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]????Amezikwa na manispaa.. joongeze kama manispaa wanamiliki kanisa.
Mrembo upo.. Tangu uniache sijapata wa kufanana na ww,please come back to meKujiongeza huko kwio,,.
Yule marehemu baba mzazi wa waziri wetu ChuiChawene alizikwa na mamia ya watu, huyu mama mjasiriamali wa dini wakala wa shetani anazikwa kimya kimya na manispaa, dah hii "KOVIDI NAINTIN" siyo powa kabisa, inawachukua mpaka waponyaji wetuAskofu anazikwaje na manispaa?!